Nimegundua kusudi lililo nileta duniani. Nimeanza kuliishi kusudi hilo na linanilipa

Nimegundua kusudi lililo nileta duniani. Nimeanza kuliishi kusudi hilo na linanilipa

Nao
Naanza kwa kuwatukanizia wale wote walio ni laghai nilipokuwa mtoto mdogo kwa kuniambia eti :

1. Nimerithi dhambi ya asili kutoka kwa mtu anaitwa Adam.

2. Eti nimeletwa duniani kufanya mitihani ( majaribu).

3. Kwamba eti alie niumba aliniumba ili nimuabudu..

........

1. Sina dhambi ya asili wala sijarithi dhambi yoyote ile kutoka kwa mtu yoyote yule... I am free like Nelson Mandela. Hao walio kuwa wananilaghai kwamba nimerithi dhambi( Adhabu) kwa Adam, they were talking about their side of the family. Not mine.


2. Mnasema Mungu anajua mambo yote yaliyopo yaliyopita na yajayo sasa ananipa mitihani wakati tayari anayajua majibu yake? Wacheni kumsingizia Mungu nyie.


3. Nyie watu wa dini mnaposema " Mungu ametuumba ili tumuabudu ujue mnajichoresha sana na mnajionyesha jinsi mlivyo wepesi kichwani.

KWA NINI NASEMA HIVYO?

Ukisema Mungu ametuumba ili tumuabudu maana yake ni unasema kwamba :

" Mungu pia ni muhitaji "

Ni muhitaji kama ulivyo wewe binadamu. Anahitaji kuabudiwa..

Kama unavyo weza kusema

" Yanga wamemsajili Baleke ili awasaidie kwenye safu ya ushambuliaji" kwa sababu Yanga wana uhitaji wa striker.


Mungu sio muhitaji wala hahitaji kitu chochote kwetu .

Yeye amekamilika.

Hapungukiwi na chochote wala hahitaji chochote kutoka kwetu.

Kama anavyo sema King David,

" Bwana ndie mchungaji wangu, sinto PUNGUKIWA na kitu".

Hatopungukiwa na kitu kwa sababu Mchungaji wake hapungukiwi na kitu chochote kile. Yeye anavyo vitu vyote na amekamilika. Yeye ni Alfa na Omega yani mwanzo na mwisho. Amekamilika. Hahitaji chochote kutoka kwetu.

Niliwahi kuwauliza swali mashekhe na wachungaji wakabakia kutoa vitisho:

Swali lenyewe lilikuwa :


"Ninyi mnadai ya kwamba Mungu ametuumba ili tumuabudu. Je tusipo MUABUDU atapungukiwa na kitu gani?"

Wakajibu kwa kujiumauma: HATOPUNGUKIWA NA KITU CHOCHOTE.


Nikawauliza tena:

" Na je tukiamudu ataongezekewa na kitu gani?"

Wakajibu kwa kujiumauma:
" Hato ONGEZEKEWA na kitu chochote kile.."


Nikawaambia sasa kwanini mnawatisha watu kwamba wasipo fanya hizo ibada zenu basi watakwenda motoni?

Hamuoni kwamba mnamchoresha Mungu kwa kumfanya aonekane yupo desperate na kuabudiwa kiasi kwamba ameweka hadi Jehanamu ili kuwachoma wale ambao hawato muabudu wakati hata kabla haja waumba alijua mwisho wao utakuwa Jehanamu?

Hata wewe usinge weza kujibu..


LEO NINAKWAMBIA KWANINI MUNGU AMETUUMBA.

Mungu ametuumba ili tufanye starehe period. Ndio maana hata kwenye vitabu vyenu mnasema Mungu alistarehe siku ya saba baada ya kumuumba binadamu siku ya sita.

Asili ya binadamu ni starehe ( umetokana na starehe) na maisha yake anatakiwa kuyaishi kwa kustarehe.

Ndugu zangu Mimi tayari nimeshajipata. Maisha yangu ni starehe... Nitaishi kwa starehe katika siku zote za maisha yangu. Nitaitafuta starehe by any means necessary. Kamwe sinto acha kustarehe. Nitafanya kama alivyo sema Nabii wenu Suleiman kwenye kitabu cha Mhubiri " SINTOINYIMA nafsi yangu kitu chochote ambacho itakihitaji"

Tangu nianze kuyaishi maisha ya kustarehe kama ibada yangu ya asili, furaha yangu imeongezeka mara mia..

