Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Katika pitapita kwenye maeneo ya ofisi ya mpenzi wangu, nikasikia wananiteta, ''kimburu wangu ananivuruga kweli, hataki kutulia na mimi, kila wakati ni migogoro tu''
Wenzie wakamuuliza, kimburu ndio nani; ndipo aliponitaja equation x.
Baada ya kusikia hayo maneno, hata sikuingia ofisini kwake, ikabidi niendelee na mihangaiko yangu.
Hapa bado natafakari, kwa nini ananiita mimi kimburu?
Nipeni ushauri wakuu, au na nyie wapenzi wenu wanawaita majina ya ajabu ajabu wakiwa na marafiki zao?
Wenzie wakamuuliza, kimburu ndio nani; ndipo aliponitaja equation x.
Baada ya kusikia hayo maneno, hata sikuingia ofisini kwake, ikabidi niendelee na mihangaiko yangu.
Hapa bado natafakari, kwa nini ananiita mimi kimburu?
Nipeni ushauri wakuu, au na nyie wapenzi wenu wanawaita majina ya ajabu ajabu wakiwa na marafiki zao?