Nimegundua Mume wangu ana uhusiano wa kimahaba na dada yetu wa kazi

Nimegundua Mume wangu ana uhusiano wa kimahaba na dada yetu wa kazi

Wanasemaga “A woman will always find a reason to cry”

Wewe mumeo anakupenda mnapendana furaha ipo ndani, sio bure ni mwanaume kaamua kupotezea hali yako ya kutokuzaa kwa kujipooza na beki 3.

Umeona haitoshi ukaamua kupekenyua na simu kabisa.
Sijutii uamuzi wangu
 
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu na kunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekarini kwahiyo nyumbani kwetu tunaishi na mfanyakazi.
Hongera, Hongereni Back3 popote mlipo kwa kuwa chachu ya kudumisha ndoa nyingi ambazo bila uwepo wenu zisingedumu wala kuendelea kuwepo. [emoji123][emoji123]
 
Hongera, Hongereni Back3 popote mlipo kwa kuwa chachu ya kudumisha ndoa nyingi ambazo bila uwepo wenu zisingedumu wala kuendelea kuwepo. [emoji123][emoji123]

Sent from my WAS-LX1 using JamiiForums mobile app


Ni unyanyasaji mkubwa sana wa kijinsia wa watoto wa watu.

Mmekubaliana aje kufanyakazi kumbe baba mwenyenyumba unakuja kumtumia mtoto wa watu kwa tamaa na uovu wako?!

Je mwanao wa kumzaa akifanyiwa hayo utajisikiaje?

Ifike mahala mjifunze jinsi ya kuwa na kinyaaa na adabu.

Msiwe watu wa kula chochote mnachokaribiana nacho.

Muwe na kiasi na kujua kushiba.

Kuwa na kinyaaa nao ni aina ya ustaarabu.
 
Anapokuja kuja yaya kufanyakazi awekwe chini aambiwe Huyu ni baba yako na mama yako.

Mama Mwambie yaya kuwa asikubali kutumiwa na Mwanaume yoyote wa familia hiyo wala jirani.

Muoneshe kuwa ni mtu thamani na siyo mtu wa kutumiwatumiwa tu kingono .

Mama Mwenyenyumba ishi na yaya kwa upendo.

Mfanye shoga yako ili awe na wepesi wa kukupa Habari mpaka za sirini mapema.

Mtakuwa mnajikuta mnawachora tu wanaume wa familia wanavyojichanganya wote kumtaka house girl huyo huyo.
 
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu na kunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekarini kwahiyo nyumbani kwetu tunaishi na mfanyakazi.
Cool down, Muombe Mungu. Jaribu kuwa kukaa na mumeo kwa karibu sana, au kama una dada au ndugu wa kike mwenye tabia njema, muite na upate muda wa kutosha kukaanae kupiga stori lakini zisihusu mambo ya mahusiano. Then mumeo awe part of that team ila si muda wote awepo nanyi. Then mpe muda, kila kitu kitakaa sawa as if nothing happened.

Then Hakikisha mumeo anakuwa ndiye rafik yako mkubwa sana kwenye mambo mbalimbali yakiwemo ya kipuuzi. Hakikisha akiwaza mambo mazuri anakumiss wewe, Akiwaza ujinga anamiss ujinga mnaofanya nae, akikutana na upuuzi anakumbuka upuuzi unaomfanyia. Yani muweke karibu kias kwamba hata mchapuko wake ukizingua anakuwa anatamani akusimulie wewe. Ukiweza haya, Umehinda Vita

Kuna wakati wanaume hatueleweki nini tunataka. Tusamehe bure. Mungu atusaidie
 
Kuna familia yaya analiwa na mume, watoto wa shemeji, garden keeper, dereva wa familia, mlinzi.

Sasa mume na watoto wa Shemeji ni ndugu halafu wote wanamkula house girl huyo huyo mmoja hamuoni ni mwiko huo?!
 