Am so happy muda wote nawaza starehe na ninafanya starehe. Wewe endelea kujistress ili ugundue usafiri wa kwenda Mars wakati Mars kwenyewe hakuna hata mademu...

Mimi nasema Mungu ameniumba ili kustarehe na ushahidi unao sopati hoja yangu upo kwenye nature na upo kwenye mwili wangu yani kwenye mwili wangu Mungu amenipa viungo maalumu kwa ajili ya kufanya starehe.

Hebu wewe unaesema Mungu ameniumba ili umuabudu tuonyeshe kitu chochote kwenye nature ambacho kina prove hoja yako. Onyesha kitu chochote kwenye mwili wako ambacho kina suggest kwamba Mungu alikiweka kwenye mwili wako ili ukitumie kumuabudu...

Unaweza kuishi maisha yako yote bila kwenda msikitini wala kanisani na chochote kisitokee lakini huwezi ishi hata wiki moja tu bila kufanya starehe ..


Starehe

Starehe
Starehe.
Naomba kufahamu mfano wa starehe unazozizungumzia......
 
Naanza kwa kuwatukanizia wale wote walio ni laghai nilipokuwa mtoto mdogo kwa kuniambia eti :

1. Nimerithi dhambi ya asili kutoka kwa mtu anaitwa Adam.

2. Eti nimeletwa duniani kufanya mitihani ( majaribu).

3. Kwamba eti alie niumba aliniumba ili nimuabudu..

........

1. Sina dhambi ya asili wala sijarithi dhambi yoyote ile kutoka kwa mtu yoyote yule... I am free like Nelson Mandela. Hao walio kuwa wananilaghai kwamba nimerithi dhambi( Adhabu) kwa Adam, they were talking about their side of the family. Not mine.


2. Mnasema Mungu anajua mambo yote yaliyopo yaliyopita na yajayo sasa ananipa mitihani wakati tayari anayajua majibu yake? Wacheni kumsingizia Mungu nyie.


3. Nyie watu wa dini mnaposema " Mungu ametuumba ili tumuabudu ujue mnajichoresha sana na mnajionyesha jinsi mlivyo wepesi kichwani.

KWA NINI NASEMA HIVYO?

Ukisema Mungu ametuumba ili tumuabudu maana yake ni unasema kwamba :

" Mungu pia ni muhitaji "

Ni muhitaji kama ulivyo wewe binadamu. Anahitaji kuabudiwa..

Kama unavyo weza kusema

" Yanga wamemsajili Baleke ili awasaidie kwenye safu ya ushambuliaji" kwa sababu Yanga wana uhitaji wa striker.


Mungu sio muhitaji wala hahitaji kitu chochote kwetu .

Yeye amekamilika.

Hapungukiwi na chochote wala hahitaji chochote kutoka kwetu.

Kama anavyo sema King David,

" Bwana ndie mchungaji wangu, sinto PUNGUKIWA na kitu".

Hatopungukiwa na kitu kwa sababu Mchungaji wake hapungukiwi na kitu chochote kile. Yeye anavyo vitu vyote na amekamilika. Yeye ni Alfa na Omega yani mwanzo na mwisho. Amekamilika. Hahitaji chochote kutoka kwetu.

Niliwahi kuwauliza swali mashekhe na wachungaji wakabakia kutoa vitisho:

Swali lenyewe lilikuwa :


"Ninyi mnadai ya kwamba Mungu ametuumba ili tumuabudu. Je tusipo MUABUDU atapungukiwa na kitu gani?"

Wakajibu kwa kujiumauma: HATOPUNGUKIWA NA KITU CHOCHOTE.


Nikawauliza tena:

" Na je tukiamudu ataongezekewa na kitu gani?"

Wakajibu kwa kujiumauma:
" Hato ONGEZEKEWA na kitu chochote kile.."


Nikawaambia sasa kwanini mnawatisha watu kwamba wasipo fanya hizo ibada zenu basi watakwenda motoni?

