Impurities zote zikiisha, Simba Sports Club itafanya vizuri sana.Kusema ukweli nimevumilia miaka hii mitatu kuona kama hii timu itabadilika nimegundua Simba SC haitobadilika miaka 10 mbele aisee nimeona Bora niamie Young Africans pira Gamondi.
kilichonifanya nihamie ni Jana baada ya kuiadhibu tawi la Simba Kwa mpira safi jamani wananchi MNIPOKEE Simba sio mama yangu kwamba nisihame nimehama Simba sababu timu ni bovu na halitokuja kukaa sawa Leo nimetoka kununua jezi zangu mbili za wananchi njano na nyeusi lazima nitambe sitaki ushauri YANGA BINGWA.
Sawasawa.Umefuata supu tu.Huna lolote.Simba baba lao!Kusema ukweli nimevumilia miaka hii mitatu kuona kama hii timu itabadilika nimegundua Simba SC haitobadilika miaka 10 mbele aisee nimeona Bora niamie Young Africans pira Gamondi.
kilichonifanya nihamie ni Jana baada ya kuiadhibu tawi la Simba Kwa mpira safi jamani wananchi MNIPOKEE Simba sio mama yangu kwamba nisihame nimehama Simba sababu timu ni bovu na halitokuja kukaa sawa Leo nimetoka kununua jezi zangu mbili za wananchi njano na nyeusi lazima nitambe sitaki ushauri YANGA BINGWA.
Kwsnini mfano usiwe, kama mwanaume malaya?Haya kila la kheri huko uendako, hivyo yanga wakitetereka nako utataka kuhama, sasa una tofauti gani na mwanamke malaya. π€£π
Wenzako tunakubali tu kuwa yanga bora tunaimani simba nayo itafika kipindi itarudia ubora, hilo ndio football, hakuna yimu ikawa bora daima.. Iwe brazil, france, real madrid, barcelona, arsenal, Manchester, hata hzi simba na yanga.
Una akili kubwa, maisha yatupe stress na Simba ambayo haitulishi nayo pia, why?Kusema ukweli nimevumilia miaka hii mitatu kuona kama hii timu itabadilika nimegundua Simba SC haitobadilika miaka 10 mbele aisee nimeona Bora niamie Young Africans pira Gamondi.
kilichonifanya nihamie ni Jana baada ya kuiadhibu tawi la Simba Kwa mpira safi jamani wananchi MNIPOKEE Simba sio mama yangu kwamba nisihame nimehama Simba sababu timu ni bovu na halitokuja kukaa sawa Leo nimetoka kununua jezi zangu mbili za wananchi njano na nyeusi lazima nitambe sitaki ushauri YANGA BINGWA.
Wewe ni mbumbumbuHakunaga mwana Simba asiye na akili kama wewe bora umehama
Baki mwenyewe Mimi simba hainilishi mzee Mimi sio mjinga kushabikia timu bovuChama cha siasi unaweza shawishiwa kwa itikadi na sera zake ukahama.
Dini nayo vile vile ukaamini kuwa huku ndipo sehem sahihi kule ulikuwa cha kike.
Ila inapofika kwenye mpira hapana yale ni mapenzi ya kweli hayana expire date.
Mf: mashabiki wa Arsenal huwa nawalubali.
Sawa MamaWanawake wengi ndio walivyo kuna mdada hapa nina fanya nae kazi toka nimjue mwaka 2017 alikuwa Simba na kipindi hiko anafuria sana hadi niliwahi kumnunulia jezi ya Simba yaan alikuwa Simba Kweli ajabu mwaka jana anasema yeye amehama yupo Yanga hapa nipo nae ofisini sasa hivi anavaa jezi za Yanga
Huwa najiuliza kwanini wanawake wengi mnakuwa hamna msimamo katika mpira
Fanya utafiti utagundua wanawake wengi ndio mlivyo yaan hamna msimamo katika mpira yaan Leo mpo Simba kesho mpo Yanga yaan mnaangalia na upepo wa timu kwa mwaka wanawake wengi waliokuwa Simba mtahama sana vima nyie mna macho lakini hamuoni mnafata mkumbo wa waume zenuSawa Mama
Sawa mamaFanya utafiti utagundua wanawake wengi ndio mlivyo yaan hamna msimamo katika mpira yaan Leo mpo Simba kesho mpo Yanga yaan mnaangalia na upepo wa timu kwa mwaka wanawake wengi waliokuwa Simba mtahama sana vima nyie mna macho lakini hamuoni mnafata mkumbo wa waume zenu
lakini sie wanaume hatushangai maana wanawake na mpira wapi na wapi hivyo ukiacha wewe uliyehama hapa jirani yangu nyumbani kuna kadada nako nasikiaa amehama Simba na sasa yupo Yanga unaweza kuona ni jinsi gani wanawake mnakosa msimamo katika mipiraSawa mama
Sawa mamalakini sie wanaume hatushangai maana wanawake na mpira wapi na wapi hivyo ukiacha wewe uliyehama hapa jirani yangu nyumbani kuna kadada nako nasikiaa amehama Simba na sasa yupo Yanga unaweza kuona ni jinsi gani wanawake mnakosa msimamo katika mipira
Hapa kuna kabibi nako eti kamehama kalikuwa Simba sasa kamemfata mume wake yupo Uto sasa na ww sijui ulimfata mume wako Uto ππππSawa mama
Sawa mama wa simbaHapa kuna kabibi nako eti kamehama kalikuwa Simba sasa kamemfata mume wake yupo Uto sasa na ww sijui ulimfata mume wako Uto ππππ
Wanaume wengi asilimia kubwa mchezo wetu pendwa soka kwa hali na mali tutafatilia soka kushinda chochote mtu yupo tayari asile ili angalie mpiraSawa mama wa simba
Sawa mke wa mo dewijWanaume wengi asilimia kubwa mchezo wetu pendwa soka kwa hali na mali tutafatilia soka kushinda chochote mtu yupo tayari asile ili angalie mpira
Tukitoa rede milivyokuwa wadogo mnacheza
Hivi labda nikuulize swali nyie wanawake mchezo wenu gani mnaopenda kwa uzoefu wako tupe ushuhuda maana mm wife mpira hapendi
Ongera sana kwa kumpa elimu uyo mnaaa wa mpra football ina badlika sana leo smba mbovu kesho nzr ndy mpraHaya kila la kheri huko uendako, hivyo yanga wakitetereka nako utataka kuhama, sasa una tofauti gani na mwanamke malaya. π€£π
Wenzako tunakubali tu kuwa yanga bora tunaimani simba nayo itafika kipindi itarudia ubora, hilo ndio football, hakuna yimu ikawa bora daima.. Iwe brazil, france, real madrid, barcelona, arsenal, Manchester, hata hzi simba na yanga.
Hamna simba itayokuja kuwa nzuri sahauOngera sana kwa kumpa elimu uyo mnaaa wa mpra football ina badlika sana leo smba mbovu kesho nzr ndy mpra