Nimegundua Bashe hajui maana ya Food Security

Nimegundua Bashe hajui maana ya Food Security

Naamini anajua kiiengeleza sasa namuwekea hapa maana yake.

Food security is the measure of the availability of food and individuals' ability to access it. According to the United Nations' Committee on World Food Security, food security is defined as meaning that all people, at all times, have physical, social, and economic access to sufficient, safe, and nutritious food that meets their food preferences and dietary needs for an active and healthy life.

Akishamaliza kusoma hapo, namwagiza (mimi ninae lipa kodi ili alipwe) apitie upya hari ya upatikanani wa chakula nchini, ili ikiwezekana aagize baadhi ya mazao yasiuzwe nje.

Vyakula vimepeta bei sana huku mtaani, ila kwa vile yeye waziri analishwa hawezi ona hii shida.

Tusipo rekebisha hii hari, hadi December tutaanza kununua unga na mchele kutoka kenya, tena kwa bei ya juu zaid.

Tozo zinateketeza biashara ndogongodo (chechemshi).
Meanwhile balozi wetu Japan anakinga bakuli kupata msaada wa hela za kununulia chakula kwani korona na vita ya Ukraine havijatuacha salama
 
Naamini anajua kiiengeleza sasa namuwekea hapa maana yake.

Food security is the measure of the availability of food and individuals' ability to access it. According to the United Nations' Committee on World Food Security, food security is defined as meaning that all people, at all times, have physical, social, and economic access to sufficient, safe, and nutritious food that meets their food preferences and dietary needs for an active and healthy life.

Akishamaliza kusoma hapo, namwagiza (mimi ninae lipa kodi ili alipwe) apitie upya hari ya upatikanani wa chakula nchini, ili ikiwezekana aagize baadhi ya mazao yasiuzwe nje.

Vyakula vimepeta bei sana huku mtaani, ila kwa vile yeye waziri analishwa hawezi ona hii shida.

Tusipo rekebisha hii hari, hadi December tutaanza kununua unga na mchele kutoka kenya, tena kwa bei ya juu zaid.

Tozo zinateketeza biashara ndogongodo (chechemshi).
Meanwhile balozi wetu Japan anakinga bakuli kupata msaada wa hela za kununulia chakula kwani korona na vita ya Ukraine havijatuacha salama
 
wakulima wanaponunua mbolea shilingi 170,000 kwa mfuko wa kg 50 mbona hukujitokeza kulisemea. Acha wakulima wafaidi jasho lao kwa kuuza mazao yao mahali popote kwa bei wanayoitaka.
Mkulima gani anayeuza mazao yake bei yajuu ilikufidia cost!?? Mnashindwa kutofautisha kati ya mfanyabiashara na mkulima,hapo ndo tatizo linapoanzia.
 
Ulitaka mkulima kila mwaka awe wa kulia machozi tu? Ulitaka wakulima kila mwaka wauze kwa Bei ya hasara ili wewe ufurahi? Ulitaka kuona kila mwaka wakulima Ni wakuteseka na kuvuja jasho huku nyinyi mkilia kimvulini, Nenda na wewe ukalimee ujuwe uchungu wake, Nenda ukalime uje uuze hiyo Bei ndogo unayoitaka, Nenda ukalime ujuwe adha ya kilimo, nenda ukalime ujuwe mkulima anahangaika vipi juani na kwenye mvua, nenda na wewe ukalimee ujuwe ugumu wake,


Msitake kuwafanya wakulima wa nchi hii kuwa daraja lenu ninyi wanyonyaji wakubwa, Tunamshukuru Sana mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kutujali sisi wakulima wanyonge, Sasa tunaona faida ya kilimo chetu, Sasa tunafaidi jasho letu

Mh Bashe songa mbele fanya kazi uliyooaminiwa na mh Rais wetu mpendwa, Msaidie kwa nguvu zako zote, usimuuangushe Rais wetu tunayempenda kwa dhati ya mioyo yetu, Fanya kazi chapa kazi Leta matumaini kwa watanzania Kama ambavyo mh Rais wetu ameongoza njia hiyo
hvi kwenye id hakunaga namna ya kuongeza namba za simu
 
Akishamaliza kusoma hapo, namwagiza (mimi ninae lipa kodi ili alipwe) apitie upya hari ya upatikanani wa chakula nchini, ili ikiwezekana aagize baadhi ya mazao yasiuzwe nje.

Vyakula vimepeta bei sana huku mtaani, ila kwa vile yeye waziri analishwa hawezi ona hii shida.Tusipo rekebisha hii hari, hadi December tutaanza kununua unga na mchele kutoka kenya, tena kwa bei ya juu zaid

Kama hiyo ndiyo tafsiri ya food security basi Bashe ni mjuzi na mjuvi zaidi yako. Kwasababu:-
.1. Tanzania kuna chakula cha kutosha (food availability) na kila mtu anaweza kukinunua bila masharti Wlwala zengwe (food accessibility).
2. Wewe ndiye umechanganya mambo kwa vile uwezo wa kumudu gharama za chakula (food affordability) siyo component ya food security.
 
Kama hiyo ndiyo tafsiri ya food security basi Bashe ni mjuzi na mjuvi zaidi yako. Kwasababu:-
.1. Tanzania kuna chakula cha kutosha (food availability) na kila mtu anaweza kukununua bika masharti Wala zengwe (food accessibility).
2. Wewe ndiye umechanganya mambo kwa vile uwezo wa kumudu gharama za chakula (food affordability) siyo component ya food security.
Food affordability ni component ya food security. Usipo afford chakula utakufa, Food security haishii kwenye availability tu. Unaweza ukawa unakiona lakini huwezi kukinunua. Changamka.
 
Kama kuna kenge ni pamoja na watu kama hii kenge hapa.

Wanaosafirisha mazao nje ni wa wachuuzi na si wakulima.Wakulima wanauza kwa bei ya kunyonywa sana.Ila kwa vile ni kenge haitanielewa
Wewe ndo mjinga unafikiri huyo mchuuzi kaenda kuyazoa tu kwa mkulima?
 
Back
Top Bottom