Nimegundua mapenzi hayanitaki, ngoja nifanye mambo mengine tu

Inaonesha utando umetolewa ukiwa na umri mkubwa sana

Chukua tahadhari muda mwingine uruhusu kusukumiwa ndani kwa jili yafuraha sio kila akusukumaye umzalie
 
Mimi nilipata mpenz kama wew ila mwanzoni alinikataa kuwa mi mme wa mtu akasema tuwe wapenzi tu ila si kuoana. Alipata ujauzito wangu zaidi ya mara 3 ila alikuwa anatoa.

Baadae akaolewa na mwingine hawakumaliza mwaka, akaanza kunisumbua tangu 2020. Tatizo nyota yake mbovu, ukiwa nae mambo yanafeli, naogopa hata kufanya chochote mana mara ya mwisho kidogo nifukuzwe kazi kwa sababu yake.

Ilikuwa kila nikila tunda lazima nikutane na kisanga tena cha kusovu kwa pesa na kesi juu. Nikaona isiwe shida, nikajiweka pembeni mpaka leo
 
daah nikikumbuka wanawake wanavyosumbuaga wakiwa chuchu saa sita naona ni haki tu wakifikwa na lolote uko mbeleni. wakiwa apo wanachagua na kuona km kila mwanaume hafai. sasa ngoja umri usogeesogee ndo akili ndo inarudi.
mleta mada komaa kulea watoto hao na hata ukipata mume kuwa mwangalifu sio lazima uzae nae, vinginevo utajikuta umefikisha watoto 7 wasio na baba
 
Nina miaka 34 sasa nikiwa mama wa watoto 3, hakika sina budi kukubali kuwa mapenzi hayanitaki tena hayanipendi kabisaa, japo niliyapenda na kuyapa thamani katika maisha ila nimeangua sina budi kuyaacha rasmi kuanzia leo.

Historia yangu kwa ufupi,
Utabana wee mwisho utaachiaa na siku ukiachia goli la nne utafungwa halafu uje kuanza kulialia hapa. Nenda kwa hekima.
 
Mnakosea sana mnapo yafanya mapenzi kuwa ndio

First priority ktk maisha yenu , Mapenzi jinsi Yako overrated, Yana Maumivu mengi sana kuliko utamu wake ,

Bahati mbaya ni kwamba jamii zetu zimeegemea upande mmoja tu wakuongelea Mazuri yake (Ambayo ni machache)

Na Jamii hizo zimesahau kuongelea mabaya yake , Ambayo ndio Huwa Yana chukua sehemu kubwa Sana ktk maisha ya mapenzi

Nacho maanisha ni kwamba --- wanao yafurahia maisha ya mapenzi ni wachache sana compared na wale wanao umizwa na mapenzi, na hata hao ambao wanao yafurahia hayo mapenzi ni suala la muda tu , wape muda utakuja kukubaliana na Mimi Kwa Yale yatakayo kuja kuwafika

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Inavyoonekana hiyo ndoa na huyo jamaa ulifosi wewe yeye hakuwa tayari ,
Sasa Angalia imekula kwako.

Aliposema
Mahali ana laki 2 badala ya milioni hadi kufika laki 1 hapo alikuwa anaonesha namna muelewe kuwa hayuko tayari na nyie mkafosi , haya sasa!
Yaani nilicheka eti katoa laki 1 [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kuna watu Wana bahati
 
Hivi ndio inavyo paswa Kila mtu Aishi , huwezi kuteswa na mapenzi Kijinga jinga
 
Ila huyu mlokole shenzi sana, anajifanyq.muumini mzuri kanisani kumbe hayuko nyuma kwenye tasnia ya unyanduaji. Shenzi yaipu anamdhihaki Saa Godi.
Hata Mimi kanikwaza sio mstaarabu

Ijapokuwa hatupaswi kutoa hukumu ktk 1 side story
 
Ooooh!! Hapo sawa.

Hata nyie ni hatari rafiki, si unaona hadi mdada wa watu kayaaga mashindano!! Unafikiri mchezo!! Sema tu huwa tunawahiana, ukiwahiwa ndio basi tena.

Ila daah tumeifanya dunia kuwa ya ajabu ajabu sana.
[emoji16][emoji16][emoji16] key word

Tumeifanya Dunia kuwa ya ajabu ajabu sana
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji119] jf
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119] nimecheka sana
 
Pole sana, embu weka picha members wakupe miongozo...
 
Sasa si uje basi tumalizie umri na mimi, ninao watatu mama yao nilipiga chini baada ya kuleta mbwembwe.
 
Kweli mkuu jipe likizo uwe unajipoza genye tu huku ukile wanao......we kula kimasihara tu ila usiweke hisia kwa mtu utateswa tena. Baada ya kuachana na mapenzi ipo siku Mungu atakukutanisha na mtu wala hutatumia nguvu nyingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…