Nimegundua kusudi lililo nileta duniani. Nimeanza kuliishi kusudi hilo na linanilipa

Nimegundua kusudi lililo nileta duniani. Nimeanza kuliishi kusudi hilo na linanilipa

Wacha kujistress mkuu.. umeumbwa ili ufanye starehe period.

Unamtembelea Mungu wewe unapajua Mungu anapokaa?

Alie kuumba mwenyewe alishakwamba toka mwanzo kabisa " Nenda ukazaliane uijaze dunia" .

Elewa maana ya neno " kuzaliana"
Yule mwanamke uliyrmfuata Mtwara/Lindi ndiyo anataka tuamini hayo?
 
Naanza kwa kuwatukanizia wale wote walio ni laghai nilipokuwa mtoto mdogo kwa kuniambia eti :

1. Nimerithi dhambi ya asili kutoka kwa mtu anaitwa Adam.

2. Eti nimeletwa duniani kufanya mitihani ( majaribu).

3. Kwamba eti alie niumba aliniumba ili nimuabudu..

........

1. Sina dhambi ya asili wala sijarithi dhambi yoyote ile kutoka kwa mtu yoyote yule... I am free like Nelson Mandela. Hao walio kuwa wananilaghai kwamba nimerithi dhambi( Adhabu) kwa Adam, they were talking about their side of the family. Not mine.


2. Mnasema Mungu anajua mambo yote yaliyopo yaliyopita na yajayo sasa ananipa mitihani wakati tayari anayajua majibu yake? Wacheni kumsingizia Mungu nyie.


3. Nyie watu wa dini mnaposema " Mungu ametuumba ili tumuabudu ujue mnajichoresha sana na mnajionyesha jinsi mlivyo wepesi kichwani.

KWA NINI NASEMA HIVYO?

Ukisema Mungu ametuumba ili tumuabudu maana yake ni unasema kwamba :

" Mungu pia ni muhitaji "

Ni muhitaji kama ulivyo wewe binadamu. Anahitaji kuabudiwa..

Kama unavyo weza kusema

" Yanga wamemsajili Baleke ili awasaidie kwenye safu ya ushambuliaji" kwa sababu Yanga wana uhitaji wa striker.


Mungu sio muhitaji wala hahitaji kitu chochote kwetu .

Yeye amekamilika.

Hapungukiwi na chochote wala hahitaji chochote kutoka kwetu.

Kama anavyo sema King David,

" Bwana ndie mchungaji wangu, sinto PUNGUKIWA na kitu".

Hatopungukiwa na kitu kwa sababu Mchungaji wake hapungukiwi na kitu chochote kile. Yeye anavyo vitu vyote na amekamilika. Yeye ni Alfa na Omega yani mwanzo na mwisho. Amekamilika. Hahitaji chochote kutoka kwetu.

Niliwahi kuwauliza swali mashekhe na wachungaji wakabakia kutoa vitisho:

Swali lenyewe lilikuwa :


"Ninyi mnadai ya kwamba Mungu ametuumba ili tumuabudu. Je tusipo MUABUDU atapungukiwa na kitu gani?"

Wakajibu kwa kujiumauma: HATOPUNGUKIWA NA KITU CHOCHOTE.


Nikawauliza tena:

" Na je tukiamudu ataongezekewa na kitu gani?"

Wakajibu kwa kujiumauma:
" Hato ONGEZEKEWA na kitu chochote kile.."


Nikawaambia sasa kwanini mnawatisha watu kwamba wasipo fanya hizo ibada zenu basi watakwenda motoni?

Hamuoni kwamba mnamchoresha Mungu kwa kumfanya aonekane yupo desperate na kuabudiwa kiasi kwamba ameweka hadi Jehanamu ili kuwachoma wale ambao hawato muabudu wakati hata kabla haja waumba alijua mwisho wao utakuwa Jehanamu?

Hata wewe usinge weza kujibu..


LEO NINAKWAMBIA KWANINI MUNGU AMETUUMBA.

Mungu ametuumba ili tufanye starehe period. Ndio maana hata kwenye vitabu vyenu mnasema Mungu alistarehe siku ya saba baada ya kumuumba binadamu siku ya sita.

Asili ya binadamu ni starehe ( umetokana na starehe) na maisha yake anatakiwa kuyaishi kwa kustarehe.

