Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Ndio nashangaa namie labda awe anamatatizo mimi ndani ya siku 3 tu naanza kutaka nanihii[emoji125][emoji125][emoji125]
Kwani uko na umri gani?
Unajishughulisha na kazi zipi Kwa mfano?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nashangaa namie labda awe anamatatizo mimi ndani ya siku 3 tu naanza kutaka nanihii[emoji125][emoji125][emoji125]
Labda waifu material unavutavuta uone anafaa ama😀Sasa nikae miezi miwili sijataka, kwani lengo la kukutongoza lilikua ni nini??😅
Huwa napenda Sana kuangalia Hiyo nyonyo!Ummmh sasa hayo nayo ni mapenz ya wapi kama hujambandua mtu
Fanya basi tuchukue hiyo miezi 3, then tuone kipi kitafwataWadada usithubutu kukutana na mwanaume ambaye mmeanza Naye mahusiano , at least chukua muda wa miezi zaidi ya mitatu au minne umsome kwanza kama Yuko serious au mpitaji
Yaani nimegundua ukiachana na mwanaume ambae hukuwah kukutana Naye kimwili, hutapata maumivu kama ambavyo uachane na mwanaume ambaye mmeshakutana kimwili.
Zaidi yeye mwanaume ndo anayeumia nakuandika vijembe kwenye mitandao yake ya kijamii me namchora tu. Akiona nimepost picha yangu na yeye muda huohuo atampost picha za mwanamke😃.
Ni hayo tu kwa Leo.
Huu ni ukweli ...ila mapenzi hayana formulaFanya basi tuchukue hiyo miezi 3, then tuone kipi kitafwata
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii inawezekana vipi asee?? 2yrs?? Kuna me wenzangu wanaweza hili??.
Mimi hapana asee[emoji28][emoji28]
Wadada usithubutu kukutana na mwanaume ambaye mmeanza Naye mahusiano , at least chukua muda wa miezi zaidi ya mitatu au minne umsome kwanza kama Yuko serious au mpitaji
Yaani nimegundua ukiachana na mwanaume ambae hukuwah kukutana Naye kimwili, hutapata maumivu kama ambavyo uachane na mwanaume ambaye mmeshakutana kimwili.
Zaidi yeye mwanaume ndo anayeumia nakuandika vijembe kwenye mitandao yake ya kijamii me namchora tu. Akiona nimepost picha yangu na yeye muda huohuo atampost picha za mwanamke😃.
Ni hayo tu kwa Leo.