Kasongo yeeyee
JF-Expert Member
- Oct 14, 2024
- 308
- 654
😁😁 Kabisa, naona anachokifanya hapa ni 'kicks of a dying horse'Unadhani huyu jamaa ana ubavu wa kumpa talaka mke wake? Alisharogwa zamani we msome utagundua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁 Kabisa, naona anachokifanya hapa ni 'kicks of a dying horse'Unadhani huyu jamaa ana ubavu wa kumpa talaka mke wake? Alisharogwa zamani we msome utagundua
Mwanamke ambaye ni mzinzi au ni mshirikina ni wa kuacha.Wakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.
Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.
Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.
Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?
Napokea ushauri
Chief unadhani mtu aliyerogwa anajijua basi? Jibu ni hapana ni mpaka umpate mtu wa pembeni ndio atakuambia utofauti lakini wewe kama wewe huwezi jijua mkuu. Hapo tayari umesharogwa ila hujijui.wala sijawai kuangaika na simu yake mpka nilipohisi jambo na nimesadiki nililolihisi ni sahihi kosa langu ni lipi nikama mtu unaehisi unafuatiliwa na wezi kisha ukawatiming na kujiepusha nao au unafikili huwa nilikua nikifuatilia mawasiliano yake kabla niliyafuatilia pale tu nilipokua na mashaka na jambo ambalo nilikua nataka uhakika
Pole sanaWakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.
Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.
Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.
Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?
Napokea ushauri
Unadhani huyu jamaa ana ubavu wa kumpa talaka mke wake? Alisharogwa zamani we msome utagundua
HahahaUna vita ngumu sana. Bora mkeo angekuwa hana mshirika. Ila hili la kushirikiana na wazee wake ni mbaya sana wanaweza ata kukutanguliza.