Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

Si kwel mkuu,gengeni bidhaa ni cheap sana unaweza ata kubagein ,supermarket hamna bagein ata yesu arudi.mara nyingi bidhaa supermarket inakuwa juu..
Kuna jamaa pale Kariakoo Msimbazi anauza korosho kilo moja 16,000

Nikaingia supermarket moja korosho na packaging ile ile inauzwa 25,000
 
Wahindi na ushirikina ni mtoto na nyonyo
Ofisini kwao wamejaza yale madude wanayachoma moto kila asubui na hamna mtu anaruhusiwa kuingia mpaka wamalize mambo yao!
Na pili wana wivu sana na roho za choyo hata awe amefanikiwa vipi mfano halisi modewji!
Acha kukariri.
Duniani dini zipo zaidi ya 200.
Ile ni moja ya ibada yao kila siku (budha)
 
Wahindi ni wa bahili ila kwenye suala la kugonga diko wako vzur kuna muhindi ilikua kwa siku mlo mmoja watu wa3 tunakula 50k analipia yeye bad aktoka anapitia supermarket kununua mazaga ya kulakula

Ukitaka kufanikiwa tafuta pesa na uwe bahili ila usiwe bahil kwenye kula na usiendekeze starehe
Ukijifanyia ubahili kwenye kula ile pesa inakua Kama laana utajikuta unanufaisha wengne waishi na wale vizur huk ww hujijali na hauli vzur haiwezekan ukala ugali maharage kila siku na wakat bank una mpunga
 
Kuna daktari mhindi, ni mmoja kati ya wale top doctors. Ananunua bidhaa gengeni tena anakwenda mwenyewe na kapu lake. Waswahili walio chini yake wana nunua bidhaa supermarket.
Halafu wakiwa matajiri tunaanza kuwaita matapeli!!
 
Kuna daktari mhindi, ni mmoja kati ya wale top doctors. Ananunua bidhaa gengeni tena anakwenda mwenyewe na kapu lake. Waswahili walio chini yake wana nunua bidhaa supermarket.
Ndio maana kakwambia ni wabahili, naongeza, Wana roho ya kimaskini
 
Mwambie huyo.
Halafu Kati ya mataifa yote, ukachagua mhindi kuwa role model wako kweli!?
Bidhaa za supermarket sio zote ni expensive kuliko za magengeni au kwa mangi. Ondoa hiyo mentality.

Fanya research kidogo kwa bidhaa za vinywaji utaona.
 
Hakuna namna muhindi nikumuibia tu. Kama yeye anavyotuibia kiujanja ujanja.
 
Wahindi siyo kuwa wanaakili Sana sema Tu pilipili zao zinawafeva Sana kuwa wepesi wa kufikiri na kufanya mambo.

Wananyanyasa Sana hata wao Kwa wao wao

Waongo waongo Sana

Wanapenda kuhonga Sana watu wa ngazi za juu Kwa ajiri ya kunyoosha mambo Yao

.
Kwa kifupi ni washenzi!
 
Kuna daktari mhindi, ni mmoja kati ya wale top doctors. Ananunua bidhaa gengeni tena anakwenda mwenyewe na kapu lake. Waswahili walio chini yake wana nunua bidhaa supermarket.
Mimi naendaga Shoppers plaza kununua dawa ya meno tu
 
Ningekuwa na mamlaka ningechukua ule uamuzi wa Idd Amin kufukuza wahindi woote tena ningetimua na waarabu kabisa.
unawatimuaje watu wanaokulisha?, mngebaki wote vilaza wabongo mngeanza kuilaumu serikali iwalishe.

viwanda vya wahindi, mapato makubwa ya serikali ya kutoa huduma za kijamii ya wahindi.

Automatically nchi ingeporomoka kiuchumi.
 
Back
Top Bottom