Nimegundua mwanamke ambaye nina mpango wa kumuoa hatutawezana

Ishu apa sio laki,ni iyo tabia ambayo kimsing ni alerting,jamaa inabid aajitathmini sana,mm nilishawah kufanya maamuz magum bado wik kadhaa kufikia ndoa maana niliona kabisa tunaenda kushindwana mwez wa kwanza .
umeongea point, issue sio laki, issue ni anashindwa kuvaa viatu vya jamaa kwa wakati huo, anashindwa kuelewa kuwa wakaka sikuhizi hawaoi, anashindwa kuelewa kuwa kuna maisha baada ya ndoa na huu ni mda wao wa kujipanga. Anawaza tu jinsi atakavyopendeza na kuringishia wenzake, alafu wakiingia ndani wawe na madeni, waanze kuzozana kila siku.
Cha msingi ni akae naye chini na waonge kiutu uzima.
Huyo dada inaelekea anawaza sherehe rather than kufikiria future yake na jamaa.
 
Yawezekana wewe ndio tatizo au bibie ndio tatizo.
Kununa nuna tukinyimwa hela mbona mambo ya kawaida tu hayo, kaa nae zungumzeni kwa marefu na mapana muelewane. Lasivyo mnakoelekea mnalo.
 
Na hapo bado hajainga ndani, na wakishapata ndoa huwa wanabadilika na kuonesha tabia yao halisi
 
Wanawake wamekua miyeyusho sana maniner yaani mapichapicha kila siku, akiwa mpole ngoja umuoe utaona tabia zake
 
Daah pole sana mkuu, stress za mahari, hapo kuna Pete yake ya engagement, ununue tena na gauni? Huko kwao Inamaana wanafanya maandalizi gani kama mtoto wao hawajui atavaa nn?
 
Apeleke umaskini wake kwao. Gauni la engagement ananunuliwa na wazazi wake. Asikufanye mgodi.
Tafuta anaejielewa kazi uendelee.

Natamani Mimi ndio ngenuniwa aluuh, ningeanza kum block na watu wote wa kwao.
 
Huyo jamaa alikuwa vizuri.
Mwanaume hutakiwi kuyumbishwa na vitu visivyokuhusu

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Ilinitokea 2017 nikavunja uchumba
 
Piga chini Malaya huyo
 
Huyo mwanamke kuna dalili za kuendelea kukusumbua huko mbeleni. Usimuendekeze

Wengi wa dizain hiyo ndo wale pasua kichwa kuendesha waume zao. Usikubali akutawale
 
Sasa kama hata gauni lake anakutegemea wewe kuna mke hapo kwel?mwambie kama anaweza subir mfanye mwakan ili uwe umejipanga..akikubali ndo iwe nitolee
 
Laki tu huna?utaweza kumtunza huyo kweli
 
Mwambie laki ipo ila chagua tukaipunguze kwenye mahari au pete ya uchumba then tusubr kwanza hlo zoez la kuja kwenu kipind natafuta hela ya kujazia
 
Kwani engagement ina maana na umuhimu gani? Kama ulishatoa mahari hayo mengine unayafanya ya nini? Jinga wewe na mkeo mtarajiwa hela hamna mnataka makuu. Engagement itawasaidia nini
 
Engagement sijui mahari mna complicate things, vaa tenge lako siku iende,lol..mwanaume ndio anapanga harusi, gharama ni nyingi anaingia, bado akulipie gauni la engagement?, ila maisha ndio haya haya ndoa sio kitu cha kujirudia sana, special memories mna create...make them (memories) really special...so mzee baba kama unayo hio hela toa tuuuuu
 
Huko Mbeleni si utampiga tu Risasi 5 Mkuu akufe Mbona unakuwa kama hukuwa kwenye Mkutana wa Wanaume waliooa Ma Slay Kwini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…