Hapa unakuwa Ke!!?Tunapenda mkaka mpole ila awe na misimamo, huwezi kumuendesha afu awe na kawivu wivu kidogo. Siyo unamwambia leo napitia sehemu anajibu tu sawa babe, tunataka yule mtata, unapitia wapi?, usinijaribu, kufanya nini?, utarudi saa ngapi? Nk. We feel we are loved.kwa mtizamo wangu tu[emoji12]
Ebu nioneshe sehemu nilipokua nna mkuyengeHapa unakuwa Ke!!?
Kwanini unione me? Huko hiyo valentine's package ni ya me pekee? Ubahili ni me pekee?Financial services kumbe wewe ni Me
It's simple wanawake wanapenda mwanamme mpole na mwenye vurugu.
Nimemaliza.
Mbususu yote hii imemejaa tele aniite me kweli?ππKimeumana Sasa π
Akishindwa njoo gheto mi nitakuonyesha sawa toto service..?
[emoji1][emoji1][emoji2]Punguza story mfanyie saplaizView attachment 2105505
Peleka moto mpelekee motoMpe hiyo amani peke yake Kama hata kuja kukuliza!