Mtoto akitoka kucheza na wenzie,akirudi home kachafuka vumbi mwili mzima...huwa tunasema unaonekana Kama kimburu...
Ndio, naufahamuHivi unaujua mkia wa mbuzi /mburu?
Enhe,huyu hapa huyu....ni kimburu
Ni kuacha ukimburu tuNini kifanyike
Ukute Mie huko kwa marafiki zako huwa unaniita kibaka wako lo😂!
Hawanaga sababu hawa viumbe aiseeeeSababu kuu inakuwa ni nini?
Hahaaaaa acha roho mbaya wewe mwanamke.Nakazia
Kiburudisho huwa hachoki mkuu.Huwa huchoki kuleta hizi Chai?
Dhambi gani? Amnyonge alikubali kuitwa kimbulu.dhambi kubwa sana
Muongo mkuuSina hakika, kwa sababu ata kulitamka linakuwa halina ladha