Hamuoni kwamba mnamchoresha Mungu kwa kumfanya aonekane yupo desperate na kuabudiwa kiasi kwamba ameweka hadi Jehanamu ili kuwachoma wale ambao hawato muabudu wakati hata kabla haja waumba alijua mwisho wao utakuwa Jehanamu?

Hata wewe usinge weza kujibu..


LEO NINAKWAMBIA KWANINI MUNGU AMETUUMBA.

Mungu ametuumba ili tufanye starehe period. Ndio maana hata kwenye vitabu vyenu mnasema Mungu alistarehe siku ya saba baada ya kumuumba binadamu siku ya sita.

Asili ya binadamu ni starehe ( umetokana na starehe) na maisha yake anatakiwa kuyaishi kwa kustarehe.

Ndugu zangu Mimi tayari nimeshajipata. Maisha yangu ni starehe... Nitaishi kwa starehe katika siku zote za maisha yangu. Nitaitafuta starehe by any means necessary. Kamwe sinto acha kustarehe. Nitafanya kama alivyo sema Nabii wenu Suleiman kwenye kitabu cha Mhubiri " SINTOINYIMA nafsi yangu kitu chochote ambacho itakihitaji"

Tangu nianze kuyaishi maisha ya kustarehe kama ibada yangu ya asili, furaha yangu imeongezeka mara mia..

Am so happy muda wote nawaza starehe na ninafanya starehe. Wewe endelea kujistress ili ugundue usafiri wa kwenda Mars wakati Mars kwenyewe hakuna hata mademu...

Mimi nasema Mungu ameniumba ili kustarehe na ushahidi unao sopati hoja yangu upo kwenye nature na upo kwenye mwili wangu yani kwenye mwili wangu Mungu amenipa viungo maalumu kwa ajili ya kufanya starehe.

Hebu wewe unaesema Mungu ameniumba ili umuabudu tuonyeshe kitu chochote kwenye nature ambacho kina prove hoja yako. Onyesha kitu chochote kwenye mwili wako ambacho kina suggest kwamba Mungu alikiweka kwenye mwili wako ili ukitumie kumuabudu...

Unaweza kuishi maisha yako yote bila kwenda msikitini wala kanisani na chochote kisitokee lakini huwezi ishi hata wiki moja tu bila kufanya starehe ..


Starehe

Starehe
Starehe.
Lengo la MUNGU kutuumba sisi ni ......
26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
Mwanzo 1:26
 
Lengo la MUNGU kutuumba sisi ni ......
26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
Mwanzo 1:26
Mungu huyo huyo alisema " Nendeni mkazaliane muijaze dunia"
 
imeandikwa kwenye vitabu vya imani " enendeni mkazaliane muijaze dunia" .

Elewa maana ya neno " mkazaliane"
Ukisoma vizuri maandiko utagundua kwamba kabla ya dhambi ....hakuna Fungu linalosema Adam na Hawa wakanyanduana.....hio starehe naiona baada ya dhambi Adam akamjua mkewe ....kunyanduana ni matokeo ya dhambi...
 
Naanza kwa kuwatukanizia wale wote walio ni laghai nilipokuwa mtoto mdogo kwa kuniambia eti :

1. Nimerithi dhambi ya asili kutoka kwa mtu anaitwa Adam.

2. Eti nimeletwa duniani kufanya mitihani ( majaribu).

3. Kwamba eti alie niumba aliniumba ili nimuabudu..

........

1. Sina dhambi ya asili wala sijarithi dhambi yoyote ile kutoka kwa mtu yoyote yule... I am free like Nelson Mandela. Hao walio kuwa wananilaghai kwamba nimerithi dhambi( Adhabu) kwa Adam, they were talking about their side of the family. Not mine.


2. Mnasema Mungu anajua mambo yote yaliyopo yaliyopita na yajayo sasa ananipa mitihani wakati tayari anayajua majibu yake? Wacheni kumsingizia Mungu nyie.


3. Nyie watu wa dini mnaposema " Mungu ametuumba ili tumuabudu ujue mnajichoresha sana na mnajionyesha jinsi mlivyo wepesi kichwani.

KWA NINI NASEMA HIVYO?

Ukisema Mungu ametuumba ili tumuabudu maana yake ni unasema kwamba :

" Mungu pia ni muhitaji "

Ni muhitaji kama ulivyo wewe binadamu. Anahitaji kuabudiwa..

