Nimegundua mdogo wangu ana mahusiano ya kimapenzi na Mpenzi wangu

Natamani ninywe sumu nikafe tu maana mwanamke niliyekuwa na malengo makubwa Nate ndo huyo ananicheat na ndugu yangu.Waliowahi kupatwa na maumivu ya mapenzi bila Shaka wanajua magumu ninayopitia muda huu
Seriously?

Ujiue kwa ajili ya mwanamke asiejiheshimu?

Asiejithamini?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] niliposoma apo kwamba unataka kunywa sumu ufe nikaangua kicheko hatrii
 
Kwanza shukuru Mungu kakuonyesha bado mapema boc halafu kizuri kula na ndugu yako bhana
 
Hiyo akili unayosema imesimama umaificha wapi, maana hapa ni kama huna kabisa.!
 
Tusiache kuchakata mbususu zipo nyingi sana tusitegeane mazee...

Huyo piga chini tafuta mbususu nyingine na mpe dogo kongole kwa kukusaidia mapema kujua tabia za demu wako..
 
Kuna kina sisi mawomanazer halafu kuna nyie wazee wa kupenda.

Kwa mimi ntaumia kwa siku moja tu, na wala hatajua dogo wala demu. Ila tu ni kua dem hatakua kwenye mipango yangu atakua ni kipoozeo tu. Na dogo naweza tu kumchana kua aache umalaya na aache kutaman mashemej zake japo sitamwambia ni shemej yupi(atajiongeza).

Sasa iyo ishu kwako ni complicated kidogo coz ni mzee wa kupenda na kuoa. Ishu ya kujiua iweke pending kwanza hiyo siyo sababu ya ww kujiua, subiri subiri sababu nyingine nyingine labda wana jf wataweza kukuruhusu ujiue kweli kama sababu zako zitakua na mashiko.

Achana na huyo dem wala usijiingize kwenye mahusiano mapya kwa sasa. Mwambie kile umejua pia mchane na dogo kile umejua, ila yote kwa yote usimuwekee chuki mdogo wako huyo ni ndguguyo. Kama unaweza pia haya mambo wala usiyafikishe ngazi za juu( kwa wazazi).
Kikubwa uachane na huyo manzi kama umethibitisha mwenyewe baso hata aombe msamaha vipi, hata ajiwekee kisu shingoni kua ukikataa kumsamehe basi anajiua we mwache ajiue tu( kama anaweza kujiua yeye na nafsi yake atashindwa nini kukuua wewe usie nafsi yake), so mwache ajiue. Kaza roho USIRUDIANE NAE KAMWE
 
Kama Vp mpige three some na dogo waswahili wanasema kizuri kula na nduguyo
3somes itamsaidia sana kupunguza sonona ya nafsi na inawezekana akaifurahia zaidi kuliko hata alivyokua anatomber mwenyewe.
Huyo tayari ameshakua ni demu wa familia, kama una ndugu mwingine wa kiume muunganishe na yeye mfaidi wote.
Binafsi ingekua ni mimi ningemtafuta mdogo wa kike wa huyo binti ila kama hana hata mama yake au shangazi yake ingependeza zaidi.
 
Pole sana achana nae tu tafuta mwingine
Hamna kuachana nae, huyo huyo tunatomber tu wote tena 3somes inapendeza zaidi, na kama ana mdogo wake wa kike nae tunamkaribisha kwenye familia.
 
Hamna kuachana nae, huyo huyo tunatomber tu wote tena 3somes inapendeza zaidi, na kama ana mdogo wake wa kike nae tunamkaribisha kwenye familia.

Hehehehehehe, hapana asifanye hivyo kwa usalama wa nafsi yake
 
Au humkuni vizuri huyo bint akaona ajarivu upande wa pili
 
Hapa kweli wewew km mwanadamu umejitahidi. Hayo mengine ni shetani tu sasa...
 
Huu sio muandiko wa mtu anayetetemeka kwa hasira......!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…