Ndugu zangu Mimi tayari nimeshajipata. Maisha yangu ni starehe... Nitaishi kwa starehe katika siku zote za maisha yangu. Nitaitafuta starehe by any means necessary. Kamwe sinto acha kustarehe. Nitafanya kama alivyo sema Nabii wenu Suleiman kwenye kitabu cha Mhubiri " SINTOINYIMA nafsi yangu kitu chochote ambacho itakihitaji"

Tangu nianze kuyaishi maisha ya kustarehe kama ibada yangu ya asili, furaha yangu imeongezeka mara mia..

Am so happy muda wote nawaza starehe na ninafanya starehe. Wewe endelea kujistress ili ugundue usafiri wa kwenda Mars wakati Mars kwenyewe hakuna hata mademu...

Mimi nasema Mungu ameniumba ili kustarehe na ushahidi unao sopati hoja yangu upo kwenye nature na upo kwenye mwili wangu yani kwenye mwili wangu Mungu amenipa viungo maalumu kwa ajili ya kufanya starehe.

Hebu wewe unaesema Mungu amekuumba ili umuabudu tuonyeshe kitu chochote kwenye nature ambacho kina prove hoja yako. Onyesha kitu chochote kwenye mwili wako ambacho kina suggest kwamba Mungu alikiweka kwenye mwili wako ili ukitumie kumuabudu...

Unaweza kuishi maisha yako yote bila kwenda msikitini wala kanisani na chochote kisitokee lakini huwezi ishi hata wiki moja tu bila kufanya starehe ..


Starehe

Starehe
Starehe.
Nini maana ya "kumuabudu"?
 
Naanza kwa kuwatukanizia wale wote walio ni laghai nilipokuwa mtoto mdogo kwa kuniambia eti :

1. Nimerithi dhambi ya asili kutoka kwa mtu anaitwa Adam.

2. Eti nimeletwa duniani kufanya mitihani ( majaribu).

3. Kwamba eti alie niumba aliniumba ili nimuabudu..

........

1. Sina dhambi ya asili wala sijarithi dhambi yoyote ile kutoka kwa mtu yoyote yule... I am free like Nelson Mandela. Hao walio kuwa wananilaghai kwamba nimerithi dhambi( Adhabu) kwa Adam, they were talking about their side of the family. Not mine.


2. Mnasema Mungu anajua mambo yote yaliyopo yaliyopita na yajayo sasa ananipa mitihani wakati tayari anayajua majibu yake? Wacheni kumsingizia Mungu nyie.


3. Nyie watu wa dini mnaposema " Mungu ametuumba ili tumuabudu ujue mnajichoresha sana na mnajionyesha jinsi mlivyo wepesi kichwani.

KWA NINI NASEMA HIVYO?

Ukisema Mungu ametuumba ili tumuabudu maana yake ni unasema kwamba :

" Mungu pia ni muhitaji "

Ni muhitaji kama ulivyo wewe binadamu. Anahitaji kuabudiwa..

Kama unavyo weza kusema

" Yanga wamemsajili Baleke ili awasaidie kwenye safu ya ushambuliaji" kwa sababu Yanga wana uhitaji wa striker.


Mungu sio muhitaji wala hahitaji kitu chochote kwetu .

Yeye amekamilika.

Hapungukiwi na chochote wala hahitaji chochote kutoka kwetu.

Kama anavyo sema King David,

" Bwana ndie mchungaji wangu, sinto PUNGUKIWA na kitu".

Hatopungukiwa na kitu kwa sababu Mchungaji wake hapungukiwi na kitu chochote kile. Yeye anavyo vitu vyote na amekamilika. Yeye ni Alfa na Omega yani mwanzo na mwisho. Amekamilika. Hahitaji chochote kutoka kwetu.

Niliwahi kuwauliza swali mashekhe na wachungaji wakabakia kutoa vitisho:

Swali lenyewe lilikuwa :


"Ninyi mnadai ya kwamba Mungu ametuumba ili tumuabudu. Je tusipo MUABUDU atapungukiwa na kitu gani?"

Wakajibu kwa kujiumauma: HATOPUNGUKIWA NA KITU CHOCHOTE.


Nikawauliza tena:

" Na je tukiamudu ataongezekewa na kitu gani?"

Wakajibu kwa kujiumauma:
" Hato ONGEZEKEWA na kitu chochote kile.."


Nikawaambia sasa kwanini mnawatisha watu kwamba wasipo fanya hizo ibada zenu basi watakwenda motoni?

Hamuoni kwamba mnamchoresha Mungu kwa kumfanya aonekane yupo desperate na kuabudiwa kiasi kwamba ameweka hadi Jehanamu ili kuwachoma wale ambao hawato muabudu wakati hata kabla haja waumba alijua mwisho wao utakuwa Jehanamu?

