Nimegundua mke wangu ananiroga akishirikiana na wazazi wake

Nimegundua mke wangu ananiroga akishirikiana na wazazi wake

Kna mtu kasema umeshalogwa, pengine ni kweli. Sasa kama una ushahidi wa wazi kiasi hiki kwa nini usiitishe kikao cha watu wenye busara na kuyaweka yote hadharani? Angalia utakuja kulishwa sumu au uchafu kama kinyesi. Halfu inaonekana hiyo familia uliyooa ni familia mbaya sana. Fikiria pia talaka kama unaona huwezi kuwabadilisha.
nimeonba ushauri ila tayari nimeshawapa taarifa ndugu wangu wa karibu hapa imebaki mzee tu nae nimeambiwa nitumie hekima kwani ni mkorofi mno japo anaupole ndani yake ila mimi akili yangu ishaniambia mipige chini
 
Mm nishafukuzaga mke maana niligundua ht mtoto wa Kwanza alimtoa sadaka na Wala Mimba haikuharibika km anavyodai.
Nikakuta vikaratasi nyuma ya picha yangu ya ukutani vimeandikwa kiarab ila jina Lang kikawaida ila kwa rangi nyekundu.
Nilikuw naumw na goti kunbe Kuna kimdori kimechomekwa Pini ani akiddmiza Hy wiki mi Ni wakulala km kiwete
Mwanamke alikuw kibri na mavituko akifanya wazi akijua kanimaliza
Mambo ni meng Ila pass Busara za mzee nilikuwa nimuuwe kabisa kwa mikono yng
Jiulize ulie muoa ni wk au umepachikiw na mfumo
pole sana mkuu
 
nimerogwa Mungu ndie amenirinda na huo mrogo sababu jambo lolote baya utalifanyiwa kimazingara Mungu asipopenda likukute halitakukuta kamwe.
shida ni kwamba nimeona anarudia kwa mara ya pili nimehisi nikakagua simu yake na nikakuta nachokuhisi ni sahihi
Achana kuhangaika na simu ya mwanamke!! Huo ni ubwege tu na ndiyo hizi simu zinaongoza kuvunja ndoa
 
Wakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.

Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.

Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.

Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?

Napokea ushauri
Karibu kilingeni kijana
 
Ko hapo unataka ushauri gani? Wewe unastahili kurogwa na itakua usharogwa wewe maana hili ni jambo la maamuzi si la kuombea ushauri tena.

"Usimwache mwanamke mchawi aishi" sasa wewe unataka uishi nae wewe kabisa.

Ukishindwa kumuua mfukuze huo ndo msamaha wake.
 
Achana kuhangaika na simu ya mwanamke!! Huo ni ubwege tu na ndiyo hizi simu zinaongoza kuvunja ndoa
wala sijawai kuangaika na simu yake mpka nilipohisi jambo na nimesadiki nililolihisi ni sahihi kosa langu ni lipi nikama mtu unaehisi unafuatiliwa na wezi kisha ukawatiming na kujiepusha nao au unafikili huwa nilikua nikifuatilia mawasiliano yake kabla niliyafuatilia pale tu nilipokua na mashaka na jambo ambalo nilikua nataka uhakika
 
Wakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.

Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.

Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.

Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?

Napokea ushauri
Tatizo watanzania tunaamini sana ushirikina ndio maana umaskini unatutesa. Hapo mkeo katumia pesa nyingi kuanzia nauli ya kwenda na kurudi na pesa ya kumpa mganga nk kwa ajili ya jambo la kijinga namna hiyo na litakalomletea majuto makubwa sana maishani mwake.

Ushauri wangu, fanya hivi chukua huo ushahidi wa madawa na wa mawasiliano. Mpeleke mkeo kwa wazazi wake ukayaweke wazi waambie ulikuwa unajua kila kitu wanachopanga kwa hiyo waache tabia hiyo na wawaache nda ndoa yenu.

Kama swala ni kumpenda mkeo unampenda ndo maana ukamuoa na unaishi nae hujamfukuza sasa wanataka umpende vipi?
 
maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?
nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume
Ila wewe haupo na wazee wako?? Halafu kuwa mwanaume yaani ishu ya safari ya mkeo unaenda kumuambia baba yako?? Unaonekana toto la mama!

Nb:Mwanaume ni maamuzi(kujisimamia mwenyewe) na msimamo
 
Back
Top Bottom