Nimegundua wafanyakazi wa Tanzania ni njaa sana

Mkuu,
Laki sita Ni ndogo?! Tena kila baada ya siku let say 30days

Kwa dar es salaam Ni changamoto sanaa Ila huko pembezoni hio 600,000/= ni kiasi ambacho kinatosha kuku sustain kabisa angalau ukaishi Kama middle income person bila wasiwasi..

600,000/= * 12 month 😊
 
Jobl
Ess unaumia ukiwa wapi?
 
Mpuuzi wabunge wenu Mbona mnashindwa kuwasema kwa kubwabwaja tu bungeni? Foolish
 
Ulitaka iweje kwa ni TZ ni America au South Africa?
Hiyo ndio Hari halisi, haijaanza jsna, ni tangu mkoroni aondoke,
 
Namaanisha kwa hapa dar laki sita sio hela kabisa ukiwa na watoto wa tatu. Ukipiga hesabu utakuta ni survival mode kwa hyo hela
 
Kwa nini uchelewe? Tuanzie hapo
 
Ungewawezesha basi hata bilioni 2 hivi za kuwapoza. Siyo tu maneno mengi, halafu pesa hakuna.
 
Mpuuzi wabunge wenu Mbona mnashindwa kuwasema kwa kubwabwaja tu bungeni? Foolish
Wewe na asilimia kubwa ya wabunge ni wajinga tu.
Hivi mtu utategemeaje mshahara kiasi hicho hadi uaibike?
Kwani huo mshahara ni wa milele ? Hivi hiyo ajira ikistop ghafla itakuwaje? Hamfikirii kuna kuachishwa kazi, kustaafu au kufa?
Acheni kujilemaza nyie watumishi wa hovyo hovyo.
Inavyoelekea hii serikali ya hovyo ya ccm imetengeneza aina gani ya watumishi wa hovyo na wajinga.
Na hiyo serikali mnayoitumikia ni ya hovyo na ya kipumbavu kama watumishi wake.
Kabisa inavyoonekana hamfikirii kabisa kuajiriwa ni jambo la mpito watumishi kama nyie inavyoonekana hata mkija kustaafu mtakuwa hamna kitu wapumbavu kabisa nyie watu.
Ndio maana mnalalamika kikokoto kikokoto kumbe hamuwekagi hata akiba wajinga kabisa nyie
 
Thread ya kijinga kabisa hii. Hivi hujui mzunguko wa fedha?
 
Point.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…