Nimegundua Siri, Wanawake someni hapa

Nimegundua Siri, Wanawake someni hapa

hesalieyo

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2012
Posts
378
Reaction score
380
Wadada usithubutu kukutana na mwanaume ambaye mmeanza Naye mahusiano , at least chukua muda wa miezi zaidi ya mitatu au minne umsome kwanza kama Yuko serious au mpitaji

Yaani nimegundua ukiachana na mwanaume ambae hukuwah kukutana Naye kimwili, hutapata maumivu kama ambavyo uachane na mwanaume ambaye mmeshakutana kimwili.

Zaidi yeye mwanaume ndo anayeumia nakuandika vijembe kwenye mitandao yake ya kijamii me namchora tu. Akiona nimepost picha yangu na yeye muda huohuo atampost picha za mwanamke😃.

Ni hayo tu kwa Leo.
 
Haijalishi ni baada ya muda gani umekutana na mwanaume kimwili.. Unaweza kuna na mahusiano na mwanaume hata zaidi ya miaka miwili na mskutane kimwili na siku tu utakapokutana nae akakuacha...
Na ukakutana na mtu kimwili leo, kesho akakuoa...

Hivi vitu havikaririki bali kusomana tu pia kuzingatia red flags anazokuonesha mtu wako basi..
 
Yaani muda wote huo unizungushe sababu ya papuchi kama kukuacha nitakuacha tu nikishapata mzigo hata ukinizungusha miaka mitano,, hakuna uhusiano kati ya kupewa tunda na kudumu kwa mapenzi, tunaweza kukutana leo ukanipa leo leo na tukadumu na ukanizungusha mwaka mzima na siku ukinipa tu naeat and run.
 
Labda awe mwanaume fala,mimi mbususu natafuna haraka tukijuana,huyo wa kusubiria mbususu mwezi atakua pongo
 
Haijalishi ni baada ya muda gani umekutana na mwanaume kimwili.. Unaweza kuna na mahusiano na mwanaume hata zaidi ya miaka miwili na mskutane kimwili na siku tu utakapokutana nae akakuacha...
Na ukakutana na mtu kimwili leo, kesho akakuoa...

Hivi vitu havikaririki bali kusomana tu pia kuzingatia red flags anazokuonesha mtu wako basi..

Ndio maana maandiko yanakataza uasherati
No sex before marriage

Kwasababu kama hizo

Unaweza ukasex na mtu akakupendaa sana na unaweza kusex na mtu akakuchukia mazimaaaa

Ipo siri katika sex ni aganooo sasa inategemea hilo agano lako unafanya na nanii na kwa muda gani


Vijanaacheniizinaaaa[emoji354][emoji354]
 
Usikute ni mwanaune kaandika huu upumbavu.

Yaan unapoteza mb zako kuandaa uzi utakao wacost wanaume wenzako? Ama wew mwenzetu ndio vile tena?..

Anyaway ungeyajuwa magumu wanaume tunapitia wala usingewapa ushauri hao viruka njia, mwanaume mpka anafikia hatua ya kuwa hit&run ujuwe keshachoka na hzo mbanga za wanawake.

Nakushauri waombe Mods wafute huu uzi
 
Back
Top Bottom