Acha gongo na k vantWakuuu za sahizi Nimegundua hivi majuzi kuwa mashavu yangu yana nenepa kitu ambacho sijafurahishwa nacho
Nilikuwa naomba kama kuna mtu anayejua dawa au njia ya asili ya kuyapunguza mashavu yangu anisaidie
Siyapendi kwa kweli [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Nawasilisha
Ukiweza jikubali ulivyo na usijaribu kujikosoa. Kuna walemavu wa viungo na wamejikubali walivyo na wanajiamini hatari.. Huna ulemavu mshukuru sana MunguWakuuu za sahizi Nimegundua hivi majuzi kuwa mashavu yangu yana nenepa kitu ambacho sijafurahishwa nacho
Nilikuwa naomba kama kuna mtu anayejua dawa au njia ya asili ya kuyapunguza mashavu yangu anisaidie
Siyapendi kwa kweli [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Nawasilisha
Sema wewe jamaa una Akili sanaUkiweza jikubali ulivyo na usijaribu kujikosoa. Kuna walemavu wa viungo na wamejikubali walivyo na wanajiamini hatari.. Huna ulemavu mshukuru sana MunguView attachment 2616898