Nimegundua Mume wangu ana uhusiano wa kimahaba na dada yetu wa kazi

Nimegundua Mume wangu ana uhusiano wa kimahaba na dada yetu wa kazi

Ila funzo kubwa ni wadada kazi nao waheshimiwe. Yeye pia ana privacy yake, why utumie uboss wako na hela yako kutaka kufanya lolote unalojisikia ktk maisha yake?

Kisa wewe ni boss, basi ndo ukimuona ana chat anafurahi, roho inakuuma ukataka ujue anachat na nani, kana kwamba hastahili kufurahia life.

Yes,ni tit for tat, thats Karma Kamama. Harafu ukiona mwanaume anakula mdada wa kazi,Most of time jua dada ana mpa better treatment [emoji16].

So, Huyo uliyesema Ngombe utaachana naye au?? Ila jua tu, hawezi kuacha kumpelekea moto, HG ( Mecury)
 
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu na kunijali pia. Nimefanya kazi na mume wangu pia, anafanya kazi serikalini, kwahiyo nyumbani kwetu tunaishi na mfanyakazi.
Siku utakapomkuta amebeba mtoto kafanana na mumeo ndio utajua alimpeleka wapi.
Binti wa kazi ni msaidizi wako.
Chagua msaidizi mwema.
 
Endelea kumuona kama takataka muda tu utajua kati ya yeye na wewe nani takataka, unaonekana huna heshima kwa mumeo ndiomaana ameamua kuishi kwa dada wa kazi.
Kizazi umepeleka wapi? Unataka akaena wewe milele watoto mkanunue sokoni au? Anafanya kazi ili kazi yake iwe na faida anahitaji watoto, alee, asomeshe kama watu wengine.
Umri wako tafadhari
Sasa huko kutakuwa ni ku-fake maisha!

Kwanini watu wasiishi maisha halisi bila hila?
Maisha tuna feki vitu vingi tu; kwani ni kwanini tunavaa nguo? Si nikuficha UCHI? Kuna mtu hajui kama wewe unao uchi au laa? Huko nako ni ku feki tu mkuu; wengine wanavaa nguo nzuri sana, yaani gharama za nguo kwake ni kubwa sana tu kwasababu ya nature ya kazi yake, anatakiwa kua smart, by doing so anaonekana kama ni mtu mwenye fedha zake, kumbe masikini ya Mungu wala, huko nako ni ku feki maisha. Narudia; kama kila mtu akitulia na simu yake, maisha ya dunia yatakua salama sana
 
Uko uvunguni kuna mwanya wa kuona hadi nje ya chumba au uliona kama ananyonywa MB0001 au MB10 au GB1
 
Pole sana sana

Hiyo ni changamoto

Pia samehe

Huo ni udhaifu wa mumeo

Tafuta jinsi ya kumwokoa mumeo katika tabia usizopenda

Kwa msaada au ushauri zaidi

Wasiliana nami kwa

0768977816
 
.
20220304_215012.jpg
 
Sasa kama ulizimia Chini ya uvungu, wao walijuaje kama kuna mtu?

Ungeiweka vizuri hii ingenoga zaidi.
 
Mbona kama umefurahia sana miguno na unyonyaji wa con[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu na kunijali pia. Nimefanya kazi na mume wangu pia, anafanya kazi serikalini, kwahiyo nyumbani kwetu tunaishi na mfanyakazi.

Tukiwa tunatoka asubuhi tunatoka wote mimi na mume wangu ananiacha kazini kwangu yeye anaenda kazini kwake na jioni anapitia tunarudi nyumbani, hayo ndiyo maisha yetu ya kila siku, basi maisha yetu ya furaha na amani ndani ya nyumba yetu.

Basi wala hakuna maugomvi. Juzi jioni nimetoka kazini nimekaa na mdada wa kazi alikuwa busy na kuchati, basi nikasema ngoja nimtume kwa kumshtukiza.