Kama unavyo weza kusema

" Yanga wamemsajili Baleke ili awasaidie kwenye safu ya ushambuliaji" kwa sababu Yanga wana uhitaji wa striker.


Mungu sio muhitaji wala hahitaji kitu chochote kwetu .

Yeye amekamilika.

Hapungukiwi na chochote wala hahitaji chochote kutoka kwetu.

Kama anavyo sema King David,

" Bwana ndie mchungaji wangu, sinto PUNGUKIWA na kitu".

Hatopungukiwa na kitu kwa sababu Mchungaji wake hapungukiwi na kitu chochote kile. Yeye anavyo vitu vyote na amekamilika. Yeye ni Alfa na Omega yani mwanzo na mwisho. Amekamilika. Hahitaji chochote kutoka kwetu.

Niliwahi kuwauliza swali mashekhe na wachungaji wakabakia kutoa vitisho:

Swali lenyewe lilikuwa :


"Ninyi mnadai ya kwamba Mungu ametuumba ili tumuabudu. Je tusipo MUABUDU atapungukiwa na kitu gani?"

Wakajibu kwa kujiumauma: HATOPUNGUKIWA NA KITU CHOCHOTE.


Nikawauliza tena:

" Na je tukiamudu ataongezekewa na kitu gani?"

Wakajibu kwa kujiumauma:
" Hato ONGEZEKEWA na kitu chochote kile.."


Nikawaambia sasa kwanini mnawatisha watu kwamba wasipo fanya hizo ibada zenu basi watakwenda motoni?

Hamuoni kwamba mnamchoresha Mungu kwa kumfanya aonekane yupo desperate na kuabudiwa kiasi kwamba ameweka hadi Jehanamu ili kuwachoma wale ambao hawato muabudu wakati hata kabla haja waumba alijua mwisho wao utakuwa Jehanamu?

Hata wewe usinge weza kujibu..


LEO NINAKWAMBIA KWANINI MUNGU AMETUUMBA.

Mungu ametuumba ili tufanye starehe period. Ndio maana hata kwenye vitabu vyenu mnasema Mungu alistarehe siku ya saba baada ya kumuumba binadamu siku ya sita.

Asili ya binadamu ni starehe ( umetokana na starehe) na maisha yake anatakiwa kuyaishi kwa kustarehe.

Ndugu zangu Mimi tayari nimeshajipata. Maisha yangu ni starehe... Nitaishi kwa starehe katika siku zote za maisha yangu. Nitaitafuta starehe by any means necessary. Kamwe sinto acha kustarehe. Nitafanya kama alivyo sema Nabii wenu Suleiman kwenye kitabu cha Mhubiri " SINTOINYIMA nafsi yangu kitu chochote ambacho itakihitaji"

Tangu nianze kuyaishi maisha ya kustarehe kama ibada yangu ya asili, furaha yangu imeongezeka mara mia..

Am so happy muda wote nawaza starehe na ninafanya starehe. Wewe endelea kujistress ili ugundue usafiri wa kwenda Mars wakati Mars kwenyewe hakuna hata mademu...

Mimi nasema Mungu ameniumba ili kustarehe na ushahidi unao sopati hoja yangu upo kwenye nature na upo kwenye mwili wangu yani kwenye mwili wangu Mungu amenipa viungo maalumu kwa ajili ya kufanya starehe.

Hebu wewe unaesema Mungu ameniumba ili umuabudu tuonyeshe kitu chochote kwenye nature ambacho kina prove hoja yako. Onyesha kitu chochote kwenye mwili wako ambacho kina suggest kwamba Mungu alikiweka kwenye mwili wako ili ukitumie kumuabudu...

Unaweza kuishi maisha yako yote bila kwenda msikitini wala kanisani na chochote kisitokee lakini huwezi ishi hata wiki moja tu bila kufanya starehe ..


Starehe

Starehe
Starehe.
Bora wewe umejipata starehe bwana kuwa huru kabisa,kula maisha na mtu asikushitaki kwa chochote,
Ila tu usivunje sheria za jamhuri
 
Ukisoma vizuri maandiko utagundua kwamba kabla ya dhambi ....hakuna Fungu linalosema Adam na Hawa wakanyanduana.....hio starehe naiona baada ya dhambi Adam akamjua mkewe ....
Za kuambiwa changanya na zako mkuu.