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu na kunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekarini kwahiyo nyumbani kwetu tunaishi na mfanyakazi.
Acha kushika simu za watu bila ruhusa utakuja kufa siku siyo zako.
 
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu na kunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekarini kwahiyo nyumbani kwetu tunaishi na mfanyakazi.

Tukiwa tunatoka Asubuhi tunatoka wote mimi na mume wangu ananiacha kazini kwangu yeye anaenda kazini kwake na jioni anapitia tunarudi nyumbani, hayo ndio maisha yetu ya kila siku baisi maisha yetu ya furaha na amani ndani ya nyumba yetu.

Basi wala hakuna maugomvi Sasa hapa juzi jioni nimetoka kazini nimekaa na mdada wa kazi alikuwa busy na kuchati Basi nikasema ngoja nimtume kwa kumshtukiza

Basi nikafanya hivyo halafu yeye akanyanyuka kwa kuogopa nikamwambia hebu nenda dukani mara moja akata kuondoka na simu nikamwambia hebu acha simu hapo kimbia, hakubisha akaacha mimi Tena nikachukua simu yake nikaanza kusoma msj kumbe bwana anachati na mume wangu Mambo ya mapenzi.

Jamani nyinyi acheni tu kumbe mume wangu anavyonishusha mimi kazini kwangu anaenda kazini kwake anaweka saini anarudi nyumbani, nyinyi ajue Mungu jinsi mume wangu anavyonijali sijawahi kuamini kama anaweza nifanyia haya Basi bwana mimi nikaiweka simu yake Wala nikaendelea kuangalia TV.

Kama Sina ninalojua akarudi akaleta nilichomtuma akaingia ndani mimi nikainuka nikaandaa meza Nikamuita mume wangu na dada wa kazi wakaja tukakaa mezani tukala. Mimi napenda Sana matani nikawatania pale tukacheka Sana Yani Kama vile Sina kitu najua nikaingia ndani kwangu nikaoga nikaingia kitandani nikalala.

Mume wangu nae akaja tukalala akataka chakula chake Cha usiku nikampa tukalala langu rohoni jamani Basi Asubuhi tumeamka dada kashaandaa kifungua kinywa tukanywa tukawa tunaenda kazini na mume wangu,

Kama kawaida nikamwita dada nikamtuma mbali Sana Yani Basi ss tukaondoka zetu kazini nimefika eneo langu kazi mume wangu akanishusha yy akaenda kazini kwake na mm mda huo huo nikamwita boda boda fasta nikamwambia anipeleke nyumbani.

Basi boda akafanya Kama nilivyomwambia muda tu nipo nyumbani nikamlipa boda nikafungua mlango nikaingia ndani nikaufunga Kama nilivyoukuta nikaingia ndani nikaa kidogo mara nikamsikia dada anarudi nikaingia ndani kwake nikaingia uvungu wa kitanda chake kimya.

Yeye kaingia akawa anaongea na simu kwa mahaba jamani anaongea na mume wangu anamwambia tayari kasharudi Basi mume wangu sijui alikuwa anamchekesha nini anacheka sana mdada Basi mara kukaa kidogo nasikia muungurumo w a gari mume wangu kaingia.

Basi jamani kapokelewa pale na mahaba motomoto Basi mume wangu akaanza kumbusu kushikashika mda mpaka ndani kwa mdada wa kazi wakaanza mahaba yao mdada kashika dudu la mume wangu akaanza kunyonya mume wangu anaugumia Kama ng'ombe kanyang'anywa mwanawe jamani mimi nimejilaza tu moyo unavuja damu tu uko chini.

Basi wakaanza kufanya mapenzi jaman mdada anavyonungunika kwa mahaba mume wangu maneno anayotoa jaman nilishindwa kutoka kule uvunguni nikajikuta nazimia sikujua Tena kinachoendelea nimekuja kujistukia nipo hospital, naamka namkuta mume wangu yupo pembeni yangu analia.

