Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umekwishajipata jamaaKusema tumeumbwa kuabudu ni sawa na kusema mzazi amezaa ili asalimiwe.
Salamu ni heshima, mzazi akiipata anafarijika ila ukimnyima anasononeka hakuna zaidi ya hapo. Haiongezi wala kupunguza chochote zaidi ya kufarijika na kusononesha.
Inawezekana kwa MUNGU ni hivyo hivyo. Ibada inamfariji, inamfurahisha. Kutokufanya ibada kunamsononesha na hakuna zaidi ya hapo.(HII NI KWA WANAOAMINI, KAMA HUAMINI KUHUSU MUNGU HAIKIHUSU)
Kuhusu kuja duniani kufanya starehe ni sawa na kusema mtoto yupo ili acheze. Ukishasalimia na kuzungumza na mzee au mama unaenda kicheza kwa raha zako na mzazi anakutazama unavyocheza na anafarijika. (HII NI KWA WANAOAMINI, KAMA HUAMINI KUHUSU MUNGU HAIKIHUSU)
Ukishafanya ibada au kusali nenda kastarehe kwa raha zako huku ukizingatia miongozo ya dini uliyochagua kuiamini.
Mungu sio mwanadamu mkuu. He doesn't think the way you think. He doesn't need anything from you.Hapungukiwi lolote, umepewa uhuru wa kuchagua cha kufanya hapa duniani, ila ukirejea kwake yeye ndiye mwenye maamuzi juu yako kama alivyo amua kukuleta hapa duniani.
Umuhimu upi nimejipa kwa Mungu? Wapi nimesema Mungu ni kama mwanadamu?Mungu sio mwanadamu mkuu. He doesn't think the way you think. He doesn't need anything from you.
wacha kujipa umuhimu huo kwa Mungu.
😆😆😆....unataka starehe na wew ukaoe malaika .....BTW, heaven will be the most boring place to be. Imagine utakuwa unaabudu 24/7, unaimba 24/7, kula asali, matunda na maziwa....really boring!!
Muhimu upendo tu 😍😍Ndio nakubaliana na wewe, tufurahie na tustarehe, kwangu pia maisha ni celebration mwanzo mwenga!
Ukisoma maandiko inaonyesha MUNGU ni roho, ni roho inayopatwa na hasira, huzuni, kusononeka, furaha n.kWewe ndo umeharibu kabisa mkuu yani ume mu-humanize Mungu. Mungu na kusononeka wapi na wapi mkuu?
Mungu anahitaji faraja?
Hii ni kawaida boss, hata wewe hapo kazini unajua utalipwa mshahara na ukilipwa unafurahi kweli. Hata MUNGU anajua utakalofanya na ukilifanya linampa raha au huzuni.Mungu anayajua maisha yako yote hata kabla hujaumbwa. Chochote utakacho kifanya sasa hivi, hawezi kuwa surprised kwa sababu alisha kijua hata kabla hajazaliwa. He is not a human being.
Please stop thinking of God like that.
Kabisa mkuu, MUNGU NI UPENDO. Huo UPENDO uwe wa kweli real love, unconditional love( AGAPE )Muhimu upendo tu 😍😍
Shetani alitoa semina kwa kuanza kumnyandua hawa Adam naye ndo akala mzigo!Nahisi wangepewa semina namna ya kuvitumia....
Mungu ni Pendo na hana upendeleo, wote katupa pumzi, wote anatunyeshea Mvua, wote anatuangazia jua, shida ni sisi tu tunajistukia sana na kuanza kutengeneza mungu wetu wa visasi eti usipofanya hivi atakufanya vile (that's not love)Kabisa mkuu, MUNGU NI UPENDO. Huo UPENDO uwe wa kweli real love, unconditional love( AGAPE )
Huyo kwenye picha ni wewe? Kama ndio wewe au ni rika lako, hakika wanafamilia na ndugu zako wamepata hasara.That is love.
Kama nakupa chakula ili one hilo sio hitaji langu. Ni upendo
Kwahiyo mkuu uzinzi ndio starehe? Unatia aibu bro, ulikuwa unaheshimika sana humu JF ila unazidi jitia aibu tu.imeandikwa kwenye vitabu vya imani " enendeni mkazaliane muijaze dunia" .
Elewa maana ya neno " mkazaliane"