coockie monster
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 373
- 724
Hili swala nilikuwa nalijua ila leo baada ya message fulani hivi kutumiwa na kijana mdogo ambaye nilizoeana naye ambapo alikuwa mfanya usafi ofisini, baadae alipata kazi sehemu nyengine ila kwa wakati kadhaa alikuwa ananipigia simu na kunipiga vizinga.
Sababu nilikuwa najua hali yake, nikawa nampa tafu ila sometimes huwa namzingua kuhusu tabia yake. Ila leo nilivomchallenge kuhusu tabia yake ya kuomba omba alinipa jibu deep na la kutafakari sana.
Alivhoniambia anapambana na Hana Bahati nilitamani kulia sababu ni kweli anapambana sana. Kuna wenzake kama yeye ila atleast wanajitahidi ila yeye pekee ndio analia njaa. Usijione mjanja jua kuwa una Bahati.
Sababu nilikuwa najua hali yake, nikawa nampa tafu ila sometimes huwa namzingua kuhusu tabia yake. Ila leo nilivomchallenge kuhusu tabia yake ya kuomba omba alinipa jibu deep na la kutafakari sana.
Alivhoniambia anapambana na Hana Bahati nilitamani kulia sababu ni kweli anapambana sana. Kuna wenzake kama yeye ila atleast wanajitahidi ila yeye pekee ndio analia njaa. Usijione mjanja jua kuwa una Bahati.