Nimegundua mke wangu ananiroga akishirikiana na wazazi wake

Nimegundua mke wangu ananiroga akishirikiana na wazazi wake

Vitu vi 2:

1. Kama umeamua kumuacha mwambie.
2. Kama hutaki mwacha usimwambie.

Ushauri wangu:

Mwache, unaweza shinda vita nachawi, ila kwa nini uache kujitahidi kutafuta upambane na mwanamke?
sina muda wa kupanbana nae ninacho jiuliza je itakuaje pale atakapofanikiwa yale anayoyataka maana ulozi upo. je kuna maendeleo ua mwanamke kua juu kwa kila kitu maana lengo lake hata mshahara wangu nikipokea nimpe yeye ajabu sasa ni sina choyo kwake vitu vizuri anapata zawadi anapata na kil anachotakq huwa anapata.
 
Wakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.

Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.

Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.

Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?

Napokea ushauri
Kama umegundua anakuroga basi huyo siyo mchawi. Wanaume waliorogwa hata wangewakuta wake zao live wanaliwa na wanaume hawakubali kuwa wanawake wao wana cheat.

Hujarogwa endelea na mkeo
 
mimi familia niloingia inaamini uganga kupitiliza na kujificha kwenye dini ni hatari kwakweli niliwai juta kwanini nimeoa kwasababu nilifikili nitae muoa anashida ila ajabu nilie muoa anapelekeshwa na wazazi wake na kusahau kuna familia yake.
 
Kama umegundua anakuroga basi huyo siyo mchawi. Wanaume waliorogwa hata wangewakuta wake zao live wanaliwa na wanaume hawakubali kuwa wanawake wao wana cheat.

Hujarogwa endelea na mkeo
nimerogwa Mungu ndie amenirinda na huo mrogo sababu jambo lolote baya utalifanyiwa kimazingara Mungu asipopenda likukute halitakukuta kamwe.
shida ni kwamba nimeona anarudia kwa mara ya pili nimehisi nikakagua simu yake na nikakuta nachokuhisi ni sahihi
 
Yaani unauliza kabisa ufanyeje ili aache tabia ya kukuroga?. Sio kuachana nae mazima?. Labda kama unataka kuwa ndondocha?. MUNGU amekuonyesha.

Labda nikuambie usichokijua, wanawake wengi wanapowaroga waume zao wanakuwa hawajui matokeo yake,hata wewe hujui matokeo. Ni mganga tu anajua. Mwisho wa siku na yeye anaweza kukikosa mazima anachokurogea. Unaweza kufikia kuwa kama zezeta. Mganga anachokifanya ni kufanya ushinde nyumbani tu kama mke anavyotaka uwe wake peke yake. Matokeo yake utakuwa hufanyi chochote unakuwa unakuwa unashinda nyumbani tu kama zezeta
noted bro
 
Kama kakulisha tayari au bado na mengineyo kimbia kasali.

Kama una Mali atakuwa mapemaaa

Ila umejua si unajua cha kufanya au bado unampenda?
 
sana ndugu yangu kwani mwanamke kama anaakili hizi za kuamini uchawi uchawi hata kufanya jambo la maana hataweza mwisho wasiku anakua mwanga kweli na pia nawatoto nae najiuliza huyo mtoto akikua nae atakua mlozi sababu kwa asilimia kubwa watoto zetu wanakaa na mama zao
kwa waganga 98% ni wanawake ,kwa Wachungaji 95% wanawake.
 
Kama kakulisha tayari au bado na mengineyo kimbia kasali.

Kama una Mali atakuwa mapemaaa

Ila umejua si unajua cha kufanya au bado unampenda?
watu wengi hujiuliza mara mbili kwenye ndoa sababu tunaona mateso wanayo yapata watoto wanaoishi mbali na wazazi wao au ambao wazazi wao wametengana.
 
Malaika wako amekuonyesha kila kitu na umeishinda upande wa pili kwa sasa, maamuzi mengine hapo utajua upambane naye vipi kabla hajarudi kujipanga.
Sifa ya mshirikina atarudi tu kujipanga tena hata kwa gharama kubwa atimize yake, JIPANGE
 
SImba akila nyama ya mtu,haachi kurandaranda hayo maeneo,kwa sababu nyama ya mtu ni tamu ina chumvi chumvi,piga chini kabla hajamaliza familia.
 
Mwanamke akikuroga frahi sana ndugu anakupenda hataki huende mbali pia kama mnawatoto pesa zako zipo salama hutaonga malaya hovyooo
Kama mke ana kibenten kimemshauri huo ujinga je?mwamake mshirikina c wa kuacha aishi...hata maandiko yametanabaisha
 
Wakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.

Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.

Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.

Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?

Napokea ushauri
Anakuloga kwa nani, acha imani potofu.
 
Masikini wanaume......

Mke anakuroga, sometimes ndo hii collabo na ma mkwe.
Mama ako akuroge ukae mguu sawa.
Michepuko inakuroga.

Ndo maana hata vichaa wengi ni wanaume
 
sina muda wa kupanbana nae ninacho jiuliza je itakuaje pale atakapofanikiwa yale anayoyataka maana ulozi upo. je kuna maendeleo ua mwanamke kua juu kwa kila kitu maana lengo lake hata mshahara wangu nikipokea nimpe yeye ajabu sasa ni sina choyo kwake vitu vizuri anapata zawadi anapata na kil anachotakq huwa anapata.
Kna mtu kasema umeshalogwa, pengine ni kweli. Sasa kama una ushahidi wa wazi kiasi hiki kwa nini usiitishe kikao cha watu wenye busara na kuyaweka yote hadharani? Angalia utakuja kulishwa sumu au uchafu kama kinyesi. Halfu inaonekana hiyo familia uliyooa ni familia mbaya sana. Fikiria pia talaka kama unaona huwezi kuwabadilisha.
 
sina muda wa kupanbana nae ninacho jiuliza je itakuaje pale atakapofanikiwa yale anayoyataka maana ulozi upo. je kuna maendeleo ua mwanamke kua juu kwa kila kitu maana lengo lake hata mshahara wangu nikipokea nimpe yeye ajabu sasa ni sina choyo kwake vitu vizuri anapata zawadi anapata na kil anachotakq huwa anapata.


Kaka tumepita hapo, mteme, achana naye!
 
Ogopa sana mwanamke mchawi..
Kuna jamaa 1 alipigwa cjui rogo gan na mkewe..nianasugua Masufuria mara mke amtukane matusi makubwa jamaa yenikucheka Cheka tu..mke anamuendesha kama mtoto mbaya zaidi mkewe nae Kuna mzee anamfukua hadi mtaro..jamaa haelewi mbele yamkewe hanaujanja ila mwazon kabla hajapgwa kitu..alikuwa njema Yuko vzr..Bora ulogwe na msela kuliko mwanamke
 
Back
Top Bottom