Naangalia mkononi Nina madrip nikakumbuka kilichotokea nikaliaa Sana nikamwambia mume wangu kabla sijatoka apa naomba uyo dada wakazi nisimkute maana nitamuua akaondoka, mimi nikaa hospital yy akarudi nyumba akamuondoa huyo mdada Sasa sijui kamrudisha kwao au kampeleka mahali, Yani mimi na ww sijui .

Yani hapa Sina raha mume wangu namuona Kama takataka Yani sijui hata nifanye nini mimi hakuna ndugu yangu Wala rafiki yangu anaejua hili naombeni mnipe faraja na ushauri ulio sahihi nifanye nini ndugu yenu.
Huko selekarini umeajiriwa kama nani?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu na kunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekarini kwahiyo nyumbani kwetu tunaishi na mfanyakazi.

Tukiwa tunatoka Asubuhi tunatoka wote mimi na mume wangu ananiacha kazini kwangu yeye anaenda kazini kwake na jioni anapitia tunarudi nyumbani, hayo ndio maisha yetu ya kila siku baisi maisha yetu ya furaha na amani ndani ya nyumba yetu.

Basi wala hakuna maugomvi Sasa hapa juzi jioni nimetoka kazini nimekaa na mdada wa kazi alikuwa busy na kuchati Basi nikasema ngoja nimtume kwa kumshtukiza

Basi nikafanya hivyo halafu yeye akanyanyuka kwa kuogopa nikamwambia hebu nenda dukani mara moja akata kuondoka na simu nikamwambia hebu acha simu hapo kimbia, hakubisha akaacha mimi Tena nikachukua simu yake nikaanza kusoma msj kumbe bwana anachati na mume wangu Mambo ya mapenzi.

Jamani nyinyi acheni tu kumbe mume wangu anavyonishusha mimi kazini kwangu anaenda kazini kwake anaweka saini anarudi nyumbani, nyinyi ajue Mungu jinsi mume wangu anavyonijali sijawahi kuamini kama anaweza nifanyia haya Basi bwana mimi nikaiweka simu yake Wala nikaendelea kuangalia TV.

Kama Sina ninalojua akarudi akaleta nilichomtuma akaingia ndani mimi nikainuka nikaandaa meza Nikamuita mume wangu na dada wa kazi wakaja tukakaa mezani tukala. Mimi napenda Sana matani nikawatania pale tukacheka Sana Yani Kama vile Sina kitu najua nikaingia ndani kwangu nikaoga nikaingia kitandani nikalala.

Mume wangu nae akaja tukalala akataka chakula chake Cha usiku nikampa tukalala langu rohoni jamani Basi Asubuhi tumeamka dada kashaandaa kifungua kinywa tukanywa tukawa tunaenda kazini na mume wangu,

Kama kawaida nikamwita dada nikamtuma mbali Sana Yani Basi ss tukaondoka zetu kazini nimefika eneo langu kazi mume wangu akanishusha yy akaenda kazini kwake na mm mda huo huo nikamwita boda boda fasta nikamwambia anipeleke nyumbani.

Basi boda akafanya Kama nilivyomwambia muda tu nipo nyumbani nikamlipa boda nikafungua mlango nikaingia ndani nikaufunga Kama nilivyoukuta nikaingia ndani nikaa kidogo mara nikamsikia dada anarudi nikaingia ndani kwake nikaingia uvungu wa kitanda chake kimya.

Yeye kaingia akawa anaongea na simu kwa mahaba jamani anaongea na mume wangu anamwambia tayari kasharudi Basi mume wangu sijui alikuwa anamchekesha nini anacheka sana mdada Basi mara kukaa kidogo nasikia muungurumo w a gari mume wangu kaingia.

