Nimehama Simba rasmi ni Yanga, Wananchi mnipokee

Nimehama Simba rasmi ni Yanga, Wananchi mnipokee

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Kusema ukweli nimevumilia miaka hii mitatu kuona kama hili litimu litabadilika nimegundua Simba SCni ya mambumbumbu fc haitobadilika miaka 10 mbele aisee nimeona Bora niamie Young Africans pira Gamondi.

kilichonifanya nihamie ni Jana baada ya kuiadhibu tawi la Simba Kwa mpira safi jamani wananchi MNIPOKEE Simba sio mama yangu kwamba nisihame nimehama Simba sababu timu ni bovu na halitokuja kukaa sawa Leo nimetoka kununua jezi zangu mbili za wananchi njano na nyeusi lazima nitambe sitaki ushauri YANGA BINGWA.
 
Haya kila la kheri huko uendako, hivyo yanga wakitetereka nako utataka kuhama, sasa una tofauti gani na mwanamke malaya. 🤣😂

Wenzako tunakubali tu kuwa yanga bora tunaimani simba nayo itafika kipindi itarudia ubora, hilo ndio football, hakuna yimu ikawa bora daima.. Iwe brazil, france, real madrid, barcelona, arsenal, Manchester, hata hzi simba na yanga.
 
Duh.. Wewe ni zaidi ya mwanamke malaya akiwa anadanga bar.

Haya kila la kheri huko uendako, hivyo yanga wakitetereka nako utataka kuhama, sasa una tofauti gani na mwanamke malaya. 🤣😂
Utajua mwenyewe Mimi nimeshahama yaani pesa nitafute na litimu linitese nimeshatoka kuchoma jezi za simba zote 12 nilizozinunua Kwa 35000 Kila moja nimenunua Uzi mpya wa jangwani njano na nyeusi
 
Risiti yako hii
 

Attachments

  • IMG_20240812_214700.jpg
    IMG_20240812_214700.jpg
    302.9 KB · Views: 5
Haya kila la kheri huko uendako, hivyo yanga wakitetereka nako utataka kuhama, sasa una tofauti gani na mwanamke malaya. 🤣😂

Wenzako tunakubali tu kuwa yanga bora tunaimani simba nayo itafika kipindi itarudia ubora, hilo ndio football, hakuna yimu ikawa bora daima.. Iwe brazil, france, real madrid, barcelona, arsenal, Manchester, hata hzi simba na yanga.
Atahamia Azam fc
 
Utajua mwenyewe nimekata. Kuitwa mbumbumbu a.k.a makolo
Kolo kwa mujibu wa kiswahili sanifu, kolo ni ndugu wa kiume wa mama yako, unaweza kuita mjomba.

Huko uendako wenye akili ni wawili tu Sunday manara "computer" na mzee kikwete.. Wengine woote kina ephen_ Atoto ni ma mbumbumbu mzungu wa reli. 🤣😂
 
Kolo kwa mujibu wa kiswahili sanifu, kolo ni ndugu wa kiume wa mama yako, unaweza kuita mjomba.

Huko uendako wenye akili ni wawili tu Sunday manara "computer" na mzee kikwete.. Wengine woote kina ephen_ Atoto ni ma mbumbumbu mzungu wa reli. 🤣😂
Nimekataa kuitwa mbumbumbu
 
Huko wenye akili ni wawili tu, manara na kikwete, wengine wote ni mbumbumbu mzungu wa reli..

Bora mbumbumbu umepungua, tunapunguza mijuha kwenye chama la msimbazi 🤣
Mbumbumbu wanajulikana ni mashabiki wa timu Gani tanzania
 
Back
Top Bottom