Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Hilo shavu dodo, mmeo haridhishwi nalo?Mimi ni mwembamba kama toothpick mkuuu wala hata si mnene
Mimi ni me mkuuuHilo shavu dodo, mmeo haridhishwi nalo?
Kila sura aliyovaa binadamu, lazima kuna mtu "anafia" ujue!
Halafu usipende sana kujilinganisha na watu wengine, kuwa wewe ulivyo na ujipende kadri M/Mungu alivyokugaia rangi na sura.
Kupenda kuvaa maumbile ya watu wengine kunawapa tabu sana, kuzitafuta sura ama maumbile hayo kwa gharama kubwa na kupelekea wengine kufia kwenye vitanda vya upasuaji wakibadili sura!
Mungu atuhurumie.
Mchezo wa boxing nao ule ukijaribu huwezi kua na mashauvu.Akili zangu haziruhusu mkuuuu
PichaWakuuu za sahizi Nimegundua hivi majuzi kuwa mashavu yangu yana nenepa kitu ambacho sijafurahishwa nacho
Nilikuwa naomba kama kuna mtu anayejua dawa au njia ya asili ya kuyapunguza mashavu yangu anisaidie
Siyapendi kwa kweli π’π’π’π’π’π’
Nawasilisha
Edit:: mimi ni me nasemea mashavu ya usoni
Ndevu ni nyingi mno aiseeHata hivyo ndevu zinanibeba kunifichia ila nikishave inarudi palepale
Yanatkngishika nikitembea
Mashavu ya wapi Mtanzania mwenzetu?