Nimegundua kuna mdada makini humu JF kaweka picha yangu kama avatar yake

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Kama mkware mpige verse ujilie uumbaji.
 
Vipi, mkuu? Kuna kadhia kali sana umepata baada ya hili tukio?

Au kuna mtu kamistake kaja PM [emoji3]
 
Khaaa jina langu mm jaman kwenye uzi wa kuumizwa uzi upi huo tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa nini ulihisi mm nimeweka avatar ya huyo mtu naanzaje me naweka avatar inayonihusu jaman

Muulize aunt yako kuhusu huo uzi.
 
Unataka comparison sio, bas weka picha yako na yake tukupatie asilimia mkuu.

Majudge tupo tu tunasubiri hivyo vitu tuvifanyie kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…