Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Ooh hebu nipe linkDada nadhani hukuona uzi wake ndio maana ila kwa walioona watakua wamenielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh hebu nipe linkDada nadhani hukuona uzi wake ndio maana ila kwa walioona watakua wamenielewa.
Du
Kaweka picha ya waganda kule Kwa shangazi mpima urijali🏃🏃🏃
Nahisi ulifutwa maana watu walipata sana ukakasi wengine wakawa wanalalamikia Mods kwa kuacha huo uzi wa kipuuzi.
Very sad kwa wanaume wenye kufanywa nyuma.Na akikubali ndoa anunue dildo la kiume awe analivaa wakati WA tendo Kwa ajili ya kumbust jamaa asimamishe[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
It's a win win situation
Jana, nilisheherekea siku ya kuzaliwa ya Baba yangu Mzazi, tukaalika ndugu, jamaa na familia wa karibu kuja kumpongeza Mzee wetu
Katika kupika pika kule jikoni Akina mama sie, msichana mmoja akafunguka Kwa machozi mengi tukabakia na mshangao kwasababu NI Bibi harusi mtarajiwa,
Bibi Harusi: jamani Mimi nazidi kuchanganyikiwa mwenzenu, najua nimevishwa Pete j2 iliopita lakini juzi amenifuata Mesenja ofisini, akaniambia saini hapa nikasaini akaondoka..
Kufungua na kuangalia nakuta picha za mchumba wangu, anafanya Mapenzi na mwanaume mwenzake, tena anachekeleeea kabisa.
Nilitapika pale pale, sikula siku 3 nimelia Sana, sijamwuliza mpaka sasa mchumbangu, akipiga simu naongea nae kama hamna kitu, akitaka tuonane namkwepa namwambia corona mpaka leo Birthday ya Babu, nimeona nisipoongea ntakufa🤧🤕🤒
Nifanyaje?! Mume wangu mtarajiwa NI Bwabwa(shoga)?!
Akatoa picha kwenye pochi akaziweka mbele yetu tukahakikisha kabisa.🏃🏃🏃
Doh kweli bwana! MKWE NI Bwabwa, tena anatulizwa na jamaa amejazia kweli kweli kama wale ma bouncer wa kwenye makumbi ya starehe kama disco💪
jamani mpeni ushauri biharusi mtarajiwa, akae au atembee 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Sterling wwSterling Nani sasa?! Au wewe?! [emoji125][emoji125][emoji125]
Aisee alisemaje kwaniNahisi ulifutwa maana watu walipata sana ukakasi wengine wakawa wanalalamikia Mods kwa kuacha huo uzi wa kipuuzi.
Shangazi anakuiita kule Uganda🏃🏃
Asante Kwa ushauriHakuna cha kushauri hapo. Yeye hadi anatapika, analia siku tatu halali, maumivu yote hayo si anajua amefanyiwa ubaya kabisa? Mambo ya mahusiano ukishauri mtu eti akae au etembee utakuja onekana mbaya. Ni kumfariji tu kama rafiki. Ongea naye kwa simu, kama inawezekana kukutana unafanya hivyo pia. Sababu tu ya korona sasa ila otherwise ilikuwa kumpa mdada company nk.
Lakini suala la ushauri tayari anajua huyo jamaa hafai, sasa ni yeye apate ujasiri wa kuanza maisha mengine. Ushauri labda mambo ya biashara, kazi nk. Au kama ni mapenzi ni pale unapoona mtu hajitambui. Huyo lakini anajitambua kabisa.
Ni sheedahMara Birthday wa Baba mara ya Babu, anyway mshauri apige sana nyungu, ikishikana mzigo kutoka Madagascar umeshawasili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa
Mimi NI Bibi, usenge naupata wap wakati sina dyu dyu
Jana, nilisheherekea siku ya kuzaliwa ya Baba yangu Mzazi, tukaalika ndugu, jamaa na familia wa karibu kuja kumpongeza Mzee wetu
Katika kupika pika kule jikoni Akina mama sie, msichana mmoja akafunguka Kwa machozi mengi tukabakia na mshangao kwasababu NI Bibi harusi mtarajiwa,
Bibi Harusi: jamani Mimi nazidi kuchanganyikiwa mwenzenu, najua nimevishwa Pete j2 iliopita lakini juzi amenifuata Mesenja ofisini, akaniambia saini hapa nikasaini akaondoka..
Kufungua na kuangalia nakuta picha za mchumba wangu, anafanya Mapenzi na mwanaume mwenzake, tena anachekeleeea kabisa.
Nilitapika pale pale, sikula siku 3 nimelia Sana, sijamwuliza mpaka sasa mchumbangu, akipiga simu naongea nae kama hamna kitu, akitaka tuonane namkwepa namwambia corona mpaka leo Birthday ya Babu, nimeona nisipoongea ntakufa🤧🤕🤒
Nifanyaje?! Mume wangu mtarajiwa NI Bwabwa(shoga)?!
Akatoa picha kwenye pochi akaziweka mbele yetu tukahakikisha kabisa.🏃🏃🏃
Doh kweli bwana! MKWE NI Bwabwa, tena anatulizwa na jamaa amejazia kweli kweli kama wale ma bouncer wa kwenye makumbi ya starehe kama disco💪
jamani mpeni ushauri biharusi mtarajiwa, akae au atembee 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Aiseenitumie namba ya bibi harusi kule PM nimuondolee upweke haswa kwenye kipindi hiki kigumu anachopitia,niamini wala sitokuangusha kwa sababu ntamkuna kisawa sawa na stress zote zitamuisha.
wahi kutuma usichelewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Anasema upite Kwa shangazi WA Uganda Kwanza akupime urijali wakoAje kwangu...
Nahisi ulifutwa maana watu walipata sana ukakasi wengine wakawa wanalalamikia Mods kwa kuacha huo uzi wa kipuuzi.
😂😂😂 Mngempeleka Kwa shangazi WA kiganda🏃Nahisi ulifutwa maana watu walipata sana ukakasi wengine wakawa wanalalamikia Mods kwa kuacha huo uzi wa kipuuzi.