Basi jamani kapokelewa pale na mahaba motomoto Basi mume wangu akaanza kumbusu kushikashika mda mpaka ndani kwa mdada wa kazi wakaanza mahaba yao mdada kashika dudu la mume wangu akaanza kunyonya mume wangu anaugumia Kama ng'ombe kanyang'anywa mwanawe jamani mimi nimejilaza tu moyo unavuja damu tu uko chini.

Basi wakaanza kufanya mapenzi jaman mdada anavyonungunika kwa mahaba mume wangu maneno anayotoa jaman nilishindwa kutoka kule uvunguni nikajikuta nazimia sikujua Tena kinachoendelea nimekuja kujistukia nipo hospital, naamka namkuta mume wangu yupo pembeni yangu analia.

Naangalia mkononi Nina madrip nikakumbuka kilichotokea nikaliaa Sana nikamwambia mume wangu kabla sijatoka apa naomba uyo dada wakazi nisimkute maana nitamuua akaondoka, mimi nikaa hospital yy akarudi nyumba akamuondoa huyo mdada Sasa sijui kamrudisha kwao au kampeleka mahali, Yani mimi na ww sijui .

Yani hapa Sina raha mume wangu namuona Kama takataka Yani sijui hata nifanye nini mimi hakuna ndugu yangu Wala rafiki yangu anaejua hili naombeni mnipe faraja na ushauri ulio sahihi nifanye nini ndugu yenu.
Chai kama Chai.
Umekaa uvunguni ulionaje kashika dudu
JamiiForums-1870518668.jpg
 
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu na kunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekarini kwahiyo nyumbani kwetu tunaishi na mfanyakazi.

Tukiwa tunatoka Asubuhi tunatoka wote mimi na mume wangu ananiacha kazini kwangu yeye anaenda kazini kwake na jioni anapitia tunarudi nyumbani, hayo ndio maisha yetu ya kila siku baisi maisha yetu ya furaha na amani ndani ya nyumba yetu.

Basi wala hakuna maugomvi Sasa hapa juzi jioni nimetoka kazini nimekaa na mdada wa kazi alikuwa busy na kuchati Basi nikasema ngoja nimtume kwa kumshtukiza

Basi nikafanya hivyo halafu yeye akanyanyuka kwa kuogopa nikamwambia hebu nenda dukani mara moja akata kuondoka na simu nikamwambia hebu acha simu hapo kimbia, hakubisha akaacha mimi Tena nikachukua simu yake nikaanza kusoma msj kumbe bwana anachati na mume wangu Mambo ya mapenzi.

Jamani nyinyi acheni tu kumbe mume wangu anavyonishusha mimi kazini kwangu anaenda kazini kwake anaweka saini anarudi nyumbani, nyinyi ajue Mungu jinsi mume wangu anavyonijali sijawahi kuamini kama anaweza nifanyia haya Basi bwana mimi nikaiweka simu yake Wala nikaendelea kuangalia TV.

Kama Sina ninalojua akarudi akaleta nilichomtuma akaingia ndani mimi nikainuka nikaandaa meza Nikamuita mume wangu na dada wa kazi wakaja tukakaa mezani tukala. Mimi napenda Sana matani nikawatania pale tukacheka Sana Yani Kama vile Sina kitu najua nikaingia ndani kwangu nikaoga nikaingia kitandani nikalala.

Mume wangu nae akaja tukalala akataka chakula chake Cha usiku nikampa tukalala langu rohoni jamani Basi Asubuhi tumeamka dada kashaandaa kifungua kinywa tukanywa tukawa tunaenda kazini na mume wangu,

Kama kawaida nikamwita dada nikamtuma mbali Sana Yani Basi ss tukaondoka zetu kazini nimefika eneo langu kazi mume wangu akanishusha yy akaenda kazini kwake na mm mda huo huo nikamwita boda boda fasta nikamwambia anipeleke nyumbani.

