Kisirani huyo. Mme date kwa muda gani? Kipindi mna date kabla ya hii ishu ya kumchangia engagement hajawahi kukuonyesha tabia za visirani?Kisa tuu nimeshidwa kumchangia hela ya gauni la 100,000 kwa ajiri ya engangement basi saivi kaninunia na kunikasirikia
Na sio kama nimeshidwa kumchangia la hasha saivi nina mambo mengi ikiwemo gharama za mahali na vikorokoro kibao natakiwa kuvitimiza siku ya engament japo nilijaribu kmuelezea hali halisi anaonekana hanielewi
Hapa nilipo nawaza kweli huko mbeleni hali itakuwej
Ndio picha linaanza be a man atakutawala huyo ndoanii muonyeshe rangi zako mapema azijueKisa tuu nimeshidwa kumchangia hela ya gauni la 100,000 kwa ajiri ya engangement basi saivi kaninunia na kunikasirikia
Na sio kama nimeshidwa kumchangia la hasha saivi nina mambo mengi ikiwemo gharama za mahali na vikorokoro kibao natakiwa kuvitimiza siku ya engament japo nilijaribu kmuelezea hali halisi anaonekana hanielewi
Hapa nilipo nawaza kweli huko mbeleni hali itakuwej
Ingekuwa ndio mimi hili zoezi la kutoa mahali na kufanya engagement ningelisimamisha na kulifanya mwakani mwezi wa 12 na sababu ya kusimamisha unatafuta hela ya Gauni la laki mojaKisa tuu nimeshidwa kumchangia hela ya gauni la 100,000 kwa ajiri ya engangement basi saivi kaninunia na kunikasirikia
Na sio kama nimeshidwa kumchangia la hasha saivi nina mambo mengi ikiwemo gharama za mahali na vikorokoro kibao natakiwa kuvitimiza siku ya engament japo nilijaribu kmuelezea hali halisi anaonekana hanielewi
Hapa nilipo nawaza kweli huko mbeleni hali itakuwej
Inmradi umfurahishe yeye,wewe ubaki na maumivu.Kama unampenda nenda kakope lipia gauni oa weka ndani
Ukisikilza ushauri wa hapa utaacha kuoa kisa laki moja
Huyo mwanaume mwenzetu anajitambua kwerikweri. Ajengewe sanamu katikati ya pitch kwa Mkapa paleIngekuwa ndio mimi hili zoezi la kutoa mahali na kufanya engagement ningelisimamisha na kulifanya mwakani mwezi wa 12 na sababu ya kusimamisha unatafuta hela ya Gauni la laki moja
Natumai mpka mwakani zoezi litakapoanza upya sijui kama tena huyo mwanamke atataka Gauni la bei hiyoooooooooo.
Kuna mwanangu alikuwa anaplan kufunga harusi na ndoa ya kawaida ila mwanamke wake alikuwa ana force wafunge ndoa ya kifahali kilichotokea mwamba alisimamisha shughuli ya harusi over five years mwanamke kuona anakaribia kutimiza 33 years na hakuna ndoa ilibidi hela ya na harusi familia yake igharamilikie maana mwamba alishasusa
Kitu nilichojifunza mwanaume ukishindwa kusimama kama mwanaume kila siku utakuwa ww ni mtu kulalamika habari za wanawake
Kama unampenda nenda kakope lipia gauni oa weka ndani
Ukisikilza ushauri wa hapa utaacha kuoa kisa laki moja