Nimegundua kuna mdada makini humu JF kaweka picha yangu kama avatar yake

Nimegundua kuna mdada makini humu JF kaweka picha yangu kama avatar yake

kwaiyo ni shs ngapi kakuibia yani kuna watu mnawaza vitu minor? kama vile vitoto vinagombea pipi ovyoooo nenda TCRA au tukupe namba ya sirro umwelezee tatizo lako
 
Hayo matatizo ni mengi sana haswa nyanda za chini kaskazini ilianza kudhihirika pale Tanesco walivyoona Koffi olomide hafai na badala yake wanamhitaji Kichuya.

Wenyewe walidhani kila asubuhi wakija wanajiandaa wanaenda mahakamani ili kuendelea na ujenzi wa taifa, mimi sijui lakini majirani wananiambia watoto wangu wapo la pili au la tatu.
Kama Hapa Namuangalia Harry Kane Sijui Ameshindaje Hii Tuzo Ya Nobel Wakamuacha Harmorapa Akakimbia Mpaka Sryia Akakuta Na Eminem Kashinda BIKO Anakabidhiwa Ela Na Kim Jong Un.
 
Kama Hapa Namuangalia Harry Kane Sijui Ameshindaje Hii Tuzo Ya Nobel Wakamuacha Harmorapa Akakimbia Mpaka Sryia Akakuta Na Eminem Kashinda BIKO Anakabidhiwa Ela Na Kim Jong Un.
Lakini kama wote tukiamua kwenda kutoa damu ni dhahiri kombe la dunia tutachukua na Bakhresa ataongeza uzalishaji wa mikate. Na bodi ya korosho ifanye mpango kiatu cha dhahabu wakamkabidhi Diamond.
 
Back
Top Bottom