YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Wakuuu za sahizi Nimegundua hivi majuzi kuwa mashavu yangu yana nenepa kitu ambacho sijafurahishwa nacho
Nilikuwa naomba kama kuna mtu anayejua dawa au njia ya asili ya kuyapunguza mashavu yangu anisaidie
Siyapendi kwa kweli 😢😢😢😢😢😢
Nawasilisha
Edit:: mimi ni me nasemea mashavu ya usoni
Nilikuwa naomba kama kuna mtu anayejua dawa au njia ya asili ya kuyapunguza mashavu yangu anisaidie
Siyapendi kwa kweli 😢😢😢😢😢😢
Nawasilisha
Edit:: mimi ni me nasemea mashavu ya usoni