Basi boda akafanya Kama nilivyomwambia muda tu nipo nyumbani nikamlipa boda nikafungua mlango nikaingia ndani nikaufunga Kama nilivyoukuta nikaingia ndani nikaa kidogo mara nikamsikia dada anarudi nikaingia ndani kwake nikaingia uvungu wa kitanda chake kimya.

Yeye kaingia akawa anaongea na simu kwa mahaba jamani anaongea na mume wangu anamwambia tayari kasharudi Basi mume wangu sijui alikuwa anamchekesha nini anacheka sana mdada Basi mara kukaa kidogo nasikia muungurumo w a gari mume wangu kaingia.

Basi jamani kapokelewa pale na mahaba motomoto Basi mume wangu akaanza kumbusu kushikashika mda mpaka ndani kwa mdada wa kazi wakaanza mahaba yao mdada kashika dudu la mume wangu akaanza kunyonya mume wangu anaugumia Kama ng'ombe kanyang'anywa mwanawe jamani mimi nimejilaza tu moyo unavuja damu tu uko chini.

Basi wakaanza kufanya mapenzi jaman mdada anavyonungunika kwa mahaba mume wangu maneno anayotoa jaman nilishindwa kutoka kule uvunguni nikajikuta nazimia sikujua Tena kinachoendelea nimekuja kujistukia nipo hospital, naamka namkuta mume wangu yupo pembeni yangu analia.

Naangalia mkononi Nina madrip nikakumbuka kilichotokea nikaliaa Sana nikamwambia mume wangu kabla sijatoka apa naomba uyo dada wakazi nisimkute maana nitamuua akaondoka, mimi nikaa hospital yy akarudi nyumba akamuondoa huyo mdada Sasa sijui kamrudisha kwao au kampeleka mahali, Yani mimi na ww sijui .

Yani hapa Sina raha mume wangu namuona Kama takataka Yani sijui hata nifanye nini mimi hakuna ndugu yangu Wala rafiki yangu anaejua hili naombeni mnipe faraja na ushauri ulio sahihi nifanye nini ndugu yenu.
Kama kweli wewe ni Mtumishi wa Serikali na una uandishi wa hovyo hivi, huyo mume wako yupo sahihi kumtafuna huyo binti.

selekalini #### Serikalini/serikalini

Hujitambui ndio maana jamaa anakula mnato mnatoni!!!

Acha kulia lilia, hata huyo binti anapenda ze-utamu.

Kubali awe mke mwenza, vinginevyo mwache jamaa achape kazi ya kiutu uzima.
 
Pole

Inaonyesha wewe unafikiria watu watasemaje ukiwa hauna ndoa(kosa kubwa).. huyo he labda ana mimba.. na kuna uwezekano mkubwa wataendelea.. na pia atapanga wengine.

Hiyo takataka.. mimi ningeitupa ndani ya dustbin.. niendelee na maisha yangu.. sitajali imejulikana au la.. ningejijari mwenyewe kwanza..
 
haya mambo ni rahisi kuyapanga kama halijakukuta jambo ila ukikutwa ndoyaliyonitokea mie
habari za ma hg baba mwenye nyumba hapaswi kuingilia chochote

kuanzia kumtafuta, kumlipa na amri zote za ndani mwanaume hapaswi kuingilia

mwanaume anachotakiwa ni kupokea salamu tu na si kuongeza neno la pili
 
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu na kunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekarini kwahiyo nyumbani kwetu tunaishi na mfanyakazi.

Tukiwa tunatoka Asubuhi tunatoka wote mimi na mume wangu ananiacha kazini kwangu yeye anaenda kazini kwake na jioni anapitia tunarudi nyumbani, hayo ndio maisha yetu ya kila siku baisi maisha yetu ya furaha na amani ndani ya nyumba yetu.

