Nimegundua Mume wangu ana uhusiano wa kimahaba na dada yetu wa kazi

Nimegundua Mume wangu ana uhusiano wa kimahaba na dada yetu wa kazi

Kama ni kweli we nawe ulibugi stepu

Ilitakiwa ukae kimya hvyo hvyo then unaenda nunua dwa za kutoa mimba( misoprostol)unakuja kumpa dada ameze unamwambia ni kinga dhidi ya corona

Baada ya hapo unamuamsha alfajiri anapaki kilicho chake unamnyang’anya na cm unampeleka mpk stend na unamlipa konda cha juu asishuke njiani. bora waje kutaftana badae

Yaani wewe ukamuachia kabisa amuondoe yeye je kama ndo kaenda kumpangia na chumba kabisa
haya mambo ni rahisi kuyapanga kama halijakukuta jambo ila ukikutwa ndoyaliyonitokea mie
 
Tatizo la uchoyo, kwani mkishea dudu na dada wa kazi kuna tatizo? Tena mmeo anapunguza gharama za kuhonga, angalia sasa anaenda kumpangia apartment na anazaa nae.
uhh wewe weeee
 
Pole sana dada nakushauri angalia kwanza afya yako alafu tuliza akili wala usimulize uyo mwanaume chochote kile ww mwache tu iyo itakuwa ni adhabu tosha kwakwe na usiondoke hapo nyumbani kwakwe mana ukiondoka tu utakuwa nimempa uhuru wa kuinjoy na huyo house girl.utakuja kunishukuru siku moja kwa huu ushauri
asante
 
ulianza vizuri sana afu ukakosea kuzimia.

ulikosea sana kuzimia sasa unless utuambia walikupataje mvunguni itabidi utusevie vitafunwa tunywe na hii chai.

Afu hiyo faraja unayotafuta kuwa makini. Kuna mzabzab aisee sijui kama atakuacha salama.
uvumilivu 0
 
Endelea kumuona kama takataka muda tu utajua kati ya yeye na wewe nani takataka, unaonekana huna heshima kwa mumeo ndiomaana ameamua kuishi kwa dada wa kazi.
Kizazi umepeleka wapi? Unataka akaena wewe milele watoto mkanunue sokoni au? Anafanya kazi ili kazi yake iwe na faida anahitaji watoto, alee, asomeshe kama watu wengine.
Uzazi unatolewa na Mungu hayo mengine hayanihusu
 
Back
Top Bottom