Nimehama Simba rasmi ni Yanga, Wananchi mnipokee

Una roho mbaya sana! Nilidhani wenye akili ni mimi na AtotoπŸ₯Ή
 
Sawa mbumbumbu a.k.a kolo Baki hapo hapo ngungu fc naona kama unaumia kidume kuama ukoloni
Mwanamke ana roho ngumu, anaweza kuwa mkristo shabiki wa batiki we mpe muda apate mwanaume muislamu shabiki wa Simba uone.
 
Mwanamke ana roho ngumu, anaweza kuwa mkristo shabiki wa batiki we mpe muda apate mwanaume muislamu shabiki wa Simba uone.
Tusilazimishane aisee mbona kama unaumia nimeshahama makolo fc Baki mwenyewe
 
Haya kila la kheri huko uendako, hivyo yanga wakitetereka nako utataka kuhama, sasa una tofauti gani na mwanamke malaya...
Huyu alikuja na uzi kuwa hafatili mpira wa bongo na akaita ni takataka.leo anakuja na uzi wa kuonesha kuwa ni muhumini mzuri wa mpira wa bongo. Kuna watu wana matatizo dunianiani sio mchezo na wala hujamkosea kwa kumpa sifa zake.
 
Huyu alikuja na uzi kuwa hafatili mpira wa bongo na akaita ni takataka.leo anakuja na uzi wa kuonesha kuwa ni muhumini mzuri wa mpira wa bongo. Kuna watu wana matatizo dunianiani sio mchezo na wala hujamkosea kwa kumpa sifa zake.
NIMEHAMA makolo fc Baki mwenyewe mbona unaumia sana
 
Naskia tetesi tetesi kuwa wanapaka mkongo kabla ya mechi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…