Nimegundua kuna mdada makini humu JF kaweka picha yangu kama avatar yake

Asubuhi kila mmoja anaparanganyika kwenye ujenzi wa taifa.

Anyway Mr youngdonats18

Sisi tutaamini vipi hiyo ID ni ya mdada kweli na siyo ID yako nyingine?

Pia unafahamu kuanika PM hapa jukwaani ni kosa kulingana na sheria za JF?
 
jamaa sijui wa wapi huyu? yaani hilo nalo ni jambo la kutujazia forum hapa! mbona yanatokea sana tu tunayapotezea
 
Asubuhi kila mmoja anaparanganyika kwenye ujenzi wa taifa.

Anyway Mr youngdonats18

Sisi tutaamini vipi hiyo ID ni ya mdada kweli na siyo ID yako nyingine?

Pia unafahamu kuanika PM hapa jukwaani ni kosa kulingana na sheria za JF?
Kumbeee ase siku ukitaka kuomba ukatibu wa hili jukwaa kura yangu unayo
 
Hahahahaa
 
Kuna mda humu jf unakuta pic yako imejiweka kwa avatar ya mtu mwingine. Nami kuna siku nilishangaa ila nilikuja gundua ni matatizo ya jf wenyewe.
Sasa ww hujafaya utafiti. Umekurupuka ukadhani unapendwa ptuuuu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Na ww weka picha ya huyo Mdada tukutongoze.
 
Hivi hili nalo LA kuchukua Picha yako lakulitolea povu?nazan unatafuta kiki!
 
Ukute upo kabayaa
Nimepita kwny profile yako nione birth date yako, instead hujaweka ila nahis we utahitaj shikamoo kutoka kwangu,
Me damu mbichi sana afu kwa mdada yoyote hawez kuload ili kuaccept proposal langu nikitema madini

Naomba usinijaribu sawa mamii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…