Nimegundua madaktari wengi wanaoa wagonjwa wao!

Nimegundua madaktari wengi wanaoa wagonjwa wao!

Madaktari wengi ni wachezaji(players) kwa wagonjwa wao...nimeshuhudia na kusuluhisha kesi kadhaa...hii ipo,amini usiamini.
 
Nionavyo mimi mgonjwa inakua rahisi sana kumtongoza daktari wa kike na kukubali hua rahisi...si unajua dada zetu na huruma zao?
 
Niliwahi kumtania Daktari wa Kichina nilipokwenda China....alinichoma sindano kwa siku 2..siku ya tatu nilikwenda na mke wangu alimaindi sana...
 
sishangai sana coz ushahidi wa kimazingira unaonyesha kuwa binadamu wengi hupata wenza wao maeneo yafuatayo:
  • masomoni - yaani ktk vyuo
  • maofisini - sehemu za kazi ama biashara
  • ktk vyombo vya usafiri (mabasi, ndege nk)

inawezekana wakuu
 
co ajabu coz hata walimu wanaoa wanafunzi wao

we mtoto taratibu na tena tuombe radhi sisi walimu. Ni kinyume cha sheria na maadili ya kiualimu kuoa mwanafunzi wako.save only kama ni x student. Looh nilitaka kusahau kumbe mie mwenyewe nataka kuoa my former student!
 
wachache wanaoa wagonjwa majority wanaoa manesi.hata mimi mama watoto ni nesi
 
Habari wana MMU,.

Ninafahamiana na madaktari wengi ambao nimepata kufanya kazi nao nyakati tofauti tofauti katika maisha yangu.

Wengi wao nilipotaka kupata historia zao katika mahusiano na hasa walipataje mke waliniambia madaktari wengi wanawaoa wagonjwa wao wanaofika mahospitalini kwa matibabu.

Nilistaajabu sana iweje daktari amuoe mgonjwa wake? Majibu ni kwamba daktari anapomtibu mgonjwa wake akapona vizuri hujenga imani kubwa sana na daktari wake hivyo endapo mwanamke huyo atakuwa bado hajaolewa daktari akimtaka awe mke wake wengi wao huwa hawakatai ombi hilo.

Wakuu naomba kupata mitazamo yenu pia Juu ya hili.

Nawasilisha,...
Chai
 
we mtoto taratibu na tena tuombe radhi sisi walimu. Ni kinyume cha sheria na maadili ya kiualimu kuoa mwanafunzi wako.save only kama ni x student. Looh nilitaka kusahau kumbe mie mwenyewe nataka kuoa my former student!
 
we mtoto taratibu na tena tuombe radhi sisi walimu. Ni kinyume cha sheria na maadili ya kiualimu kuoa mwanafunzi wako.save only kama ni x student. Looh nilitaka kusahau kumbe mie mwenyewe nataka kuoa my former student!
 
Every person ni potential mgonjwa kama sio leo basi kesho utaugua....so mwanamke yoyote akiolewa na daktar unaweza ona kama kaoa "mgonjwa" wake....dont rush to make coclusions....kwa mtazamo huu utasema pia mwalim anaoa mwanafunz....polisi anaoa mtuhumiwa au shahidi.....the argument eti kwakuwa umemtibu anajenga imani...as if the only reason to get narried to someone ni imani....anywsys sikubaliani na eewewe
 
Sasa utafanyaje we umtibu wengine wakamharibu
Habari wana MMU,.

Ninafahamiana na madaktari wengi ambao nimepata kufanya kazi nao nyakati tofauti tofauti katika maisha yangu.

Wengi wao nilipotaka kupata historia zao katika mahusiano na hasa walipataje mke waliniambia madaktari wengi wanawaoa wagonjwa wao wanaofika mahospitalini kwa matibabu.

Nilistaajabu sana iweje daktari amuoe mgonjwa wake? Majibu ni kwamba daktari anapomtibu mgonjwa wake akapona vizuri hujenga imani kubwa sana na daktari wake hivyo endapo mwanamke huyo atakuwa bado hajaolewa daktari akimtaka awe mke wake wengi wao huwa hawakatai ombi hilo.

Wakuu naomba kupata mitazamo yenu pia Juu ya hili.

Nawasilisha,...
e
 
Mind you daktari akikutana na mtu hata kama ni baa at some point ataanza ataulizwa anything to do with health...mara utaskia afadhali kumbe we dr sasa dr nina tatizo....pili u ought to consider the number of people daktaru anainteract nao na ujue wangapi ana fall nao in lov....or the other way round angalia ndaktari kadate watu wangapi then tuone wangapi walikuwa immediate patients wake....mind you dr patient relationship haiishi mgonjwa akipona....wagonjwa wengi wanapenda kukeep in touch with drz just in case akiugua tena in the future asipate shida...then tujiulize how do people fall in lov....tstzo ni kuwa ur argument ina suggest as if simply because ur a patient to a dr therefore u likely to be more confident and eventually fal in lov..its a bit pragmatic
majority ni walevi sana na wazinzi sana.na wanatumia hiyo kama tiket.
 
Back
Top Bottom