Potelea pote, tunaishi sasa, yambeleni hatuyajuina usirud tena kaa huko huko
Kuwe na cha kumrudisha..!!! Amehama Chama atakuwa yeye?Utarudi tu, msaliti wewe!
Maamuzi ya kitoko, alafu badala ya kuandika mpira, unaandika mpilaSasa mkuu lasaba na mimi kuhamia yanga vina mahusiano gani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], sawa. Simba wametudingaya kumwacha chama na kumzushia ni mzee, lakini ametuumbua jana, wacha nifate pila biliani[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] hilo jina limeshaisha muda wake, usiogope. Yaani tuna kazi, shabiki akitoka mbumbumbu FC ni Ahsante siyo Hasante [emoji1][emoji1][emoji1]
labda chupa za maji ndo wanajaza kwa watu uwanjani ni urongo jana majukwaa yalikuwa matupu yaani hata watazamaji wangeamua kulala viti vilitosha kugeuzwa vitanda.umechelewa sana wengi walishahama kimya kimya..uoni game za yanga zinavyojaza sahivi..
Mufano wako hauna uhusiano na mpila, na huu ni huamuzi wangu binafsi, unataka nife mapema kwa msongo wa mawazo?? Wehuoni Yanga wanavyocheza vizuri?Kwahiyo miaka 2 ijayo Azam FC akianza kushinda kama afanyavyo Yanga kwasasa utahamia Azam?
Usishangae ukapata binti akawa miaka 2 anakaa Kwa Mume huyu miaka mitatu Kwa Mume yule mwingine, kisa amenunua Toyota Passo ili hali Mume wa awali anaendesha Baiskeli [emoji119]
Anayekujua na kukuhamu vizuri wewe ni WEWE. Acha kuweka furaha yako kwenye mambo ambayo hauna uwezo wa kuyadhibiti.Sitaki kuzeeka mapema kisa timu ya mpila. Hela nitafute kwa shida pia hata timu ya mpila nayo inipe stress??
Wana Simba mtanisamehe sana, kwa Yanga hii tutasubiri sana.
Kama huwezi kushindana nao basi ungana nao..
Nipo tayari kuitwa msaliti........
Hahaha.........pole Mkuu, ila nimeumia kuona unahamia timu ya mahasimu wetuMufano wako hauna uhusiano na mpila, na huu ni huamuzi wangu binafsi, unataka nife mapema kwa msongo wa mawazo?? Wehuoni Yanga wanavyocheza vizuri?
Mshabiki fuata upepoπ§Sitaki kuzeeka mapema kisa timu ya mpila. Hela nitafute kwa shida pia hata timu ya mpila nayo inipe stress??
Wana Simba mtanisamehe sana, kwa Yanga hii tutasubiri sana.
Kama huwezi kushindana nao basi ungana nao..
Nipo tayari kuitwa msaliti........
Kama ambavyo wana Yanga tunakuona huko uliko umefanya maamuzi ya "kitoko" ..!!Maamuzi ya kitoko, alafu badala ya kuandika mpira, unaandika mpila
Kati ya huyu kuhama na ule mkong'oto wa 5G kipi kinakuuma sana?Hahaha.........pole Mkuu, ila nimeumia kuona unahamia timu ya mahasimu wetu
Uhasimu una mtazamo mpana, kwenye kuitafuta furaha usiogope kuungana na hasimu wakoHahaha.........pole Mkuu, ila nimeumia kuona unahamia timu ya mahasimu wetu
Kwani hatujawahi kuwafunga hizo bao 5 wakati wa Emmanuel Okwi?Kati ya huyu kuhama na ule mkong'oto wa 5G kipi kinakuuma sana?
We ushabiki wako umefata nini?Mshabiki fuata upepo[emoji3447]
Binafsi sijaweza, nitakufa nikiwa shabiki wa Simba SC haijalishi tutakuwa nafasi ya ngapiUhasimu una mtazamo mpana, kwenye kuitafuta furaha usiogope kuungana na hasimu wako
Naunga mkono hoja tajiri huna baya πKaribu dunduka, Yanga raha, tutakufundisha kusoma na kuandika pia. Maana ulikotoka ni mbumbumbu FC π π π π π
Mpira siyo Mpila.
Umeelewa swali? Au maumivu yamechanganya?Kwani hatujawahi kuwafunga hizo bao 5 wakati wa Emmanuel Okwi?
Ni upepo tu, utapita na utaona Simba ile tuliyoitarajia