Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Kwahiyo miaka 2 ijayo Azam FC akianza kushinda kama afanyavyo Yanga kwasasa utahamia Azam?
Usishangae ukapata binti akawa miaka 2 anakaa Kwa Mume huyu miaka mitatu Kwa Mume yule mwingine, kisa amenunua Toyota Passo ili hali Mume wa awali anaendesha Baiskeli 🙌
Usishangae ukapata binti akawa miaka 2 anakaa Kwa Mume huyu miaka mitatu Kwa Mume yule mwingine, kisa amenunua Toyota Passo ili hali Mume wa awali anaendesha Baiskeli 🙌