Jaman imekua km taarifa za hivi punde za Itv yan mara paap nakutan na mrembo machachar wa JF kaweka picha yangu kwny avatar yake nadhan me ndo wa kwanza kuwah kutokea toka JF imeanza
Naomba mnipe hatua za kufanya ktk hili swala,nitatoa jina lake humu mda si mrefu ili wote mjionee
Mpaka sasa nimemtia block asione huu uzi niloanzisha so kwa wale wenye hofu kwmb atabadilisha, forget it
Na pia nitatuma screenshot za huko Pm mana nimejaribu kuchukua hatua ila nao
na so madhubuti
Ambao hamna iman juu ya haya mambo mnaruhusiwa kucomment pia.