Nimegundua mdogo wangu ana mahusiano ya kimapenzi na Mpenzi wangu

Liverpool VPN njoo utoe ushauri huku.🤗
 
Pole mkuu, kabla hujajiua hakikisha unaishi mpka muda ambao ndugu yako atapata mwanamke anaetarajia kumuoa nawe mle na ufanye ajue.... halafu wacha mambo yaende kama yatakavyokuwa.
Ampige na mimba kabisa. Akigoma kuipokea amle tigo na ninaidhinisha adhabu hii. Kwanini ulielie wakati uwezo wa kulipa kisasi unao?
 
Tuliambiwa tuishi nao kwa akili sana hawa viumbe ila piga moyo konde maisha yaendelee
 
Waite wape ukweli kwa kutumia ushahidi wa chating ulizoziona kwenye simu zao Kisha waache waendelee na uhusiano wao, we pita huku.

Angalizo: Tusiwapende Sana Hawa kina Eva na kuwakabidhi moyo mzimamzima hawatabiriki hawa. Penda kiakili kaka sasa wewe unataka Hadi kujiua kwaajili ya mbunye moja na kumuacha dogo aendelee Kula mbususu ebooo! Huo ni udhaifu mkubwa Sana usithubutu kufanya hivyo we tafuta msichana mwingine endelea na maisha Mambo ya kujiua mwachie mkwawa.
 
kwenye wimbo wa TX Moshi akiwa na OTTU JAZZ BAND kuna kipande kinaimba "hapa nilipofika panatosha, nisijefuga ugonjwa nikakosa dawa.... najua nina kiu nawewe, nitakunywa maji itulie" ishi nayo hiyo.
 
Poleh sana kaka kubaliana tu n matokeo sometimes mwanamke ukimpa kila kitu ni tatizo anaona kwake hufurukuti ko amafanya anachojisikia kufanya sitisha huduma kwanza
 
Mtafute demu wa dogo mweleze ukweli mpoze machungu. Dawa ya moto ni moto.
 
Ukinywa sumu ukafa. Siku yako ya msiba dogo na demu wako watapeana pole kama watasafirisha watakaa siti moja na ukaribu utaongezeka. Tafakari vizuri
 
Miafrika ndivyo tulivyo sasa ulitaka aliwe na stranger,, we tulia bwana kama kudumbukiziana walishadumbukiziana.
 
Ahsante Sana kwa kunitia moyo mkuu[emoji120][emoji120]
 
Nimekuelewa mkuu
 
Sasa mbona mdogo wako unamwita bro man, inakuaje hapa, unatakiwa umwite dogo au bwana mdogo, au ndio tayari umeamua kumpa na cheo chako kabisa?

Anyway pole sana kama hii story sio ile bidhaa pendwa ya makambako.
 
1}Mdogo wako hana demu?
2}Vipi demu wako hana dada au mdogo ake?
3}Na mdogo wako ana umri gani?
 
Hukua na haha ya kujieleza Sana,

Uyo mwanamke wako anakujua Zaid ya tunavyokujua.

Kubali ukatae,

Kuna kitu Dogo kakuzidi kete,
Bila Shaka dogo atakua wakisasa Sana kushinda bro ake ....Mara nyingi mabraza tunajijutaga tupo rafu Sana hata Kama tupo vizuri kiuchumi[emoji1][emoji1]
 
Chai kwa Mama kiasi godo akupande kichwani...

Dogo nae ajitambui wanawake wote mpaka kwa shemeji yake!

Bila shaka nyinyi ni wasukuma au wenyeji wa Mwanza, Baadhi hizo ndio pigo zao.

Fanya kikao cha surprise wakutanishe bila wao kutarajia,

Weka mkeka adharani na baadae hama nyumbani.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…