Hata wewe usinge weza kujibu..


LEO NINAKWAMBIA KWANINI MUNGU AMETUUMBA.

Mungu ametuumba ili tufanye starehe period. Ndio maana hata kwenye vitabu vyenu mnasema Mungu alistarehe siku ya saba baada ya kumuumba binadamu siku ya sita.

Asili ya binadamu ni starehe ( umetokana na starehe) na maisha yake anatakiwa kuyaishi kwa kustarehe.

Ndugu zangu Mimi tayari nimeshajipata. Maisha yangu ni starehe... Nitaishi kwa starehe katika siku zote za maisha yangu. Nitaitafuta starehe by any means necessary. Kamwe sinto acha kustarehe. Nitafanya kama alivyo sema Nabii wenu Suleiman kwenye kitabu cha Mhubiri " SINTOINYIMA nafsi yangu kitu chochote ambacho itakihitaji"

Tangu nianze kuyaishi maisha ya kustarehe kama ibada yangu ya asili, furaha yangu imeongezeka mara mia..

Am so happy muda wote nawaza starehe na ninafanya starehe. Wewe endelea kujistress ili ugundue usafiri wa kwenda Mars wakati Mars kwenyewe hakuna hata mademu...

Mimi nasema Mungu ameniumba ili kustarehe na ushahidi unao sopati hoja yangu upo kwenye nature na upo kwenye mwili wangu yani kwenye mwili wangu Mungu amenipa viungo maalumu kwa ajili ya kufanya starehe.

Hebu wewe unaesema Mungu amekuumba ili umuabudu tuonyeshe kitu chochote kwenye nature ambacho kina prove hoja yako. Onyesha kitu chochote kwenye mwili wako ambacho kina suggest kwamba Mungu alikiweka kwenye mwili wako ili ukitumie kumuabudu...

Unaweza kuishi maisha yako yote bila kwenda msikitini wala kanisani na chochote kisitokee lakini huwezi ishi hata wiki moja tu bila kufanya starehe ..


Starehe

Starehe
Starehe.
I second this
 
Ng'ombe hajui dhumuni la mfuga ng'ombe
Naamini pia sisi hatujui dhumuni
Lakini kwa kuwaza nje ya box nadhani

Sisi ni kama mazao tu tukiishi kwa kutenda mema roho wa Mungu anapata kuwa imara au kushiba hata ukifa kama ni mtenda mema ina maana ni faida kwa Mungu amepata mazao ile roho yako njema ni kama chakula kwake anazidi kuwa strong ndiyo maana tunaimizwa kutenda wema, pia tuijaze dunia (mazao)
Kutenda dhambi ni faida ya shetani anapata msuli wa kutunisha huko unakuwa chakula yake
Wewe kijana nimesha kukanya. Mungu hapati faida wala hasara... faida na hasara ni masuala ya wanadamu. Mungu amekamilika. Anajitosheleza. Hahitaji chochote kutoka kwetu.
 
Ukisoma maandiko inaonyesha MUNGU ni roho, ni roho inayopatwa na hasira, huzuni, kusononeka, furaha n.k

Mfano Mwanzo 6:5-22 kwenye gharika biblia imeweka wazi kuwa BWANA akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu, akahuzunika moyo.

Hii ni kawaida boss, hata wewe hapo kazini unajua utalipwa mshahara na ukilipwa unafurahi kweli. Hata MUNGU anajua utakalofanya na ukilifanya linampa raha au huzuni.
Mwanzo 6: 6 inasema " Mungu alijuta kwanini alimuumba mwanadamu".

Hiyo ni lugha ya kiroho imetumika hapo wala haimaanishi kwamba eti Mungu alijutia kumuumba mwanadamu. Je Unataka nikwambie maana yake?

1. Mungu hawezi kuhuzunika.

2. Mungu hawezi kupatwa na hasira.

Mungu hawezi kuhuzunika kwa sababu nothing surprises him. He lives above the time. In the realm of the spirits, the past, present and future exist in the same now..


Mungu hawezi kuhuzunishwa na chochote kwa sababu yeye ni mwanzo na mwisho. Mambo yote alisha yaona hata kabla hayajatokea. So hakuna kinacho msurprise. Ili uweze kuhuzunishwa na jambo ni lazima kwanza uwe hujui nini kitatokea mbele..


