Nimegundua mke wangu ananiroga akishirikiana na wazazi wake

Nimegundua mke wangu ananiroga akishirikiana na wazazi wake

Wakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.

Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.

Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.

Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?

Napokea ushauri
Nunua shoka umalizane nae kimya kinya
 
Acha ujinga "hujarogwa wewe" upo fit bali unajiroga mwenyewe unavithibitisho vipi "maneno ya kusikia yatakupoteza" mkuu
Nilishangaa siku moja mchepuko wangu anasema kaona alama ya kulogwa mwilini mwangu

Kuna rafik yang wa karibu sana ndo alimtuma anichunguze baada ya kuona mienendo yangu imebadilika

Sijachukua uamuzi wowote mpaka sasa,maana mambo hayo nakuwaga mzito kuyafatilia
 
Wakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.

Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.

Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.

Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?

Napokea ushauri
Ash to ash , muloge nawe mkuu
 
Wakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.

Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.

Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.

Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?

Napokea ushauri
Umeoa mpare nini😁😁 ....samwaleko
 
Ndo nilivyo tu,hata tubiashara twangu sijawah tuendea kwa mganga ingawaje watu huniambia niende kwa waganga,kuna msaidiz mmoja ilibid yeye ndo aende huko kwa mganga
Mganga ni mchawi....hivyo ukienda huko usije shangaa masharti yanapanda kila siku
 
Hata wenye elimu mnaloga nyie hampendi kupewa pesa na kusikilizwa
 
Sijaona wakiongelea Mambo hayo,,,,mtu anakipato chake akurogee chako😳 hivi inawezekana ee!?
Hawarogi kipato tu, bali wanaroga utawala, yaani ule uanaume ili mama akiingiza mwanaume ndani aseme ni mjomba wangu basi mwanaume akubali, mama akisema mjomba wangu hajazoea kulala peke yake ngoja nikampe kampani akisinzia tu narudi mwanaume aseme hamna shida mke wangu hata ukilala kabisa mpaka asubh lazima tukirimu wageni
 
Hawaogi kipato, bali wanaroga utawala, yaani ule uanaume ili mama akiingiza mwanaume ndani aseme ni mjomba wangu basi mwanaume akubali, mama akisema mjomba wangu hajazoea kulala peke yake ngoja nikampe kampani akisinzia tu narudi mwanaume aseme hamna shida mke wangu hata ukilala kabisa mpaka asubh lazima tukirimu wageni
🤣🤣🤣🤣🙌
 
Wakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.

Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.

Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.

Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?

Napokea ushauri
Piga chini haraka sana huyo kigagula kabla hajakufanya zezeta, kama ikishindikana gunia mbili za mkaa zitakata mzizi wa fitna.
 
🤣🤣🤣🤣🙌
Yaani kumfanya mwanaume zuzu, asiye na usemi hata, mwanamke akiamua kumnyima usiku mwanaume aanze kuomba msamaha kwa usumbufu, ndugu wa mwanaume hawataruhusiwa kukanyaga pale na mwanaume asiwe na usemi, kupitia kurogwa mwanaume atalazimika kusaidia ndugu wa mwanamke kuliko wa kwake
 
Ushauri wangu, dumisha amani ya ndoa yako, siku nyingine usirudie kupekua simu ya mkeo! Kulogwa sunna!
 
Yaani kumfanya mwanaume zuzu, asiye na usemi hata, mwanamke akiamua kumnyima usiku mwanaume aanze kuomba msamaha kwa usumbufu, ndugu wa mwanaume hawataruhusiwa kukanyaga pale na mwanaume asiwe na usemi, kupitia kurogwa mwanaume atalazimika kusaidia ndugu wa mwanamke kuliko wa kwake
Hii hapana,mbona radha ya kuwa na mume haipo hapo
 
Ushauri wangu, dumisha amani ya ndoa yako, siku nyingine usirudie kupekua simu ya mkeo! Kulogwa sunna!
Adumishe vipi hapo, hapo mke afungishwe virago akamsaidie Baba yake kazi za uganga
 
Back
Top Bottom