Nikafanya hivyo halafu yeye akanyanyuka kwa kuogopa nikamwambia hebu nenda dukani mara moja akataka kuondoka na simu nikamwambia 'hebu acha simu hapo kimbia', hakubisha akaacha, nikachukua simu yake nikaanza kusoma sms kumbe bwana anachati na mume wangu mambo ya mapenzi.

Jamani nyinyi acheni tu kumbe mume wangu anavyonishusha mimi kazini kwangu anaenda kazini kwake anaweka saini anarudi nyumbani, nyinyi ajue Mungu jinsi mume wangu anavyonijali sijawahi kuamini kama anaweza nifanyia haya, basi bwana mimi nikaiweka simu yake, nikaendelea kuangalia TV.

Kama sina ninalojua akarudi akaleta nilichomtuma akaingia ndani mimi nikainuka nikaandaa meza nikamuita mume wangu na dada wa kazi wakaja tukakaa mezani tukala. Mimi napenda sana matani nikawatania pale tukacheka sana yani kama vile sina kitu najua, nikaingia ndani kwangu nikaoga nikaingia kitandani nikalala.

Mume wangu naye akaja tukalala akataka chakula chake cha usiku nikampa, tukalala langu rohoni, jamani basi asubuhi tumeamka dada ameshaandaa kifungua kinywa tukanywa tukawa tunaenda kazini na mume wangu.

Kama kawaida nikamwita dada nikamtuma mbali sana, tukaondoka zetu kazini nimefika eneo langu kazi mume wangu akanishusha yeye akaenda kazini kwake na mimi muda huohuo nikamwita bodaboda fasta nikamwambia anipeleke nyumbani.

Basi boda akafanya kama nilivyomwambia muda tu nipo nyumbani nikamlipa boda nikafungua mlango nikaingia ndani nikaufunga kama nilivyoukuta nikaingia ndani nikaa kidogo mara nikamsikia dada anarudi nikaingia ndani kwake nikaingia uvungu wa kitanda chake kimya.

Yeye akaingia akawa anaongea na simu kwa mahaba jamani anaongea na mume wangu anamwambia tayari kasharudi, basi mume wangu sijui alikuwa anamchekesha nini anacheka sana mdada, mara kukaa kidogo nasikia muungurumo wa gari mume wangu kaingia.

Basi jamani kapokelewa pale na mahaba motomoto, mume wangu akaanza kumbusu kushikashika mpaka ndani kwa mdada wa kazi wakaanza mahaba yao, mdada kashika dudu la mume wangu akaanza kunyonya, mume wangu anaugumia kama ng'ombe kanyang'anywa mwanawe jamani mimi nimejilaza tu moyo unavuja damu tu huko chini.

Basi wakaanza kufanya mapenzi, jaman mdada anavyonung'unika kwa mahaba mume wangu maneno anayotoa jamani nilishindwa kutoka kule uvunguni nikajikuta nazimia sikujua tena kinachoendelea nimekuja kujistukia nipo hospitali, naamka namkuta mume wangu yupo pembeni yangu analia.

Naangalia mkononi nina madrip nikakumbuka kilichotokea nikaliaa sana nikamwambia mume wangu kabla sijatoka hapa naomba huyo dada wakazi nisimkute maana nitamuua, akaondoka.

Mimi nikaa hospitali yeye akarudi nyumba akamuondoa huyo mdada sasa sijui kamrudisha kwao au kampeleka mahali, yani mimi na wewe hatujui.

Hapa sina raha mume wangu, namuona kama takataka yani sijui hata nifanye nini mimi hakuna ndugu yangu, wala rafiki yangu anayejua hili naombeni mnipe faraja na ushauri ulio sahihi nifanye nini ndugu yenu.
Ulijuaje mdada ananyonya mdude wa mumeo ukiwa chini ya kitanda, mtupunguzie stori za ubunifu humu ndani, leteni visa halisi tujifunze experience mbalimbali za maisha
 
Mimi ndio maana vitanda vyangu vyote huwezi ingia chini ya uvungu.
Sasa uliwaonaje wakifanya yao....na wao walijuaje umezimia?
 
Back
Top Bottom