Nimegundua Mume wangu ana uhusiano wa kimahaba na dada yetu wa kazi

Nimegundua Mume wangu ana uhusiano wa kimahaba na dada yetu wa kazi

Anza na mume wako ndiye kamtongoza.
Ukifumania mwenzako ana mtu wako, deal na mtu wako ndiye ambaye kakusaliti akijua yuko kwenye ndoa lakini kaamua kwa hiari yake kukusaliti. Yeye ndiye inabidi aheshimu ndoa yenu sio thirdparty.
Sasa badala uanze kuua huyo mumeo ambae amekudowngrade mpaka chini akaona wewe mke wake ambaye kakuoa kwa mahari huna thamani unataka eti umuue housegirl.

Sio baba yake wala kaka yake ndio maana kakubali.

Anza kumwajibisha mumeo kwanza mbona hujathubutu kumuua?



Aaah wapi thubutu yake!

Wee jichanganye tu mwanangu kwa kusema alikuanza wewe wakati umefanya kumtega weee!

Utawajibishwa kwa uovu wako [emoji108]

Na kwa sababu nitakuwa upande wa haki iwe kwenye ulimwengu halisi , wa Nuru au Giza inaheshimu sana haki ya asili basi ujiandae kwa funzo la Mwanaukome [emoji123][emoji108]

Usiombe kushika pabaya!
 
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu na kunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia
 
Endelea kumuona kama takataka muda tu utajua kati ya yeye na wewe nani takataka, unaonekana huna heshima kwa mumeo ndiomaana ameamua kuishi kwa dada wa kazi.

Kizazi umepeleka wapi? Unataka akaena wewe milele watoto mkanunue sokoni au? Anafanya kazi ili kazi yake iwe na faida anahitaji watoto, alee, asomeshe kama watu wengine.
 
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu na kunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia
Dah pole mpenzi wanaume ndo walivo ...... wanawake tunapitia vitu vingi sana
 
Mwanaume ikifika kwenye eneo la Papuchi huwa anakuwa hana sense yaani Hakuna akili hapo. Kwahiyo kwa ushauri wangu msamehe tuu huyo ni mume wako.
 
House girl katoa uchi wake mwenyewe wewe unazimia?Una akili kweli wewe?kama ni ndoto amka uendelee na mambo yako,kama ni kweli muache aendelee kutumika,nawe naomba namba zako una nidhamu sana unanifaa!

[emoji23][emoji23]
 
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu na kunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekarini kwahiyo nyumbani kwetu tunaishi na mfanyakazi.

Tukiwa tunatoka Asubuhi tunatoka wote mimi na mume wangu ananiacha kazini kwangu yeye anaenda kazini kwake na jioni anapitia tunarudi
Wanasemaga “A woman will always find a reason to cry”

Wewe mumeo anakupenda mnapendana furaha ipo ndani, sio bure ni mwanaume kaamua kupotezea hali yako ya kutokuzaa kwa kujipooza na beki 3.

Umeona haitoshi ukaamua kupekenyua na simu kabisa.
 
Mwanaume kuwa na relation 1, si asili yake, na kama unataka/unadhani uko peke yako....,JIULIZE UNAFANYA NN HASA ILI AACHE ASILI YAKE na awe na wewe tu...[Isaac Ndodi]....,

Kama mke....,hakikisha una sehemu kubwa ya hisia zake...ILA SIO ZOTE![emoji1787],Umesema anakupenda sana&kukuhudumia vizuri...,sasa nn tena kufatilia na wengine anaowapenda?![emoji1787].JUST IGNORE IT.. ,JAPO mwamba kaharibu kucheeeza uwanja wa nyumbani
mhh
 
Back
Top Bottom