Ukwelinasema
JF-Expert Member
- Feb 10, 2021
- 454
- 542
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siwezi kujisemea mkuu ilaInaonekana huyo Dada kakuzidi sana kwenye mahaba kuwa m'bunifu
fanya harakaNakuja na chapati [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe lazima Utakuwa mwalimuKiswahili kitata sana
Selekalini
Beze
Mala
ni kweli me sikamati mikeInaonekana we ni spika tu hujui kukamata mike vizuri na kuinyonya naibu wako anakuzidi matumizi ya mike
kutetema tu mkuu miguu/mwili ulikufa ganziKwanza ilikuaje akasubiri mpaka wa do????
nashukuru kiherehere kimenitoa gizaniUlisema ndoa yako ilkuwa na utulivu, mmeo alikujali, lkn ww ukaanza kuipekuwa sim ya mdada wa kazi ,hapo ndo ulipokosea kwann umfatlie mtu mambo yk bnafs,we ndo umevunja amani ?umeitafta shari, Shari umeipata, jilaumu mwenyewe, umelifunua giza lililo katika dunia yenye bahati na utulivu.
Alijuaje kuwa Back3 anamnyonya Mumewe wakati alikuwa uvunguni?Ulikuwa chini ya uvungu wa kitanda cha house girl ukiugulia maumivuu kwa uliyo kuwa ukiyasikia yakiendelea kati ya mumeo na house girl,Ghafla ukazimia na hukujua kilicho kuwa kikiendelea na kujikuta uko hospitali.
JE,
Walijuaje kuwa wewe uko chini ya uvungu na kugundua kuwa umezimia mpaka kukupeleka hospitali???
mkuu moyo umegoma acha maisha yaendeleeNimecheka sana; mwanaume yeyote mwenye afya, kuonja onja nje ni kawaida, ulichotakiwa kufanya ni kujifunza utundu zaidi katika tendo; usimchukie mume wako,we ongeza manjonjo tu, mwenyewe atabadilika.
sawaMuongo huyo, mwanamke kweli angetoka uvunguni Mara tu mume wake alipoingia chumba Cha house girl.
Hii eti anasikilizia mume akinyonywa dushe Mara wanagegedana hiyo siyo kweli.
ya kwanzaSamahani mwanandoa hii movie ina episode ngapi?
DuuhShigongo movies...
hata weweWee ni story tyuuh mlongo, huoni ni uongo huo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mdada mtu wa mtwara[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]mdada mtanga au mtu wa Kusini huyoo
=77694]JamiiForums mobile app[/URL]
Usimdhalilishe Shigongo mkuu...hii ni taka2!Shigongo movies...
wote wawili baada ya kishindo“ALIYE GUNDUA UMEZIMIA HUKO UVUNGUNI NI NAANI?” tuanzie hapa!
huwezi elewaKuanzia hapa ndipo ulipozidisha sukari...
siwezi sahau nakwambiaEti mdada ananung'unika[emoji23][emoji23]...
ila huyu kala vyandani,tena ndani kwangu amenikosea sanaKitendo cha kusema mfanyakazi hutaki kumuona tayari umempa hatia yeye na kuonyesha kumpenda mumeo na kugundua hana kosa.
Usikilize moyo wako nini unataka, kama unaona bado unampenda msamehe, Jifunze kwa uliyoyaona kwa mfanyakazi wako na kuyasikia muongezee mmeo.
Furahi muishi kwa Amani, asilimia kubwa ya wanaume wanacheat kwa wake zao, lakini sio kwamba hawawapendi wake zao, ni Vichwa vyao vibovu tukisingizia nature yetu.View attachment 2135051