To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
HakikaHili jambo usilichukulie kirahisi, wanaume wengi wameanguka kutokana na sababu za kishirikina zilizosababishwa na wake zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaHili jambo usilichukulie kirahisi, wanaume wengi wameanguka kutokana na sababu za kishirikina zilizosababishwa na wake zao.
nimeonba ushauri ila tayari nimeshawapa taarifa ndugu wangu wa karibu hapa imebaki mzee tu nae nimeambiwa nitumie hekima kwani ni mkorofi mno japo anaupole ndani yake ila mimi akili yangu ishaniambia mipige chiniKna mtu kasema umeshalogwa, pengine ni kweli. Sasa kama una ushahidi wa wazi kiasi hiki kwa nini usiitishe kikao cha watu wenye busara na kuyaweka yote hadharani? Angalia utakuja kulishwa sumu au uchafu kama kinyesi. Halfu inaonekana hiyo familia uliyooa ni familia mbaya sana. Fikiria pia talaka kama unaona huwezi kuwabadilisha.
pole sana mkuuMm nishafukuzaga mke maana niligundua ht mtoto wa Kwanza alimtoa sadaka na Wala Mimba haikuharibika km anavyodai.
Nikakuta vikaratasi nyuma ya picha yangu ya ukutani vimeandikwa kiarab ila jina Lang kikawaida ila kwa rangi nyekundu.
Nilikuw naumw na goti kunbe Kuna kimdori kimechomekwa Pini ani akiddmiza Hy wiki mi Ni wakulala km kiwete
Mwanamke alikuw kibri na mavituko akifanya wazi akijua kanimaliza
Mambo ni meng Ila pass Busara za mzee nilikuwa nimuuwe kabisa kwa mikono yng
Jiulize ulie muoa ni wk au umepachikiw na mfumo
kwa mganga mzee au unataka nikubwagie kapicha ka dawa za kiganga ambazo ni bomu kwa ajili yanguAnakuloga kwa nani, acha imani potofu.
Dawa tayari inafanya kaziUnadhani huyu jamaa ana ubavu wa kumpa talaka mke wake? Alisharogwa zamani we msome utagundua
au sioo 😂😂Dawa tayari inafanya kazi
Yeah hata mimi nimeona hilo Alishapigwa bomu muda mrefu hiyo ilikua ni kwenda kukoleza tu mambo yawe murua murua..Unadhani huyu jamaa ana ubavu wa kumpa talaka mke wake? Alisharogwa zamani we msome utagundua
Achana kuhangaika na simu ya mwanamke!! Huo ni ubwege tu na ndiyo hizi simu zinaongoza kuvunja ndoanimerogwa Mungu ndie amenirinda na huo mrogo sababu jambo lolote baya utalifanyiwa kimazingara Mungu asipopenda likukute halitakukuta kamwe.
shida ni kwamba nimeona anarudia kwa mara ya pili nimehisi nikakagua simu yake na nikakuta nachokuhisi ni sahihi
Karibu kilingeni kijanaWakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.
Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.
Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.
Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?
Napokea ushauri
Umenichelesha sanapole sana mjukuu wangu... kukusaidia anza tu kula kitimoto huo uchawi utadunda
wala sijawai kuangaika na simu yake mpka nilipohisi jambo na nimesadiki nililolihisi ni sahihi kosa langu ni lipi nikama mtu unaehisi unafuatiliwa na wezi kisha ukawatiming na kujiepusha nao au unafikili huwa nilikua nikifuatilia mawasiliano yake kabla niliyafuatilia pale tu nilipokua na mashaka na jambo ambalo nilikua nataka uhakikaAchana kuhangaika na simu ya mwanamke!! Huo ni ubwege tu na ndiyo hizi simu zinaongoza kuvunja ndoa
Au sio.. umeongeza siku ya kuishiUmenichelesha sana
Tatizo watanzania tunaamini sana ushirikina ndio maana umaskini unatutesa. Hapo mkeo katumia pesa nyingi kuanzia nauli ya kwenda na kurudi na pesa ya kumpa mganga nk kwa ajili ya jambo la kijinga namna hiyo na litakalomletea majuto makubwa sana maishani mwake.Wakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.
Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.
Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.
Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?
Napokea ushauri
maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?
Ila wewe haupo na wazee wako?? Halafu kuwa mwanaume yaani ishu ya safari ya mkeo unaenda kumuambia baba yako?? Unaonekana toto la mama!nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume