Nimegundua Siri, Wanawake someni hapa

Nimegundua Siri, Wanawake someni hapa

Utamu kwanza tunao wenyewe, nyie mnachotupa ni utelezi🤣🤣🤣🤣
Maufundi muhimu maana ukiwa ni style ya kifo cha mende tuu hapana tunakuchoka mapema...so uno nalo muhimu ila halikupi ticket ya kuwekwa ndani. Unaweza kuwa na uno zuri lakini ukishia kuwa mchepuko. Hapo sasa ndio tabia inaangaliwa...je ananiheshimu, ana mchango gani wa ziada ukiondoa burudani pendwa?
Asante kwa somo!
 
Hautujui wanaume wewe[emoji23][emoji23][emoji23].
Hatushindwiiiii✍🏿️
 
🤣🤣🤣🤣 Wee kweli besty inabidi nikupe funzo kuhusu wanaume.
Tunakimbuzana na mbususu mosi kwa sababu ya huruma tuliyonaoya siie wanaume...tusipowasubua nyie wanawake mtakufa kwa nja ama kwa stress kuwa mbona sitongozwi.

Pili ni kwamba mbususu kuila is about the transfer of power ..yaani ile furaha ya kuwa mwanamke na akili zake kakubali nimpelekee moto

Tatu tunataka watoto sasa sabuni haiwezi zaa. Upo hapo mrembo
Acha kupindisha mada, umesema utamu mnao wenyewe kwetu mnafata utelezi swali langu lipo hapo.
 
Wadada usithubutu kukutana na mwanaume ambaye mmeanza Naye mahusiano , at least chukua muda wa miezi zaidi ya mitatu au minne umsome kwanza kama Yuko serious au mpitaji

Yaani nimegundua ukiachana na mwanaume ambae hukuwah kukutana Naye kimwili, hutapata maumivu kama ambavyo uachane na mwanaume ambaye mmeshakutana kimwili.

Zaidi yeye mwanaume ndo anayeumia nakuandika vijembe kwenye mitandao yake ya kijamii me namchora tu.

Akiona nimepost picha yangu na yeye muda huohuo atampost picha za mwanamke😃.

Ni hayo tu kwa Leo.
Kabla hujawafundisha hio topic ya "usithubutu kukutana tu na ambaye mmeanza nae mahusiano"

Hakikisha ile topic ya "Kuacha kupenda penda hela za bure za mwanaume" wameielewa vizuri kwa asilimia 100% na test zote wamefaulu kwa kiwango cha NECTA.

Otherwise utajichosha tu mtu wangu...😂😂😂 Samahani lakini, maana kuna wanaoliwa kabla hata kuwa kwenye hayo mahusiano
 
Hiyo mbinu mnadanganyana mnaoamini mwanaume anafuata sex tu kwa mwanamke.
Yani kama kafuata sex hata ukimpa baada ya miaka 10 atakula atapita kushoto.
Ukishajua sex sio kitu kinamfanya mwanaume akae utaachana na hivyo vipimo vyako.
Sex ipo tu ila kinachomuweka mwanaume ni vingine anavyopata baada ya kumaliza haja zake.
#PeanaHainaLastSeen
#HainaLastSeen
 
Hautujui wanaume wewe[emoji23][emoji23][emoji23].
Hatushindwiiiii✍🏿️
Hahahahah akibana watu wanaachia tu huko side B!

Kuna watu wamekula pisi za chuo baada ya kurudi uraiani zikachapwa na life. Muhuni alikuwa anaingoja tu aicharaze asepe.😂😂😂
 
Wadada usithubutu kukutana na mwanaume ambaye mmeanza Naye mahusiano , at least chukua muda wa miezi zaidi ya mitatu au minne umsome kwanza kama Yuko serious au mpitaji

Yaani nimegundua ukiachana na mwanaume ambae hukuwah kukutana Naye kimwili, hutapata maumivu kama ambavyo uachane na mwanaume ambaye mmeshakutana kimwili.

Zaidi yeye mwanaume ndo anayeumia nakuandika vijembe kwenye mitandao yake ya kijamii me namchora tu.

Akiona nimepost picha yangu na yeye muda huohuo atampost picha za mwanamke[emoji2].

Ni hayo tu kwa Leo.
Sidhani kama watafuata ushauri wako maana wenzako wako kimaslahi zaidi. Hiyo miezi minne mwenzio ameshakusanya kodi ya miezi 6 na idadi nzuri tu ya savanna zimepita kooni kwake.
 
