Nimegundua Siri, Wanawake someni hapa

Nimegundua Siri, Wanawake someni hapa

Mwanamke anaejua janja janja za wanaume na jinsi ya kukabiliana nazo, au kuzipangua basi ujue huyo kashakwepa mishale mingi sana
Nyie wadada mbona kuwaelewa simple sana, mimi nikimuomba mdada tukutane mahali fulani, mda fulani, (sio sex) akinizungusha au akikataa, automatically ntajua Hanipendi sababu hajavutiwa na muonekano wangu, hivyo, nasepa chap Kapeace
 
Nyie wadada mbona kuwaelewa simple sana, mimi nikimuomba mdada tukutane mahali fulani, mda fulani, (sio sex) akinizungusha au akikataa, automatically ntajua Hanipendi sababu hajavutiwa na muonekano wangu, hivyo, nasepa chap Kapeace
Comment yangu inawahusu wanawake isome vizuri
 
Wadada usithubutu kukutana na mwanaume ambaye mmeanza Naye mahusiano , at least chukua muda wa miezi zaidi ya mitatu au minne umsome kwanza kama Yuko serious au mpitaji

Yaani nimegundua ukiachana na mwanaume ambae hukuwah kukutana Naye kimwili, hutapata maumivu kama ambavyo uachane na mwanaume ambaye mmeshakutana kimwili.

Zaidi yeye mwanaume ndo anayeumia nakuandika vijembe kwenye mitandao yake ya kijamii me namchora tu.

Akiona nimepost picha yangu na yeye muda huohuo atampost picha za mwanamke[emoji2].

Ni hayo tu kwa Leo.
We jichanganye tu hujatufahamu vizuri

Sisi Ngono kwetu ni kama basic needs sio mapenzi

Na sometimes ujanani tunapasiana mpka namba zenu ili mradi tu mshikaji na yeye apige
 
Haina formula hio. Vipi na waliokutana kimwili jana na leo wameoana na wanaishi kwa amani je wanacomment wapi
 
Wadada usithubutu kukutana na mwanaume ambaye mmeanza Naye mahusiano , at least chukua muda wa miezi zaidi ya mitatu au minne umsome kwanza kama Yuko serious au mpitaji

Yaani nimegundua ukiachana na mwanaume ambae hukuwah kukutana Naye kimwili, hutapata maumivu kama ambavyo uachane na mwanaume ambaye mmeshakutana kimwili.

Zaidi yeye mwanaume ndo anayeumia nakuandika vijembe kwenye mitandao yake ya kijamii me namchora tu.

Akiona nimepost picha yangu na yeye muda huohuo atampost picha za mwanamke😃.

Ni hayo tu kwa Leo.
Yaani unataka kusema kwamba wanawake hawataki kupelekewa moto? Tulia wewe watunwanasubiri miezi hiyo minne huku ana gegeda mwanamke mwengine.

Na kumbuka hilo utaliweza kwa mwanaume ambaye hana hela. Mwenye hela ukikaa tuu ndani ya range rover yake chupi ilishalowa au nasema uongo lovel ?
 
Wadada usithubutu kukutana na mwanaume ambaye mmeanza Naye mahusiano , at least chukua muda wa miezi zaidi ya mitatu au minne umsome kwanza kama Yuko serious au mpitaji

Yaani nimegundua ukiachana na mwanaume ambae hukuwah kukutana Naye kimwili, hutapata maumivu kama ambavyo uachane na mwanaume ambaye mmeshakutana kimwili.

Zaidi yeye mwanaume ndo anayeumia nakuandika vijembe kwenye mitandao yake ya kijamii me namchora tu.

Akiona nimepost picha yangu na yeye muda huohuo atampost picha za mwanamke😃.

Ni hayo tu kwa Leo.
Mbna km bado unamtaka kma umeamua kumove on futa non yke
 
Thaman ya mwanamke ni kumuangalia akiwa amevaa nguo tu vile umbo limejichora ila ukifanikiwa kumuona ndani unaweza kujutia hata kwann umejitesa, kinacho kufanya uendelee kuwa nae ni tabia na mwenendo wake tu ikiwa na tabia nazo ni za hovyo utamuona Kama takataka au ulijiongezea mikosi tu

Kwahiyo usitukariri sana kabla hatujakuvua tutakuthamini ila tukikuvua na tusiporidhishwa na mwenendo wako au kitabia wewe utaendea kutumika Kama kipoozeo tu hata kama umetusumbua miaka 10
 
Thaman ya mwanamke ni kumuangalia akiwa amevaa nguo tu vile umbo limejichora ila ukifanikiwa kumuona ndani unaweza kujutia hata kwann umejitesa, kinacho kufanya uendelee kuwa nae ni tabia na mwenendo wake tu ikiwa na tabia nazo ni za hovyo utamuona Kama takataka au ulijiongezea mikosi tu
🤔I see!
 
Kuna wanaume m smart players sana hata ukikaa nao miaka mingap bado ataonyesha kukujli n itaachwa tu, hayan muongozo, ila m mbususu yangu sitoi acha nizikwe nayo[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Aisee me ukinizungusha siku nikikukula nakuacha kwa hasira
Ila ukiwah kunipa hata kama nilikuwa na mpango wa kukuacha sikuachi nakuonea huruma atlast tunadate
Ila ukinisunbua tu nitavumilia ili nije kukuonesha jinsi we ni mjinga
 
Thaman ya mwanamke ni kumuangalia akiwa amevaa nguo tu vile umbo limejichora ila ukifanikiwa kumuona ndani unaweza kujutia hata kwann umejitesa, kinacho kufanya uendelee kuwa nae ni tabia na mwenendo wake tu ikiwa na tabia nazo ni za hovyo utamuona Kama takataka au ulijiongezea mikosi tu

Kwahiyo usitukariri sana kabla hatujakuvua tutakuthamini ila tukikuvua na tusiporidhishwa na mwenendo wako au kitabia wewe utaendea kutumika Kama kipoozeo tu hata kama umetusumbua miaka 10
sahihi, baada ya shoo kinachomvutia mwanaume ni tabia
 
Usikute ni mwanaune kaandika huu upumbavu.

Yaan unapoteza mb zako kuandaa uzi utakao wacost wanaume wenzako? Ama wew mwenzetu ndio vile tena?..

Anyaway ungeyajuwa magumu wanaume tunapitia wala usingewapa ushauri hao viruka njia, mwanaume mpka anafikia hatua ya kuwa hit&run ujuwe keshachoka na hzo mbanga za wanawake.

Nakushauri waombe Mods wafute huu uzi
Kwahiyo wewe kupitia mengi inawahusu nini wanawake wote au unataka wanawake wakusaidieje mkuu

Yaani unalazimisha wanawake wakubali wanaume wa hit and run kwa sababu ambazo wao siyo shida zao

Na ndiyo maana mnachunwa sana asee yaani ni sawa na kumuambia swala asijilinde akubali tu kuliwa na simba
 
Back
Top Bottom