Nimegundua kuna member humu anatembea na mke wangu, nitakachomfanya tusilaumiane

Hakika hayana .. mtoa mada Aje kutupa updates !
Acha dada wa watu at*mb*ke kwa raha zake, huyu mwana akiweza amsaidie adai talaka kisheria.Jitu linapiga mke katika hafla, mbele ya marafiki na jamaa bila kosa. Kisa mke kateleza bahati mbaya.

Huyo mwanamke angekuwa dada yangu ningemwambia nitaweka kambi karibia na mnapokaa, ukiona dalili za kukupiga na hauna makosa nishtue nije kuwasuluhisha kistaarabu mtakuwa hamgombani.

Sister akijichanganya akakubali, ataona "diplomasia ya ki savage". Nikiingia nitamkanda mpaka domo liwe kilo mbili, macho kang'atwa na nyuki, na kuanzia hapo atakuwa hana uhuru wa kupiga wala kuacha bila sababu za msingi.

Akiacha,kwa kuwa atakuwa kadhalilisha familia,namuahidi kumkata dole gumba na kidole kidogo cha mkono wa kazi.

Na IMAGINE tu πŸ˜†
 
Mbona mimi mkuu aliniambia kwamba ulishafariki! Mimi kutoa huduma kwa mjane nimekosea wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…