Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Utajua mwenyewe Mimi nimeshahama yaani pesa nitafute na litimu linitese nimeshatoka kuchoma jezi za simba zote 12 nilizozinunua Kwa 35000 Kila moja nimenunua Uzi mpya wa jangwani njano na nyeusiDuh.. Wewe ni zaidi ya mwanamke malaya akiwa anadanga bar.
Haya kila la kheri huko uendako, hivyo yanga wakitetereka nako utataka kuhama, sasa una tofauti gani na mwanamke malaya. 🤣😂
Utajua mwenyewe nimekata. Kuitwa mbumbumbu a.k.a makoloHakunaga mwana Simba asiye na akili kama wewe bora umehama
Haya wasalimie huko, ila wanaume hatusemagi "utajua mwenyewe" 😂🤣Utajua mwenyewe Mimi nimeshahama yaani pesa nitafute na litimu linitese nimeshatoka kuchoma jezi za simba zote 12 nilizozinunua Kwa 35000 nimenunua Uzi mpya wa jangwani njano na nyeusi
Nimekata kuitwa mbumbumbuWanawake wanaweza kubadili timu wakati wowote.
Nimekata kuitwa mbumbumbuHaya wasalimie huko, ila wanaume hatusemagi "utajua mwenyewe" 😂🤣
Atahamia Azam fcHaya kila la kheri huko uendako, hivyo yanga wakitetereka nako utataka kuhama, sasa una tofauti gani na mwanamke malaya. 🤣😂
Wenzako tunakubali tu kuwa yanga bora tunaimani simba nayo itafika kipindi itarudia ubora, hilo ndio football, hakuna yimu ikawa bora daima.. Iwe brazil, france, real madrid, barcelona, arsenal, Manchester, hata hzi simba na yanga.
Nimekataa kuitwa mbumbumbuRisiti yako hii
Asante nimeshatoka kuchukua Uzi mda huu njano na nyeusi yaani kesho natinga njano asubuhi tuKaribu sana mkuu
Huko wenye akili ni wawili tu, manara na kikwete, wengine wote ni mbumbumbu mzungu wa reli..Nimekata kuitwa mbumbumbu
Mwanamke kuhama timu inategemeana msimu husika yupo na nani.Nimekata kuitwa mbumbumbu
Mbumbumbu wanajulikana ni mashabiki wa timu Gani tanzaniaHuko wenye akili ni wawili tu, manara na kikwete, wengine wote ni mbumbumbu mzungu wa reli..
Bora mbumbumbu umepungua, tunapunguza mijuha kwenye chama la msimbazi 🤣
Sawa mbumbumbu a.k.a kolo Baki hapo hapo ngungu fc naona kama unaumia kidume kuama ukoloniMwanamke kuhama timu inategemeana msimu huu yupo na nani.