Basi wala hakuna maugomvi Sasa hapa juzi jioni nimetoka kazini nimekaa na mdada wa kazi alikuwa busy na kuchati Basi nikasema ngoja nimtume kwa kumshtukiza

Basi nikafanya hivyo halafu yeye akanyanyuka kwa kuogopa nikamwambia hebu nenda dukani mara moja akata kuondoka na simu nikamwambia hebu acha simu hapo kimbia, hakubisha akaacha mimi Tena nikachukua simu yake nikaanza kusoma msj kumbe bwana anachati na mume wangu Mambo ya mapenzi.

Jamani nyinyi acheni tu kumbe mume wangu anavyonishusha mimi kazini kwangu anaenda kazini kwake anaweka saini anarudi nyumbani, nyinyi ajue Mungu jinsi mume wangu anavyonijali sijawahi kuamini kama anaweza nifanyia haya Basi bwana mimi nikaiweka simu yake Wala nikaendelea kuangalia TV.

Kama Sina ninalojua akarudi akaleta nilichomtuma akaingia ndani mimi nikainuka nikaandaa meza Nikamuita mume wangu na dada wa kazi wakaja tukakaa mezani tukala. Mimi napenda Sana matani nikawatania pale tukacheka Sana Yani Kama vile Sina kitu najua nikaingia ndani kwangu nikaoga nikaingia kitandani nikalala.

Mume wangu nae akaja tukalala akataka chakula chake Cha usiku nikampa tukalala langu rohoni jamani Basi Asubuhi tumeamka dada kashaandaa kifungua kinywa tukanywa tukawa tunaenda kazini na mume wangu,

Kama kawaida nikamwita dada nikamtuma mbali Sana Yani Basi ss tukaondoka zetu kazini nimefika eneo langu kazi mume wangu akanishusha yy akaenda kazini kwake na mm mda huo huo nikamwita boda boda fasta nikamwambia anipeleke nyumbani.

Basi boda akafanya Kama nilivyomwambia muda tu nipo nyumbani nikamlipa boda nikafungua mlango nikaingia ndani nikaufunga Kama nilivyoukuta nikaingia ndani nikaa kidogo mara nikamsikia dada anarudi nikaingia ndani kwake nikaingia uvungu wa kitanda chake kimya.

Yeye kaingia akawa anaongea na simu kwa mahaba jamani anaongea na mume wangu anamwambia tayari kasharudi Basi mume wangu sijui alikuwa anamchekesha nini anacheka sana mdada Basi mara kukaa kidogo nasikia muungurumo w a gari mume wangu kaingia.

Basi jamani kapokelewa pale na mahaba motomoto Basi mume wangu akaanza kumbusu kushikashika mda mpaka ndani kwa mdada wa kazi wakaanza mahaba yao mdada kashika dudu la mume wangu akaanza kunyonya mume wangu anaugumia Kama ng'ombe kanyang'anywa mwanawe jamani mimi nimejilaza tu moyo unavuja damu tu uko chini.

Basi wakaanza kufanya mapenzi jaman mdada anavyonungunika kwa mahaba mume wangu maneno anayotoa jaman nilishindwa kutoka kule uvunguni nikajikuta nazimia sikujua Tena kinachoendelea nimekuja kujistukia nipo hospital, naamka namkuta mume wangu yupo pembeni yangu analia.

Naangalia mkononi Nina madrip nikakumbuka kilichotokea nikaliaa Sana nikamwambia mume wangu kabla sijatoka apa naomba uyo dada wakazi nisimkute maana nitamuua akaondoka, mimi nikaa hospital yy akarudi nyumba akamuondoa huyo mdada Sasa sijui kamrudisha kwao au kampeleka mahali, Yani mimi na ww sijui .

Yani hapa Sina raha mume wangu namuona Kama takataka Yani sijui hata nifanye nini mimi hakuna ndugu yangu Wala rafiki yangu anaejua hili naombeni mnipe faraja na ushauri ulio sahihi nifanye nini ndugu yenu.
Umekaa uvunguni mwa kitanda alafu unamuona mume wako ananyonywa dishe sasa uliona vipi?
 
Back
Top Bottom