Nimegundua wanawake wanapenda mwanaume wa namna gani!

Mi najua wanawake wanapenda mwanaume mwongo fix sana hawapendi mwanaume mkweli
Ndo vurugu hizo nazosemea sasa mi nishamaliza tafakarini tu so hapo ni uwezo wako wa kuchambua mambo maana sio kila vurugu huyo ulienae atazitaka zipo atakazozitaka na upole pia upo utakaoutaka!.. hapo chambueni nanyinyi sasa.
 
Mambo yao waachie wenyewe 😜😜😜😜😜😜😜😜!
Nilivyo nafujo namimi najichanganya humohumo kwenye mambo yao kinaumana..πŸ˜‚
 
Mkuu ni swala la timing tu muda gani uwe mpole na muda gani uwe na vurugu!,inatakiwa ujue kumsoma kuna muda ukitaka kula Mingo muangalie kama hataki kweli muache lakini Kama ana zile za sitaki nataka mbake!.. muda mwengine muombe kwa upole!.

Kubakana tena jamani? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
KENZY again.

Inabidi upate mentor wa kukuongoza katika safari ya mapenzi.

Azawais yatazidi kukutesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…