Mungu hawezi kupatwa na hasira. Hakuna kitu kinacho weza kumkasirisha Mungu kwa sababu;


1. Ili jambo liweze kukukasirisha ni lazima iwe kitu ambacho hukukitarajia. Mungu anajua kila kitu utakacho kifanya hata kabla haujazaliwa. Unapo fanya jambo baya unakuwa hujamsurprise Mungu kwa sababu tayari alisha jua. So hawezi kukasirika..


Pili : Kama wewe mwanadamu unaweza kumfanya Mungu akasirike basi tafsiri yake ni kwamba wewe unaweza ku control " emotions" za Mungu. Unaweza ku control how God think. Jambo ambalo haliwezekani.

Wewe mwanadamu huna uwezo wa kumfurahisha wala kumkasirisha Mungu.


Hupaswi kujipa umuhimu huo kwa Mungu kabisa.

Kuna mlokole mmoja alikuwa na imani hiyo basi siku moja akawa anasali anamtishia Mungu kwamba endapo hato mpa mtaji wa biashara basi atakuwa shoga.
 
Dini ya ukweli ni UPENDO Mungu ametuumba ili tujifunze na tukifa tunarudi nyumbani yaani tunarudi tulipotoka kabla hatujazaliwa, kwahiyo kwenye kujifunza ukifaulu utaishi maisha mazuri na kustarehe uki fail utakumbana na msoto mkali wa ugumu wa maisha hapo hata starehe haitowezekana lakini as long as binadamu tumepewa akili inabidi akili itumike fully ili mambo yawe sawa.
100% correct
 
Mwanzo 6: 6 inasema " Mungu alijuta kwanini alimuumba mwanadamu".

Hiyo ni lugha ya kiroho imetumika hapo wala haimaanishi kwamba eti Mungu alijutia kumuumba mwanadamu. Je Unataka nikwambie maana yake?

1. Mungu hawezi kuhuzunika.

2. Mungu hawezi kupatwa na hasira.

Mungu hawezi kuhuzunika kwa sababu nothing surprises him. He lives above the time. In the realm of the spirits, the past, present and future exist in the same now..


Mungu hawezi kuhuzunishwa na chochote kwa sababu yeye ni mwanzo na mwisho. Mambo yote alisha yaona hata kabla hayajatokea. So hakuna kinacho msurprise. Ili uweze kuhuzunishwa na jambo ni lazima kwanza uwe hujui nini kitatokea mbele..


Mungu hawezi kupatwa na hasira. Hakuna kitu kinacho weza kumkasirisha Mungu kwa sababu;


1. Ili jambo liweze kukukasirisha ni lazima iwe kitu ambacho hukukitarajia. Mungu anajua kila kitu utakacho kifanya hata kabla haujazaliwa. Unapo fanya jambo baya unakuwa hujamsurprise Mungu kwa sababu tayari alisha jua. So hawezi kukasirika..


Pili : Kama wewe mwanadamu unaweza kumfanya Mungu akasirike basi tafsiri yake ni kwamba wewe unaweza ku control " emotions" za Mungu. Unaweza ku control how God think. Jambo ambalo haliwezekani.

Wewe mwanadamu huna uwezo wa kumfurahisha wala kumkasirisha Mungu.


Hupaswi kujipa umuhimu huo kwa Mungu kabisa.

Kuna mlokole mmoja alikuwa na imani hiyo basi siku moja akawa anasali anamtishia Mungu kwamba endapo hato mpa mtaji wa biashara basi atakuwa shoga.
Sawa boss.
 
Unaweza kuishi maisha yako yote bila kwenda msikitini wala kanisani na chochote kisitokee lakini huwezi ishi hata wiki moja tu bila kufanya starehe ..
Kuwa makini na hii theologia yako haijawa kamilifu na ina makosa mengi. Unatumia Maandiko (Biblia) kujenga hoja e.g. Mungu alistarehe baada ya uumbaji; tafsiri nyingine za Biblia zinasema Mungu alipumzika baada ya uumbaji.

Pili kwa kuwa unaamini Biblia na unaitumia kuhalalisha vipengele flani flani basi ujue kuwa kuna vipengele vingi tu kwenye Biblia je navyo unaviishi? Mfano; kutoa zaka, kutoa sadaka, kufanya kusanyiko takatifu, kutembelea yatima na wajane na mengi mengine. Je unayashika hayo kama unavyoshika hilo suala la kustarehe? Au umeshika jambo la kustarehe tu kwa sababu unapenda hilo tu?
 
Mnahangaika sana kumuongelea huyo Mungu kwa vile hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe.

Mmemtunga huyo Mungu vichwani mwenu na kumuundia sifa zake.

Human beings created God through assumptions based on things beyond their imaginations.
 
Back
Top Bottom