Nimegundua rasmi kumbe shetani ni binadamu wala si pepo kama wengi tulivyokaririshwa

Nimegundua rasmi kumbe shetani ni binadamu wala si pepo kama wengi tulivyokaririshwa

Mimi naamini wachawi na waganga hawafanyi hiyo kazi kwa hiari yao. kuna namna fulani wanalazimishwa na kuambiwa wasitoe siri
Kuna ndugu yangu mmoja, hakuwa tayari kupokea mikoba ya uganga. kilitokea kimbunga kikabomoa mji wako wote, na akaambia next action ni yeye kuuawa
ikabidi asalim amri
@Juniormshana atatusaidia ufafanuzi hapa
Halikadhalika wachawi ni hivyo hivyo
 
Mimi naamini wachawi na waganga hawafanyi hiyo kazi kwa hiari yao. kuna namna fulani wanalazimishwa na kuambiwa wasitoe siri
Kuna ndugu yangu mmoja, hakuwa tayari kupokea mikoba ya uganga. kilitokea kimbunga kikabomoa mji wako wote, na akaambia next action ni yeye kuuawa
ikabidi asalim amri
@Juniormshana atatusaidia ufafanuzi hapa
Halikadhalika wachawi ni hivyo hivyo
Umeelewa mada?
 
Kadri siku zinavyokwenda naona uelewa wa watu unaongezeka naona mtoa mada ameelewa hili jambo Leo wengine watakuja kuelewa mwaka 2030 wengine 2050
 
Shetani anayewatesa watu, siyo shetani aliyeumbwa na Mungu. Shetani anayewatesa wapendwa wengi, ni shetani aliyepewa nguvu na Akili yako. Kwa sababu, shetani aliyeumbwa na Mungu amefungwa kuzimu...!!
 
Shetani anayewatesa watu, siyo shetani aliyeumbwa na Mungu. Shetani anayewatesa wapendwa wengi, ni shetani aliyepewa nguvu na Akili yako. Kwa sababu, shetani aliyeumbwa na Mungu amefungwa kuzimu...!!
Saaaaaaaaf kabisa mkuu! Good point!
Tunasumbuana wenyewe tu
 
Shetani anayewatesa watu, siyo shetani aliyeumbwa na Mungu. Shetani anayewatesa wapendwa wengi, ni shetani aliyepewa nguvu na Akili yako. Kwa sababu, shetani aliyeumbwa na Mungu amefungwa kuzimu...!!
Shetani yupi kafungwa kuzimu mkuu 🤣 🤣 tupe andiko

1 Petro 5:8​

Mwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka-zunguka, akitafuta mtu ammeze.
 
Shetani yupi kafungwa kuzimu mkuu 🤣 🤣 tupe andiko

1 Petro 5:8​

Mwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka-zunguka, akitafuta mtu ammeze.
Hivi simba akiunguruma akiwa huko mbungani si ndo alikofungwa!...akiunguruma akiwa mbugani siyo neno!
Shida ni pale kuamini simba anayeunguruna huko ngorongoro ndiyo huyo anararua watu kariakoo!

Sijakataa kwamba huko alikofungwa ukimfuata hatakurarua! Lakini haiondoi maana kuwa aliko yupo kifungoni mbugani
 
Mungu na Shetani ingekuwa ni watu au viumbe fulani wanaoishi, mimi bila kulazimishwa ningeenda kukaa na Shetani.
Mimi sioni kama Mungu au Shetani wapo.

Ni fikra tu za mtu ndiyo huendesha maisha yake na wala siyo Mungu wala Shetani.
Shida yangu Ni kujua sababu za juhudi ya kuchagua kuishi na shetani
 
Unayesema Mungu hayupo umeshajiuliza umetoka wapi? Nani aliyekupa akili za kufikiri mpaka ukachangia huu uzi?
 
Nnavo jua shetani anatumia watu, yeyote atakayempa nafasi anamtumia
 
Shetani ni roho.

Mwanzoni alikua malaika kule mbinguni kabla hajafanya UASI kama wa JKT.

Alikua top leader na mwimbaji mkuu kule mbinguni.

By then alikua ana form ya roho ,akiwa malaika mtiifu na alikua anafahamika kama LUCIFER.


Alivyoleta uasi akasapotiwa na 1/4 ya malaika wengine, wote wakapewa adhabu ya kushushwa huku ulimwenguni toka mbinguni wakiwa na form ya roho.


Mm na ww tulikubaliana na plan ya MUNGU na hatukukubaliana na uasi wa shetani so hatukushushwa bila mwili.

Tulizawadiwa mwili na tukawekewa utaratibu wa kuzaliwa duniani kupitia mama zetu.

Kupitia mwili leo tunatimiza mpango wa MUNGU na kupitia huu mwili tutakua watimilifu (perfected with perfect body),mwili usiokufa.


Shetani na wale robo hawana mwili,hence hawana progress zozote kilichobaki wanatushawishi sisi wenye miili tuharibu miili yetu maana wanajua miili ni tool' kubwa kwenye progress.

Angalia ,Shetani anakushawishi uudunge mwili madawa ya kulevya,uuchore tattoo,uvishe mwili nguo fupi,uufanyie umalaya mwili ukajiuze ,etc


Nitaendelea kukiwa na swali.
 
Shetani ni roho.

Mwanzoni alikua malaika kule mbinguni kabla hajafanya UASI kama wa JKT.

Alikua top leader na mwimbaji mkuu kule mbinguni.

By then alikua ana form ya roho ,akiwa malaika mtiifu na alikua anafahamika kama LUCIFER.


Alivyoleta uasi akasapotiwa na 1/4 ya malaika wengine, wote wakapewa adhabu ya kushushwa huku ulimwenguni toka mbinguni wakiwa na form ya roho.


Mm na ww tulikubaliana na plan ya MUNGU na hatukukubaliana na uasi wa shetani so hatukushushwa bila mwili.

Tulizawadiwa mwili na tukawekewa utaratibu wa kuzaliwa duniani kupitia mama zetu.

Kupitia mwili leo tunatimiza mpango wa MUNGU na kupitia huu mwili tutakua watimilifu (perfected with perfect body),mwili usiokufa.


Shetani na wale robo hawana mwili,hence hawana progress zozote kilichobaki wanatushawishi sisi wenye miili tuharibu miili yetu maana wanajua miili ni tool' kubwa kwenye progress.

Angalia ,Shetani anakushawishi uudunge mwili madawa ya kulevya,uuchore tattoo,uvishe mwili nguo fupi,uufanyie umalaya mwili ukajiuze ,etc


Nitaendelea kukiwa na swali.
Hapo kwenye progress sijaelewa

Na mwili ni zawadi au roho ndo zawadi?
 
Back
Top Bottom