To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Huko kuwa mzito ndo kurogwa mwenyewe....wamekupumbazaSijachukua uamuzi wowote mpaka sasa,maana mambo hayo nakuwaga mzito kuyafatilia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko kuwa mzito ndo kurogwa mwenyewe....wamekupumbazaSijachukua uamuzi wowote mpaka sasa,maana mambo hayo nakuwaga mzito kuyafatilia
Huko kuwa mzito ndo kurogwa mwenyewe....wamekupumbaza
Ndo nilivyo tu,hata tubiashara twangu sijawah tuendea kwa mganga ingawaje watu huniambia niende kwa waganga,kuna msaidiz mmoja ilibid yeye ndo aende huko kwa mgangaHuko kuwa mzito ndo kurogwa mwenyewe....wamekupumbaza
Nunua shoka umalizane nae kimya kinyaWakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.
Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.
Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.
Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?
Napokea ushauri
Nilishangaa siku moja mchepuko wangu anasema kaona alama ya kulogwa mwilini mwangu
Kuna rafik yang wa karibu sana ndo alimtuma anichunguze baada ya kuona mienendo yangu imebadilika
Sijachukua uamuzi wowote mpaka sasa,maana mambo hayo nakuwaga mzito kuyafatilia
Ash to ash , muloge nawe mkuuWakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.
Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.
Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.
Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?
Napokea ushauri
Umeoa mpare nini😁😁 ....samwalekoWakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.
Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.
Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.
Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?
Napokea ushauri
Mganga ni mchawi....hivyo ukienda huko usije shangaa masharti yanapanda kila sikuNdo nilivyo tu,hata tubiashara twangu sijawah tuendea kwa mganga ingawaje watu huniambia niende kwa waganga,kuna msaidiz mmoja ilibid yeye ndo aende huko kwa mganga
Nyie wenye elimu hamrogi kweli?Mganga ni mchawi....hivyo ukienda huko usije shangaa masharti yanapanda kila siku
Sijaona wakiongelea Mambo hayo,,,,mtu anakipato chake akurogee chako😳 hivi inawezekana ee!?Nyie wenye elimu hamrogi kweli?
Hawarogi kipato tu, bali wanaroga utawala, yaani ule uanaume ili mama akiingiza mwanaume ndani aseme ni mjomba wangu basi mwanaume akubali, mama akisema mjomba wangu hajazoea kulala peke yake ngoja nikampe kampani akisinzia tu narudi mwanaume aseme hamna shida mke wangu hata ukilala kabisa mpaka asubh lazima tukirimu wageniSijaona wakiongelea Mambo hayo,,,,mtu anakipato chake akurogee chako😳 hivi inawezekana ee!?
🤣🤣🤣🤣🙌Hawaogi kipato, bali wanaroga utawala, yaani ule uanaume ili mama akiingiza mwanaume ndani aseme ni mjomba wangu basi mwanaume akubali, mama akisema mjomba wangu hajazoea kulala peke yake ngoja nikampe kampani akisinzia tu narudi mwanaume aseme hamna shida mke wangu hata ukilala kabisa mpaka asubh lazima tukirimu wageni
Piga chini haraka sana huyo kigagula kabla hajakufanya zezeta, kama ikishindikana gunia mbili za mkaa zitakata mzizi wa fitna.Wakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.
Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.
Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.
Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?
Napokea ushauri
Yaani kumfanya mwanaume zuzu, asiye na usemi hata, mwanamke akiamua kumnyima usiku mwanaume aanze kuomba msamaha kwa usumbufu, ndugu wa mwanaume hawataruhusiwa kukanyaga pale na mwanaume asiwe na usemi, kupitia kurogwa mwanaume atalazimika kusaidia ndugu wa mwanamke kuliko wa kwake🤣🤣🤣🤣🙌
Hii hapana,mbona radha ya kuwa na mume haipo hapoYaani kumfanya mwanaume zuzu, asiye na usemi hata, mwanamke akiamua kumnyima usiku mwanaume aanze kuomba msamaha kwa usumbufu, ndugu wa mwanaume hawataruhusiwa kukanyaga pale na mwanaume asiwe na usemi, kupitia kurogwa mwanaume atalazimika kusaidia ndugu wa mwanamke kuliko wa kwake
Adumishe vipi hapo, hapo mke afungishwe virago akamsaidie Baba yake kazi za ugangaUshauri wangu, dumisha amani ya ndoa yako, siku nyingine usirudie kupekua simu ya mkeo! Kulogwa sunna!
Ndio anavyotaka bibie, wewe unayetaka radha ya kuwa na mume sawaHii hapana,mbona radha ya kuwa na mume haipo hapo
We unafikiri maana ya kumuweka kwenye kiganja cha mkono inamaanisha niniHii hapana,mbona radha ya kuwa na mume haipo hapo