Yaani muda wote huo unizungushe sababu ya papuchi kama kukuacha nitakuacha tu nikishapata mzigo hata ukinizungusha miaka mitano,, hakuna uhusiano kati ya kupewa tunda na kudumu kwa mapenzi, tunaweza kukutana leo ukanipa leo leo na tukadumu na ukanizungusha mwaka mzima na siku ukinipa tu naeat and run.
Huwa nashindwa kuelewa miaka miwili hajakupa mbususu ina maana hajisikii ngenye kweli. Anapokusubirisha hiyo miaka.
miwili huko kwengine hagongwi kweli?
 
Thaman ya mwanamke ni kumuangalia akiwa amevaa nguo tu vile umbo limejichora ila ukifanikiwa kumuona ndani unaweza kujutia hata kwann umejitesa, kinacho kufanya uendelee kuwa nae ni tabia na mwenendo wake tu ikiwa na tabia nazo ni za hovyo utamuona Kama takataka au ulijiongezea mikosi tu

Kwahiyo usitukariri sana kabla hatujakuvua tutakuthamini ila tukikuvua na tusiporidhishwa na mwenendo wako au kitabia wewe utaendea kutumika Kama kipoozeo tu hata kama umetusumbua miaka 10
Umenikumbusha kuna jamaa.yangu alisumbuliwa sana na pisi kali moja hivi, siku kapewa mzigo kakutana na pango mpaka kajiuliza iko ndani kweli ? Ikawa mwanzo na mwisho siku hiyo.
 
Yaani nimegundua ukiachana na mwanaume ambae hukuwah kukutana Naye kimwili, hutapata maumivu kama ambavyo uachane na mwanaume ambaye mmeshakutana kimwili.
Mwanaume hujisikia vibaya sana (huumia) kuachana bila kutunukiwa mbususu katika mbinu za kivita anakuwa kafeli sana

NB; Msitangulize pesa mbele mtaliwa kimasihara sana maumivu ya pesa husuuzika anapotunukiwa mbususu
 
Unaweza ukasex na mtu akakupendaa sana na unaweza kusex na mtu akakuchukia mazimaaaa
Vijanaacheniizinaaaa[emoji354][emoji354]
Hebu imagine huyo mnae sex akakuchukia mazima ndio mmekuja kusex baada ya kuoana, itakuaje hayo maisha humo ndani? Si bora msex mkichukiana muachane kabla hamjajifunga vitanzi vya maisha?
 
Aisee me ukinizungusha siku nikikukula nakuacha kwa hasira
Ila ukiwah kunipa hata kama nilikuwa na mpango wa kukuacha sikuachi nakuonea huruma atlast tunadate
Ila ukinisunbua tu nitavumilia ili nije kukuonesha jinsi we ni mjinga
Mzee upo kama mimi
 
Wadada usithubutu kukutana na mwanaume ambaye mmeanza Naye mahusiano , at least chukua muda wa miezi zaidi ya mitatu au minne umsome kwanza kama Yuko serious au mpitaji

Yaani nimegundua ukiachana na mwanaume ambae hukuwah kukutana Naye kimwili, hutapata maumivu kama ambavyo uachane na mwanaume ambaye mmeshakutana kimwili.

Zaidi yeye mwanaume ndo anayeumia nakuandika vijembe kwenye mitandao yake ya kijamii me namchora tu.

Akiona nimepost picha yangu na yeye muda huohuo atampost picha za mwanamke😃.

Ni hayo tu kwa Leo.
Unakua hujakomaa tu kwenye hilo suala,,labda kama kuna mahal tumewekeza pamoja lakini sex tu hapana
 
Haijalishi ni baada ya muda gani umekutana na mwanaume kimwili.. Unaweza kuna na mahusiano na mwanaume hata zaidi ya miaka miwili na mskutane kimwili na siku tu utakapokutana nae akakuacha...
Na ukakutana na mtu kimwili leo, kesho akakuoa...

Hivi vitu havikaririki bali kusomana tu pia kuzingatia red flags anazokuonesha mtu wako basi..
😂😂😂😂😅
Nimeipenda sana hiyo red flag concept...
Kwamba watu wawe makin kusoma indicator kujua kituo kinachofuata ni kulia au kushoto
 
Thaman ya mwanamke ni kumuangalia akiwa amevaa nguo tu vile umbo limejichora ila ukifanikiwa kumuona ndani unaweza kujutia hata kwann umejitesa, kinacho kufanya uendelee kuwa nae ni tabia na mwenendo wake tu ikiwa na tabia nazo ni za hovyo utamuona Kama takataka au ulijiongezea mikosi tu

Kwahiyo usitukariri sana kabla hatujakuvua tutakuthamini ila tukikuvua na tusiporidhishwa na mwenendo wako au kitabia wewe utaendea kutumika Kama kipoozeo tu hata kama umetusumbua miaka 10



This is what we used to call it “ unpopular truth “ [emoji108][emoji108]

Asomaye na afahamu!
 
Back
Top Bottom