Nimegundua mchumba wangu ni shoga, nifanyaje?

Nimegundua mchumba wangu ni shoga, nifanyaje?

Jana, nilisheherekea siku ya kuzaliwa ya Baba yangu Mzazi, tukaalika ndugu, jamaa na familia wa karibu kuja kumpongeza Mzee wetu

Katika kupika pika kule jikoni Akina mama sie, msichana mmoja akafunguka Kwa machozi mengi tukabakia na mshangao kwasababu NI Bibi harusi mtarajiwa,

Bibi Harusi: jamani Mimi nazidi kuchanganyikiwa mwenzenu, najua nimevishwa Pete j2 iliopita lakini juzi amenifuata Mesenja ofisini, akaniambia saini hapa nikasaini akaondoka..

Kufungua na kuangalia nakuta picha za mchumba wangu, anafanya Mapenzi na mwanaume mwenzake, tena anachekeleeea kabisa.

Nilitapika pale pale, sikula siku 3 nimelia Sana, sijamwuliza mpaka sasa mchumbangu, akipiga simu naongea nae kama hamna kitu, akitaka tuonane namkwepa namwambia corona mpaka leo Birthday ya Babu, nimeona nisipoongea ntakufa🤧🤕🤒

Nifanyaje?! Mume wangu mtarajiwa NI Bwabwa(shoga)?!

Akatoa picha kwenye pochi akaziweka mbele yetu tukahakikisha kabisa.🏃🏃🏃

Doh kweli bwana! MKWE NI Bwabwa, tena anatulizwa na jamaa amejazia kweli kweli kama wale ma bouncer wa kwenye makumbi ya starehe kama disco💪

jamani mpeni ushauri biharusi mtarajiwa, akae au atembee 🏃🏃🏃🏃🏃🏃

Hakuna cha kushauri hapo. Yeye hadi anatapika, analia siku tatu halali, maumivu yote hayo si anajua amefanyiwa ubaya kabisa? Mambo ya mahusiano ukishauri mtu eti akae au etembee utakuja onekana mbaya. Ni kumfariji tu kama rafiki. Ongea naye kwa simu, kama inawezekana kukutana unafanya hivyo pia. Sababu tu ya korona sasa ila otherwise ilikuwa kumpa mdada company nk.


Lakini suala la ushauri tayari anajua huyo jamaa hafai, sasa ni yeye apate ujasiri wa kuanza maisha mengine. Ushauri labda mambo ya biashara, kazi nk. Au kama ni mapenzi ni pale unapoona mtu hajitambui. Huyo lakini anajitambua kabisa.
 
Hakuna cha kushauri hapo. Yeye hadi anatapika, analia siku tatu halali, maumivu yote hayo si anajua amefanyiwa ubaya kabisa? Mambo ya mahusiano ukishauri mtu eti akae au etembee utakuja onekana mbaya. Ni kumfariji tu kama rafiki. Ongea naye kwa simu, kama inawezekana kukutana unafanya hivyo pia. Sababu tu ya korona sasa ila otherwise ilikuwa kumpa mdada company nk.


Lakini suala la ushauri tayari anajua huyo jamaa hafai, sasa ni yeye apate ujasiri wa kuanza maisha mengine. Ushauri labda mambo ya biashara, kazi nk. Au kama ni mapenzi ni pale unapoona mtu hajitambui. Huyo lakini anajitambua kabisa.
Asante Kwa ushauri
Uje Kwa shangazi WA Uganda kule anakuiita,😂😂
 
Jana, nilisheherekea siku ya kuzaliwa ya Baba yangu Mzazi, tukaalika ndugu, jamaa na familia wa karibu kuja kumpongeza Mzee wetu

Katika kupika pika kule jikoni Akina mama sie, msichana mmoja akafunguka Kwa machozi mengi tukabakia na mshangao kwasababu NI Bibi harusi mtarajiwa,

Bibi Harusi: jamani Mimi nazidi kuchanganyikiwa mwenzenu, najua nimevishwa Pete j2 iliopita lakini juzi amenifuata Mesenja ofisini, akaniambia saini hapa nikasaini akaondoka..

Kufungua na kuangalia nakuta picha za mchumba wangu, anafanya Mapenzi na mwanaume mwenzake, tena anachekeleeea kabisa.

Nilitapika pale pale, sikula siku 3 nimelia Sana, sijamwuliza mpaka sasa mchumbangu, akipiga simu naongea nae kama hamna kitu, akitaka tuonane namkwepa namwambia corona mpaka leo Birthday ya Babu, nimeona nisipoongea ntakufa🤧🤕🤒

Nifanyaje?! Mume wangu mtarajiwa NI Bwabwa(shoga)?!

Akatoa picha kwenye pochi akaziweka mbele yetu tukahakikisha kabisa.🏃🏃🏃

Doh kweli bwana! MKWE NI Bwabwa, tena anatulizwa na jamaa amejazia kweli kweli kama wale ma bouncer wa kwenye makumbi ya starehe kama disco💪

jamani mpeni ushauri biharusi mtarajiwa, akae au atembee 🏃🏃🏃🏃🏃🏃

Aje kwangu...
 
nitumie namba ya bibi harusi kule PM nimuondolee upweke haswa kwenye kipindi hiki kigumu anachopitia,niamini wala sitokuangusha kwa sababu ntamkuna kisawa sawa na stress zote zitamuisha.

wahi kutuma usichelewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee
Kabla sijakupa namba ya biharusi embu njoo kule kwenye posta ya shangazi anaepima urijali upimwe kwanza😂😂😂😂🏃
 
Back
Top Bottom