Nimegundua Mume wangu ana uhusiano wa kimahaba na dada yetu wa kazi

Wazo zuri Nina mke miaka 15 Sasa sijawahi shika simu yake.
Mwanamke ndiyo hatakiwi kugusa simu ya Mumewe, wwe Mwanaume lazima hiyo simu ya mkeo ifuatilie zaidi kwa usalama wako!!
 
Pole aisee, mi kati ya vitu nilishajiapiza ni kumvunjia heshima wife kwa kutembea na mdada wa kazi. Ntakua nimemshusha sana,niliwahi pita na ndugu yake mmoja hivi ni piece moja kali sana na sikujilaumu sababu ni viwango vya wife
Kwaiyo house girl cio binadamu, vip kama uyo house girl angekuwa pisi kali kuliko wife wako unge lala nae?
 
Atakuwa kampangia ilitokea kwa jirani yangu mwaka 2014,
Mke akajua ndo yameisha kumbe kampangia 🤣🤣
Kwanini umuue msichana wa kazi usimuue mmeo?
Mwambie msichana akufundishe mautundu we si ulishuhudia mmeo analia lia kwa utam
 
Cha msingi asali imepatikana kula basi, ukianza kufuatilia mlolongo wa utengenezaji wake utaichukia bute. Ila pole kiongoz
 
Atakuwa kampangia ilitokea kwa jirani yangu mwaka 2014,
Mke akajua ndo yameisha kumbe kampangia [emoji1787][emoji1787]
Kwanini umuue msichana wa kazi usimuue mmeo?
Mwambie msichana akufundishe mautundu we si ulishuhudia mmeo analia lia kwa utam


Kwani amebakwa?

Kwanini hakukataa?

Inamaana hata kaka yake tumbo moja au baba yake mzazi angemtaka angekubali sababu ameanzwa ?

Atawajibishwa kwa uovu wake !

Wote wanastahili adhabu kali!

Wapewe funzo!
 
Kwani amebakwa?

Kwanini hakukataa?

Inamaana hata kaka yake tumbo moja au baba yake mzazi angemtaka angekubali sababu ameanzwa ?

Atawajibishwa kwa uovu wake !

Wote wanastahili adhabu kali!

Wapewe funzo!
Anza na mume wako ndiye kamtongoza.
Ukifumania mwenzako ana mtu wako, deal na mtu wako ndiye ambaye kakusaliti akijua yuko kwenye ndoa lakini kaamua kwa hiari yake kukusaliti. Yeye ndiye inabidi aheshimu ndoa yenu sio thirdparty.
Sasa badala uanze kuua huyo mumeo ambae amekudowngrade mpaka chini akaona wewe mke wake ambaye kakuoa kwa mahari huna thamani unataka eti umuue housegirl.

Sio baba yake wala kaka yake ndio maana kakubali.

Anza kumwajibisha mumeo kwanza mbona hujathubutu kumuua?
 
Yaani hapo lipiza tu kisasi. Tena lipa haswaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama kila mtu akitulia na simu yake, hi dunia itakua mahali salama sana pa kuishi; ukimchunguza sana kuku au nyuki hakika hutakaa ule nyama ya kuku au asali.
 
Kama kila mtu akitulia na simu yake, hi dunia itakua mahali salama sana pa kuishi; ukimchunguza sana kuku au nyuki hakika hutakaa ule nyama ya kuku au asali.


Sasa huko kutakuwa ni ku-fake maisha!

Kwanini watu wasiishi maisha halisi bila hila?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…