Hiyo ya pesa Haina uhusisno na topic yangu, usiombe but akikupa pokeaAcha kuwamezesha wenzako matangopori
Anyway
usisahau kuwaambia wasichukue pesa kabla hawajatoa mbususu kwa hao wapenzi wapya
Hii inawezekana vipi asee?? 2yrs?? Kuna me wenzangu wanaweza hili??.Haijalishi ni baada ya muda gani umekutana na mwanaume kimwili.. Unaweza kua na mahusiano na mwanaume hata zaidi ya miaka miwili na mskutane kimwili na siku tu utakapokutana nae akakuacha...
Mbona wapo sana tuu... 😂😂😂Hii inawezekana vipi asee?? 2yrs?? Kuka me wenzangu wanaweza hili??.
Mimi hapana asee😅😅
Haijalishi ni baada ya muda gani umekutana na mwanaume kimwili.. Unaweza kuna na mahusiano na mwanaume hata zaidi ya miaka miwili na mskutane kimwili na siku tu utakapokutana nae akakuacha...
Na ukakutana na mtu kimwili leo, kesho akakuoa...
Hivi vitu havikaririki bali kusomana tu pia kuzingatia red flags anazokuonesha mtu wako basi..
Wewe ndio unaumia zaidi.....Zaidi yeye mwanaume ndo anayeumia nakuandika vijembe kwenye mitandao yake ya kijamii me namchora tu.
Akiona nimepost picha yangu na yeye muda huohuo atampost picha za mwanamke😃