So unataka kusema Mungu alimuumba Adamu akampa dushe akamuumba Hawa akampa papuchi ili wavitumie kufungia maandazi ama?
 
Bora wewe umejipata starehe bwana kuwa huru kabisa,kula maisha na mtu asikushitaki kwa chochote,
Ila tu usivunje sheria za jamhuri
Ur the true son of your father. Go at any bar near you and tell them to give you two bottles of red wine and two females. Talaka ( bili) niletee Mimi ntalipa
 
"Ninyi mnadai ya kwamba Mungu ametuumba ili tumuabudu. Je tusipo MUABUDU atapungukiwa na kitu gani?"

.
Hapungukiwi lolote, umepewa uhuru wa kuchagua cha kufanya hapa duniani, ila ukirejea kwake yeye ndiye mwenye maamuzi juu yako kama alivyo amua kukuleta hapa duniani.
 
Kusema tumeumbwa kuabudu ni sawa na kusema mzazi amezaa ili asalimiwe.

Salamu ni heshima, mzazi akiipata anafarijika ila ukimnyima anasononeka hakuna zaidi ya hapo. Haiongezi wala kupunguza chochote zaidi ya kufarijika na kusononesha.

Inawezekana kwa MUNGU ni hivyo hivyo. Ibada inamfariji, inamfurahisha. Kutokufanya ibada kunamsononesha na hakuna zaidi ya hapo.(HII NI KWA WANAOAMINI, KAMA HUAMINI KUHUSU MUNGU HAIKIHUSU)

Kuhusu kuja duniani kufanya starehe ni sawa na kusema mtoto yupo ili acheze. Ukishasalimia na kuzungumza na mzee au mama unaenda kicheza kwa raha zako na mzazi anakutazama unavyocheza na anafarijika. (HII NI KWA WANAOAMINI, KAMA HUAMINI KUHUSU MUNGU HAIKIHUSU)

Ukishafanya ibada au kusali nenda kastarehe kwa raha zako huku ukizingatia miongozo ya dini uliyochagua kuiamini.
 
Haya ni mahusiano ya baba na mwana
Hivi wewe unaweza kumuamulia mwanao aliyekwishajipata afanye unavyotaka?
Baba na mwana huwezi fananisha na Mungu na viumbe wake, Mungu amekupa uhuru wa kuchagua lakini pia amekupa sheria na taratibu za kufuata ili ujue ni lipi jema na lipi baya.
 
Kusema tumeumbwa kuabudu ni sawa na kusema mzazi amezaa ili asalimiwe.

Salamu ni heshima, mzazi akiipata anafarijika ila ukimnyima anasononeka hakuna zaidi ya hapo. Haiongezi wala kupunguza chochote zaidi ya kufarijika na kusononesha.

Inawezekana kwa MUNGU ni hivyo hivyo. Ibada inamfariji, inamfurahisha. Kutokufanya ibada kunamsononesha na hakuna zaidi ya hapo.

Kuhusu kuja duniani kufanya starehe ni sawa na kusema mtoto yupo ili acheze. Ukishasalimia na kuzungumza na mzee au mama unaenda kicheza kwa raha zako na mzazi anakutazama unavyocheza na anafarijika.

Ukishafanya ibada au kusali nenda kastarehe kwa raha zako.
Wewe ndo umeharibu kabisa mkuu yani ume mu-humanize Mungu. Mungu na kusononeka wapi na wapi mkuu?

Mungu anahitaji faraja? Nitake radhi mkuu

Ili mtu aweze kukusononesha ni lazima wewe usiwe na uwezo wa kujua atakacho kifanya hapo baadae.

Mungu anayajua maisha yako yote hata kabla hujaumbwa. Chochote utakacho kifanya sasa hivi, hawezi kuwa surprised kwa sababu alisha kijua hata kabla hajazaliwa. He is not a human being.

Please stop thinking of God like that.
 
BTW, heaven will be the most boring place to be. Imagine utakuwa unaabudu 24/7, unaimba 24/7, kula asali, matunda na maziwa....really boring!!
 
Back
Top Bottom