libeva
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 4,465
- 3,615
Mi najua wanawake wanapenda mwanaume mwongo fix sana hawapendi mwanaume mkweliIt's simple wanawake wanapenda mwanamme mpole na mwenye vurugu.
Nimemaliza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi najua wanawake wanapenda mwanaume mwongo fix sana hawapendi mwanaume mkweliIt's simple wanawake wanapenda mwanamme mpole na mwenye vurugu.
Nimemaliza.
Weeeh Sura hata mbuzi anayo😜😜😜😜😜!!
Ndo vurugu hizo nazosemea sasa mi nishamaliza tafakarini tu so hapo ni uwezo wako wa kuchambua mambo maana sio kila vurugu huyo ulienae atazitaka zipo atakazozitaka na upole pia upo utakaoutaka!.. hapo chambueni nanyinyi sasa.Mi najua wanawake wanapenda mwanaume mwongo fix sana hawapendi mwanaume mkweli
Mambo yao waachie wenyewe 😜😜😜😜😜😜😜😜!Tatizo binadamu wa sikuhizi ni wabishi sana.😃
Eeh jichanganye tu mwaya maisha ndio hayahaya 😳😜Nilivyo nafujo namimi najichanganya humohumo kwenye mambo yao kinaumana..😂
Hasa wanyantuzu 😂😂Tatizo binadamu wa sikuhizi ni wabishi sana.😃
Mkuu ni swala la timing tu muda gani uwe mpole na muda gani uwe na vurugu!,inatakiwa ujue kumsoma kuna muda ukitaka kula Mingo muangalie kama hataki kweli muache lakini Kama ana zile za sitaki nataka mbake!.. muda mwengine muombe kwa upole!.
Nawaza tu hiyo package ina huduma gani.Punguza story mfanyie saplaizView attachment 2105505
Mi nilishafeligi siku nyingi sana kwenye mapenzi.Be my mentor..
Akii hii hela itaniuma hadi kesho hata kama ni surprise 24M per night aah, huku buza hoteli nzuri kabisa 15,000/= inatosha. Huu ubahili utaniua 😂Punguza story mfanyie saplaizView attachment 2105505
Hii Package Mtu Anapewa Na IST[emoji23][emoji23][emoji23]Punguza story mfanyie saplaizView attachment 2105505