Nimegundua kusudi lililo nileta duniani. Nimeanza kuliishi kusudi hilo na linanilipa

Mnahangaika sana kumuongelea huyo Mungu kwa vile hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe.

Mmemtunga huyo Mungu vichwani mwenu na kumuundia sifa zake.

Human beings created God through assumptions based on things beyond their imaginations.
Huko Mimi sipo aisee. Mimi naamini Mungu yupo.
 
Nakubaliana na wewe katika yote uliyoyaandika hapa na nakuoongeza kwa kuweza kuuona mwanga na kuwa huru kwa kuuishi ukweli bila kutawaliwa na hofu.
 
Ukisoma vizuri maandiko utagundua kwamba kabla ya dhambi ....hakuna Fungu linalosema Adam na Hawa wakanyanduana.....hio starehe naiona baada ya dhambi Adam akamjua mkewe ....kunyanduana ni matokeo ya dhambi...
N7ie watu? Kitu cha nature ni starehe ?. Hafi wadudu wanafanya. Labda kuendesga gari, kucheza kamar, kuangalia season. Kitu cha asili hakiwezi kuwa starehe. Labda kufanya hovyo hovyo na watu wengi.
 
Ulianza vizuri lakini kadri ulivyokuwa unashuka ndo pumba zikaanza kujitenga
 
Starehe sawa hawa masikini hata starehe ya kula kwao ni mtihani ? Hawa wanadhulumu na kutapeli wanyonge ? Wanaoua watu wasiokuwa na hatia ?
 
Dawa zako za kupunguza makali ya wehu zimeisha na umekaa tu kimya bila kutujulisha tukuletee dawa nyingine siku ya pili leo hujanywa dawa
 
Mnasema Mungu anajua mambo yote yaliyopo yaliyopita na yajayo sasa ananipa mitihani wakati tayari anayajua majibu yake? Wacheni kumsingizia Mungu nyie.
Kwa haraka haraka unaweza Dhani jamaa kaandika kitu cha msingi kumbe anajidhalilisha tu kwa uonyeshe ni mwepesi kiasi gani kichwani

Mfano tu.
Kwani ww unapofanya mtihani shule ukifeli au kufaulu unampunguzia nini mwalimu wako wa mtihani huo??? Kwani kufeli kwako mwalimu ataumoa popote au atavunjika mguu???


Au kwa kuwa mwalimu hafaidiki na chochote basi ndio iwe sababu ya kutofanya mtihani vizuri.?? Liked unazeeka na ujinga wako ! Jaribu hata kuacha mademu wenye gonorrhea kwa wiki moja alafu utumie akili angalau 1% tu utaona mungu yupo na anastastahili kuabudiwa kwa haki kabisa

Na ametuhaidi mambo mengi mazuri endapo tutamuabudu kiukweli wa kumuabudu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…